Uhai Wa samaki ni akiwa ndani ya maji na siyo vinginevyo.Ushujaa huwa haufi aendelee na ushujaa wake nje ya chadema
Uhai Wa samaki ni akiwa ndani ya maji na siyo vinginevyo.Ushujaa huwa haufi aendelee na ushujaa wake nje ya chadema
Kwa hiyo CHADEMA na wanachama na wapenzi wa chama hicho ni "mbwa awafugao Mdee"!Mdee shikilia hapohapo hadi waombe poo
Eti Binti!Kusema ukweli kabisa zamani nilikuwa simuelewi kabisa Mdee. Ila kwa sasa huniambii kitu kuhusu huyu binti wa shoka komando kabisa.
Kwanza anajiamini na ana akili nyingi sana huyu binti. Nimegundua hili kupitia hili suala linaloendelea la kuvuliwa uanachama na Ubunge.
Baada ya makamanda uchwara kupotoshwa jana kuhusu kesi yake, Mdee anaendelea kuwacheka tu jinsi wasivyojua Wala kuelewa chochote kuhusu sheria.
Mdee anakwambia hawezi kutishwa na mbwa anaowafuga mwenyewe. Hili ni dongo kwa makamanda uchwara wote.
Nami naungana nae, unatishwaje na mbwa unaowafuga? Chama kakikuza, kakipigania, kakipandisha hadhi, kawapa umaarufu wanachama humo halafu leo mje kumtisha?
Ikiwa tuna Rais wetu mwanamama wa shoka SSH, hivyo naona wazi Mdee ana nafasi kubwa pia ya kuwa mwenyekiti kwenye hiko chama.
Mdee shikilia hapohapo hadi waombe poo
#kazi inaendelea#
View attachment 2270753
Mdee kafundishwa siasa na mbowe? Mdee ni UDSM graduate, mbowe form sjx leaver. Ushaelewa nachomaanishaKabla ya Mbowe kumfundisha siasa we ulikua unamjua? CHADEMA Ina wanawake wengi sana ndio maana iliweza simamisha wagombea ubunge 70 wanawake!! So they are more than replaced come 2025
Covid 19 ni manambazj wa kodi za Wananchi
Hoja ipo wapi?Vijana wa Leo hamna maadili kabisa,badala ya kukibu hoja unakimbilia kutoa maneno ya dhihaka!
Kila la kheri!
Rejea kasome nilichoandika kabla hujanikosea adabu!Anyways,nimeshamalizana na wewe!Hoja ipo wapi?
Bwashee uwe unasoma kwanza ulichoandika kabla hujapost basiCovid 19 ni manambazj wa kodi za Wananchi
Hakuna mtu wa kuanzisha chama humo!Wewe umeanzisha kipi?
Mnafiki Mkubwa wewe. Subiri Katiba Mpya inakujaKusema ukweli kabisa zamani nilikuwa simuelewi kabisa Mdee. Ila kwa sasa huniambii kitu kuhusu huyu binti wa shoka komando kabisa.
Kwanza anajiamini na ana akili nyingi sana huyu binti. Nimegundua hili kupitia hili suala linaloendelea la kuvuliwa uanachama na Ubunge.
Baada ya makamanda uchwara kupotoshwa jana kuhusu kesi yake, Mdee anaendelea kuwacheka tu jinsi wasivyojua Wala kuelewa chochote kuhusu sheria.
Mdee anakwambia hawezi kutishwa na mbwa anaowafuga mwenyewe. Hili ni dongo kwa makamanda uchwara wote.
Nami naungana nae, unatishwaje na mbwa unaowafuga? Chama kakikuza, kakipigania, kakipandisha hadhi, kawapa umaarufu wanachama humo halafu leo mje kumtisha?
Ikiwa tuna Rais wetu mwanamama wa shoka SSH, hivyo naona wazi Mdee ana nafasi kubwa pia ya kuwa mwenyekiti kwenye hiko chama.
Mdee shikilia hapohapo hadi waombe poo
#kazi inaendelea#
View attachment 2270753
Hapo umeelewa alichoandika. Usingeelewa ungemuulizaBwashee uwe unasoma kwanza ulichoandika kabla hujapost basi
Nani kakwambia siasa ni Elimu?? Uwezo wa kujenga hoja, principle za kumshawishi, kuchagua kauli, kumobilize, negotiate n.k hayo hufundishwi darasani kijana.Mdee kafundishwa siasa na mbowe? Mdee ni UDSM graduate, mbowe form sjx leaver. Ushaelewa nachomaanisha
She is always newKusema ukweli kabisa zamani nilikuwa simuelewi kabisa Mdee. Ila kwa sasa huniambii kitu kuhusu huyu binti wa shoka komando kabisa.
Kwanza anajiamini na ana akili nyingi sana huyu binti. Nimegundua hili kupitia hili suala linaloendelea la kuvuliwa uanachama na Ubunge.
Baada ya makamanda uchwara kupotoshwa jana kuhusu kesi yake, Mdee anaendelea kuwacheka tu jinsi wasivyojua Wala kuelewa chochote kuhusu sheria.
Mdee anakwambia hawezi kutishwa na mbwa anaowafuga mwenyewe. Hili ni dongo kwa makamanda uchwara wote.
Nami naungana nae, unatishwaje na mbwa unaowafuga? Chama kakikuza, kakipigania, kakipandisha hadhi, kawapa umaarufu wanachama humo halafu leo mje kumtisha?
Ikiwa tuna Rais wetu mwanamama wa shoka SSH, hivyo naona wazi Mdee ana nafasi kubwa pia ya kuwa mwenyekiti kwenye hiko chama.
Mdee shikilia hapohapo hadi waombe poo
#kazi inaendelea#
View attachment 2270753
Kwani Chadema cha nani? Ninyi kama mna uwezo si muondoke mumwachie li chama limfie?Kwanini asianzishe chama chake?