Ushujaa huwa haufi aendelee na ushujaa wake nje ya chadema
Subutu! Akiweza hilo niiteni mbwa niko paleeee!
Ushujaa huwa haufi aendelee na ushujaa wake nje ya chadema
Mzee shida yeye akili alimkabidhi Lissu na tapelibowe, unategemea mbwa wasimbadilikie?Mzee kingunge alijeruhiwa na mbwa aliokua anawafuga mwenyewe mpaka mauti ikamfika. It is just a matter of time.
Mwisho si 2025, Kama anaona ni mbali shauri yake.Kahakikishiwa na Tulia kuwa atamlinda mpk mwisho
Wapumbavu namba yao inaongezekaKusema ukweli kabisa zamani nilikuwa simuelewi kabisa Mdee. Ila kwa sasa huniambii kitu kuhusu huyu binti wa shoka komando kabisa.
Kwanza anajiamini na ana akili nyingi sana huyu binti. Nimegundua hili kupitia hili suala linaloendelea la kuvuliwa uanachama na Ubunge.
Baada ya makamanda uchwara kupotoshwa jana kuhusu kesi yake, Mdee anaendelea kuwacheka tu jinsi wasivyojua Wala kuelewa chochote kuhusu sheria.
Mdee anakwambia hawezi kutishwa na mbwa anaowafuga mwenyewe. Hili ni dongo kwa makamanda uchwara wote.
Nami naungana nae, unatishwaje na mbwa unaowafuga? Chama kakikuza, kakipigania, kakipandisha hadhi, kawapa umaarufu wanachama humo halafu leo mje kumtisha?
Ikiwa tuna Rais wetu mwanamama wa shoka SSH, hivyo naona wazi Mdee ana nafasi kubwa pia ya kuwa mwenyekiti kwenye hiko chama.
Mdee shikilia hapohapo hadi waombe poo
#kazi inaendelea#
View attachment 2270753
kwahiyo CDM ni chama cha Mbowe 😲Kwanini asianzishe chama chake?
Hana akili hata kidogoMwisho si 2025, Kama anaona ni mbali shauri yake.
Kina Saambaya walitegemea kulindwa na binadamu Sasa hivi anafungiwa saa tisa mchana. No beer, no woman, no freedom.
Yaani vichwa vyote 19 na wamekaa chamani miaka kadhaa, wengine wakiwa wanasheria humo bado hawajui wa kumshitaki? Kumbe bogus tu hawa wanawake?.
Kabla ya Mbowe kumfundisha siasa we ulikua unamjua? CHADEMA Ina wanawake wengi sana ndio maana iliweza simamisha wagombea ubunge 70 wanawake!! So they are more than replaced come 2025Mdee utamfananisha na nani huko chadema?
Mashujaa wa wapi walikuwa wanabebwa na serikali tu Sasa wenyewe wamejichanganya na issue ya kikokotoo serikali imewamwagaKusema ukweli kabisa zamani nilikuwa simuelewi kabisa Mdee. Ila kwa sasa huniambii kitu kuhusu huyu binti wa shoka komando kabisa.
Kwanza anajiamini na ana akili nyingi sana huyu binti. Nimegundua hili kupitia hili suala linaloendelea la kuvuliwa uanachama na Ubunge.
Baada ya makamanda uchwara kupotoshwa jana kuhusu kesi yake, Mdee anaendelea kuwacheka tu jinsi wasivyojua Wala kuelewa chochote kuhusu sheria.
Mdee anakwambia hawezi kutishwa na mbwa anaowafuga mwenyewe. Hili ni dongo kwa makamanda uchwara wote.
Nami naungana nae, unatishwaje na mbwa unaowafuga? Chama kakikuza, kakipigania, kakipandisha hadhi, kawapa umaarufu wanachama humo halafu leo mje kumtisha?
Ikiwa tuna Rais wetu mwanamama wa shoka SSH, hivyo naona wazi Mdee ana nafasi kubwa pia ya kuwa mwenyekiti kwenye hiko chama.
Mdee shikilia hapohapo hadi waombe poo
#kazi inaendelea#
View attachment 2270753
Keshakwambia anafuga hao mbwa wake chadema. Ache aendelee na ufugaji akiacha watakula wapi wakati anawalisha ruzuku?Kwanini asianzishe chama chake?
Kusema ukweli kabisa zamani nilikuwa simuelewi kabisa Mdee. Ila kwa sasa huniambii kitu kuhusu huyu binti wa shoka komando kabisa.
Kwanza anajiamini na ana akili nyingi sana huyu binti. Nimegundua hili kupitia hili suala linaloendelea la kuvuliwa uanachama na Ubunge.
Baada ya makamanda uchwara kupotoshwa jana kuhusu kesi yake, Mdee anaendelea kuwacheka tu jinsi wasivyojua Wala kuelewa chochote kuhusu sheria.
Mdee anakwambia hawezi kutishwa na mbwa anaowafuga mwenyewe. Hili ni dongo kwa makamanda uchwara wote.
Nami naungana nae, unatishwaje na mbwa unaowafuga? Chama kakikuza, kakipigania, kakipandisha hadhi, kawapa umaarufu wanachama humo halafu leo mje kumtisha?
Ikiwa tuna Rais wetu mwanamama wa shoka SSH, hivyo naona wazi Mdee ana nafasi kubwa pia ya kuwa mwenyekiti kwenye hiko chama.
Mdee shikilia hapohapo hadi waombe poo
#kazi inaendelea#
View attachment 2270753


mfa maji haachi kutapatapaHalima na wenzake wamekuwa wanawake mashujaa hata kama watapoteza haki zao jasho na mchango mkubwa walio toa ndani ya chadema,ipo siku ukweli utajukika
Chadema mnapambana na wanawake au hamna kazi ya kufanya?
Unataka uitwe mbwa mara ngapi wakati Mdee keshasema ni mbwa anawafuga?Subutu! Akiweza hilo niiteni mbwa niko paleeee!
Keshakwambia anafuga hao mbwa wake chadema. Ache aendelee na ufugaji akiacha watakula wapi wakati anawalisha ruzuku?