Mdee: Sitishwi na mbwa ninaowafuga

Mdee: Sitishwi na mbwa ninaowafuga

Nani kakwambia siasa ni Elimu?? Uwezo wa kujenga hoja, principle za kumshawishi, kuchagua kauli, kumobilize, negotiate n.k hayo hufundishwi darasani kijana.

Matiko naye alichukuliwa UDSM kafundishwa siasa.
Zubeilda pia alikua Mzumbe anaandikia wabunge hotuba/michango Mbowe kamchukua kamfundishw siasa. Same to zitto, Silinde, na kafulila so hakuna product ya vijana wa upinzani unaowaona Leo ambaye Hana mkono wa Mbowe.

Huko CCM hamna hao vijana ndio maana wakitoka huku mnawapa uwaziri na uRC!!! alafu unataka kudown play uwezo wa Mbowe?
Mbowe hawezi kumfundisha mtu chochote chini ya hili jua. Labda kuiba
Mbowe ni form six failure
 
Labda amesahau kuwa Kada wao Mzee Ngombale alishambuliwa na Mbwa anaowafuga.
 
Mbowe hawezi kumfundisha mtu chochote chini ya hili jua. Labda kuiba
Mbowe ni form six failure
Angekua failure mngekubali kelele zake za Katiba mpya?? Mngemuita meza moja?? Mbona hamjamuita Professor Lipumba au Mbatia kwa meza??
 
Mtu anaeeuza nafsi yake sababu ya pesa ni rahisi kuuza utu wake ksbb ya pesa. Nyerere aliwaita malaya wa kisiasa
 
Kwani katishwa na nani? Nchi inaendeshwa kwa mujibu wa KATIBA ya nchi, Mdee & Co wanapambana na CHADEMA katika eneo la kisheria kuhusu uhalali wao pale Bungeni.

Mahakama imetoa uamuzi wa kutupilia mbali pingamizi lao siyo CHADEMA mjusi wewe.

'Mungu katuamulia ugomvi'.
Kamanda zungusha ngumi mbili tatu hewani basi kusindikiza hili andiko lako

Pipopooz!
 
Binafsi hii kesi,irekebishwe irudi mahakamani waende wakabishane kwa hoja,hatimae mwenye haki apate haki yake
Wakina Halima ni kama wamekosa support ya jamii,wakionekana kama wachumia tumbo,waliokosa muelekeo,wenye hofu ya maisha kwamba wataishi vipi wakikosa posho za kibunge.
Kumbe usikute haipo ivyo,mahakama ikiamua itajulikana ukweli upo wapi...na sio kuiprolong
Wakina halima kama dada zetu,mama zetu wanaopambania haki zao na kulipigania taifa kwa michango wanayotoa bungeni,kama jamii tungependa kuona wanawake wengi wapo hivyo,katika taifa kama hili ambapo idadi ya wanawake ni wengi lakini katika nafasi za uongozi wapo wachache lakini pia wanaopigania haki zao pia wapo wachache.
So taifa kupata watu kama wakina mdee ni hatua nzuri tusi wakatishe tamaa,warudi mahakamani wakapambanie haki yao,kama kweli haki ipo upande wao ipatikane na jamii ifahamu,kama haipo basi ionekane haipo
 
Angekua failure mngekubali kelele zake za Katiba mpya?? Mngemuita meza moja?? Mbona hamjamuita Professor Lipumba au Mbatia kwa meza??
Lipumba hajaitwa kuzungumza na raisi?
Mbowe kuitwa haina maana ana akili, raisi ni wa watu wote hadi wendawazimu Kama nyie
 
Binafsi hii kesi,irekebishwe irudi mahakamani waende wakabishane kwa hoja,hatimae mwenye haki apate haki yake
Wakina Halima ni kama wamekosa support ya jamii,wakionekana kama wachumia tumbo,waliokosa muelekeo,wenye hofu ya maisha kwamba wataishi vipi wakikosa posho za kibunge.
Kumbe usikute haipo ivyo,mahakama ikiamua itajulikana ukweli upo wapi...na sio kuiprolong
Wakina halima kama dada zetu,mama zetu wanaopambania haki zao na kulipigania taifa kwa michango wanayotoa bungeni,kama jamii tungependa kuona wanawake wengi wapo hivyo,katika taifa kama hili ambapo idadi ya wanawake ni wengi lakini katika nafasi za uongozi wapo wachache lakini pia wanaopigania haki zao pia wapo wachache.
So taifa kupata watu kama wakina mdee ni hatua nzuri tusi wakatishe tamaa,warudi mahakamani wakapambanie haki yao,kama kweli haki ipo upande wao ipatikane na jamii ifahamu,kama haipo basi ionekane haipo
Imesharudi
 
Kusema ukweli kabisa zamani nilikuwa simuelewi kabisa Mdee. Ila kwa sasa huniambii kitu kuhusu huyu binti wa shoka komando kabisa.

Kwanza anajiamini na ana akili nyingi sana huyu binti. Nimegundua hili kupitia hili suala linaloendelea la kuvuliwa uanachama na Ubunge.

Baada ya makamanda uchwara kupotoshwa jana kuhusu kesi yake, Mdee anaendelea kuwacheka tu jinsi wasivyojua Wala kuelewa chochote kuhusu sheria.

Mdee anakwambia hawezi kutishwa na mbwa anaowafuga mwenyewe. Hili ni dongo kwa makamanda uchwara wote.

Nami naungana nae, unatishwaje na mbwa unaowafuga? Chama kakikuza, kakipigania, kakipandisha hadhi, kawapa umaarufu wanachama humo halafu leo mje kumtisha?

Ikiwa tuna Rais wetu mwanamama wa shoka SSH, hivyo naona wazi Mdee ana nafasi kubwa pia ya kuwa mwenyekiti kwenye hiko chama.

Mdee shikilia hapohapo hadi waombe poo

#kazi inaendelea#

View attachment 2270753
Hiyo kauli ya mbwa aliowafuga ataikumbuka tu huko mbeleni!
 
Kusema ukweli kabisa zamani nilikuwa simuelewi kabisa Mdee. Ila kwa sasa huniambii kitu kuhusu huyu binti wa shoka komando kabisa.

Kwanza anajiamini na ana akili nyingi sana huyu binti. Nimegundua hili kupitia hili suala linaloendelea la kuvuliwa uanachama na Ubunge.

Baada ya makamanda uchwara kupotoshwa jana kuhusu kesi yake, Mdee anaendelea kuwacheka tu jinsi wasivyojua Wala kuelewa chochote kuhusu sheria.

Mdee anakwambia hawezi kutishwa na mbwa anaowafuga mwenyewe. Hili ni dongo kwa makamanda uchwara wote.

Nami naungana nae, unatishwaje na mbwa unaowafuga? Chama kakikuza, kakipigania, kakipandisha hadhi, kawapa umaarufu wanachama humo halafu leo mje kumtisha?

Ikiwa tuna Rais wetu mwanamama wa shoka SSH, hivyo naona wazi Mdee ana nafasi kubwa pia ya kuwa mwenyekiti kwenye hiko chama.

Mdee shikilia hapohapo hadi waombe poo

#kazi inaendelea#

View attachment 2270753
Ukifukuzwa chama unatoka. Akitaka ubunge kuna njia mbili zingine, either amia chama kingine au anzisha chama chako, also you can be the boss
 
Back
Top Bottom