Mdee: Sitishwi na mbwa ninaowafuga

Mdee: Sitishwi na mbwa ninaowafuga

Kwani wao wanataka kulinda uanachama wao au wanataka kulinda kula Yao?..Mahakama kuna mahali zmetekwaaa...!!
 
Kusema ukweli kabisa zamani nilikuwa simuelewi kabisa Mdee. Ila kwa sasa huniambii kitu kuhusu huyu binti wa shoka komando kabisa.

Kwanza anajiamini na ana akili nyingi sana huyu binti. Nimegundua hili kupitia hili suala linaloendelea la kuvuliwa uanachama na Ubunge.

Baada ya makamanda uchwara kupotoshwa jana kuhusu kesi yake, Mdee anaendelea kuwacheka tu jinsi wasivyojua Wala kuelewa chochote kuhusu sheria.

Mdee anakwambia hawezi kutishwa na mbwa anaowafuga mwenyewe. Hili ni dongo kwa makamanda uchwara wote.

Nami naungana nae, unatishwaje na mbwa unaowafuga? Chama kakikuza, kakipigania, kakipandisha hadhi, kawapa umaarufu wanachama humo halafu leo mje kumtisha?

Ikiwa tuna Rais wetu mwanamama wa shoka SSH, hivyo naona wazi Mdee ana nafasi kubwa pia ya kuwa mwenyekiti kwenye hiko chama.

Mdee shikilia hapohapo hadi waombe poo

#kazi inaendelea#

View attachment 2270753
Eti Binti!

Mzee Halima Mdee siku hizi amekuwa Binti.
 
Hana ushujaa wowote! Ni takakata Kama takataka nyingine. Hao wangekua na nguvu Kama Magu na job wangekua madarakani. Lkn Mungu Kesha amua hiyo kesi, kwa Sasa Ni suala la muda tuu wanarudi kudanga ile mitaa.
 
Kabla ya Mbowe kumfundisha siasa we ulikua unamjua? CHADEMA Ina wanawake wengi sana ndio maana iliweza simamisha wagombea ubunge 70 wanawake!! So they are more than replaced come 2025
Mdee kafundishwa siasa na mbowe? Mdee ni UDSM graduate, mbowe form sjx leaver. Ushaelewa nachomaanisha
 
Covid 19 ni manambazj wa kodi za Wananchi

Hukute ata hujawai kulipa ata mia kwenye hiyo kodi unayopigia kelele hachilia mbali kodi za kujiunga vifurushi vya mitandao ya simu,Nyie ndo mnatia Mwiguru Nchemba hasira ya kukusanya kodi kwa kwa ulazima kila kichwa mana mnalalama sana kodi zenu kuliwa Bungeni!
 
Kusema ukweli kabisa zamani nilikuwa simuelewi kabisa Mdee. Ila kwa sasa huniambii kitu kuhusu huyu binti wa shoka komando kabisa.

Kwanza anajiamini na ana akili nyingi sana huyu binti. Nimegundua hili kupitia hili suala linaloendelea la kuvuliwa uanachama na Ubunge.

Baada ya makamanda uchwara kupotoshwa jana kuhusu kesi yake, Mdee anaendelea kuwacheka tu jinsi wasivyojua Wala kuelewa chochote kuhusu sheria.

Mdee anakwambia hawezi kutishwa na mbwa anaowafuga mwenyewe. Hili ni dongo kwa makamanda uchwara wote.

Nami naungana nae, unatishwaje na mbwa unaowafuga? Chama kakikuza, kakipigania, kakipandisha hadhi, kawapa umaarufu wanachama humo halafu leo mje kumtisha?

Ikiwa tuna Rais wetu mwanamama wa shoka SSH, hivyo naona wazi Mdee ana nafasi kubwa pia ya kuwa mwenyekiti kwenye hiko chama.

Mdee shikilia hapohapo hadi waombe poo

#kazi inaendelea#

View attachment 2270753
Mnafiki Mkubwa wewe. Subiri Katiba Mpya inakuja
 
Mdee kafundishwa siasa na mbowe? Mdee ni UDSM graduate, mbowe form sjx leaver. Ushaelewa nachomaanisha
Nani kakwambia siasa ni Elimu?? Uwezo wa kujenga hoja, principle za kumshawishi, kuchagua kauli, kumobilize, negotiate n.k hayo hufundishwi darasani kijana.

Matiko naye alichukuliwa UDSM kafundishwa siasa.
Zubeilda pia alikua Mzumbe anaandikia wabunge hotuba/michango Mbowe kamchukua kamfundishw siasa. Same to zitto, Silinde, na kafulila so hakuna product ya vijana wa upinzani unaowaona Leo ambaye Hana mkono wa Mbowe.

Huko CCM hamna hao vijana ndio maana wakitoka huku mnawapa uwaziri na uRC!!! alafu unataka kudown play uwezo wa Mbowe?
 
Kusema ukweli kabisa zamani nilikuwa simuelewi kabisa Mdee. Ila kwa sasa huniambii kitu kuhusu huyu binti wa shoka komando kabisa.

Kwanza anajiamini na ana akili nyingi sana huyu binti. Nimegundua hili kupitia hili suala linaloendelea la kuvuliwa uanachama na Ubunge.

Baada ya makamanda uchwara kupotoshwa jana kuhusu kesi yake, Mdee anaendelea kuwacheka tu jinsi wasivyojua Wala kuelewa chochote kuhusu sheria.

Mdee anakwambia hawezi kutishwa na mbwa anaowafuga mwenyewe. Hili ni dongo kwa makamanda uchwara wote.

Nami naungana nae, unatishwaje na mbwa unaowafuga? Chama kakikuza, kakipigania, kakipandisha hadhi, kawapa umaarufu wanachama humo halafu leo mje kumtisha?

Ikiwa tuna Rais wetu mwanamama wa shoka SSH, hivyo naona wazi Mdee ana nafasi kubwa pia ya kuwa mwenyekiti kwenye hiko chama.

Mdee shikilia hapohapo hadi waombe poo

#kazi inaendelea#

View attachment 2270753
She is always new
 
Back
Top Bottom