Mdee: Sitishwi na mbwa ninaowafuga

Mdee: Sitishwi na mbwa ninaowafuga

Sema ndio vile sina sauti nzito ila ningeshamtongoza mdee,kuwa na mke type yake raha tuu
 
Kusema ukweli kabisa zamani nilikuwa simuelewi kabisa Mdee. Ila kwa sasa huniambii kitu kuhusu huyu binti wa shoka komando kabisa.

Kwanza anajiamini na ana akili nyingi sana huyu binti. Nimegundua hili kupitia hili suala linaloendelea la kuvuliwa uanachama na Ubunge.

Baada ya makamanda uchwara kupotoshwa jana kuhusu kesi yake, Mdee anaendelea kuwacheka tu jinsi wasivyojua Wala kuelewa chochote kuhusu sheria.

Mdee anakwambia hawezi kutishwa na mbwa anaowafuga mwenyewe. Hili ni dongo kwa makamanda uchwara wote.

Nami naungana nae, unatishwaje na mbwa unaowafuga? Chama kakikuza, kakipigania, kakipandisha hadhi, kawapa umaarufu wanachama humo halafu leo mje kumtisha?

Ikiwa tuna Rais wetu mwanamama wa shoka SSH, hivyo naona wazi Mdee ana nafasi kubwa pia ya kuwa mwenyekiti kwenye hiko chama.

Mdee shikilia hapohapo hadi waombe poo

#kazi inaendelea#

View attachment 2270753
Kwahiyo hapa Mbwa Mkuu hasa ni nani huko CHADEMA na hao akina Mbwa wengine anaowafuga nao ni akina nani pia?
 
Kusema ukweli kabisa zamani nilikuwa simuelewi kabisa Mdee. Ila kwa sasa huniambii kitu kuhusu huyu binti wa shoka komando kabisa.

Kwanza anajiamini na ana akili nyingi sana huyu binti. Nimegundua hili kupitia hili suala linaloendelea la kuvuliwa uanachama na Ubunge.

Baada ya makamanda uchwara kupotoshwa jana kuhusu kesi yake, Mdee anaendelea kuwacheka tu jinsi wasivyojua Wala kuelewa chochote kuhusu sheria.

Mdee anakwambia hawezi kutishwa na mbwa anaowafuga mwenyewe. Hili ni dongo kwa makamanda uchwara wote.

Nami naungana nae, unatishwaje na mbwa unaowafuga? Chama kakikuza, kakipigania, kakipandisha hadhi, kawapa umaarufu wanachama humo halafu leo mje kumtisha?

Ikiwa tuna Rais wetu mwanamama wa shoka SSH, hivyo naona wazi Mdee ana nafasi kubwa pia ya kuwa mwenyekiti kwenye hiko chama.

Mdee shikilia hapohapo hadi waombe poo

#kazi inaendelea#

View attachment 2270753
Kumbe ku-forge nyaraka siku hizi ni ushujaa? Ni ushujaa wa aina take, una-forge nyaraka, unaingia bungeni, then unaitwa shujaa!
 
Kusema ukweli kabisa zamani nilikuwa simuelewi kabisa Mdee. Ila kwa sasa huniambii kitu kuhusu huyu binti wa shoka komando kabisa.

Kwanza anajiamini na ana akili nyingi sana huyu binti. Nimegundua hili kupitia hili suala linaloendelea la kuvuliwa uanachama na Ubunge.

Baada ya makamanda uchwara kupotoshwa jana kuhusu kesi yake, Mdee anaendelea kuwacheka tu jinsi wasivyojua Wala kuelewa chochote kuhusu sheria.

Mdee anakwambia hawezi kutishwa na mbwa anaowafuga mwenyewe. Hili ni dongo kwa makamanda uchwara wote.

Nami naungana nae, unatishwaje na mbwa unaowafuga? Chama kakikuza, kakipigania, kakipandisha hadhi, kawapa umaarufu wanachama humo halafu leo mje kumtisha?

Ikiwa tuna Rais wetu mwanamama wa shoka SSH, hivyo naona wazi Mdee ana nafasi kubwa pia ya kuwa mwenyekiti kwenye hiko chama.

Mdee shikilia hapohapo hadi waombe poo

#kazi inaendelea#

View attachment 2270753
Mwanamke mwenye miaka 40+ ni binti?
 
Kusema ukweli kabisa zamani nilikuwa simuelewi kabisa Mdee. Ila kwa sasa huniambii kitu kuhusu huyu binti wa shoka komando kabisa.

Kwanza anajiamini na ana akili nyingi sana huyu binti. Nimegundua hili kupitia hili suala linaloendelea la kuvuliwa uanachama na Ubunge.

Baada ya makamanda uchwara kupotoshwa jana kuhusu kesi yake, Mdee anaendelea kuwacheka tu jinsi wasivyojua Wala kuelewa chochote kuhusu sheria.

Mdee anakwambia hawezi kutishwa na mbwa anaowafuga mwenyewe. Hili ni dongo kwa makamanda uchwara wote.

Nami naungana nae, unatishwaje na mbwa unaowafuga? Chama kakikuza, kakipigania, kakipandisha hadhi, kawapa umaarufu wanachama humo halafu leo mje kumtisha?

Ikiwa tuna Rais wetu mwanamama wa shoka SSH, hivyo naona wazi Mdee ana nafasi kubwa pia ya kuwa mwenyekiti kwenye hiko chama.

Mdee shikilia hapohapo hadi waombe poo

#kazi inaendelea#

View attachment 2270753
Niko na wee mkuu mdee kanyagaa twendee vitoto vya juz tu ..maisha Ni Vita pambana mdee Hadi mwisho
 
Halima na wenzake wamekuwa wanawake mashujaa hata kama watapoteza haki zao jasho na mchango mkubwa walio toa ndani ya chadema,ipo siku ukweli utajukika

Chadema mnapambana na wanawake au hamna kazi ya kufanya?
Sophia Simba ni mwanaume yule?
 
Halima na wenzake wamekuwa wanawake mashujaa hata kama watapoteza haki zao jasho na mchango mkubwa walio toa ndani ya chadema,ipo siku ukweli utajukika

Chadema mnapambana na wanawake au hamna kazi ya kufanya?

Ukweli kwamba CDM walikuwa na uwezo wa kumtoa mtu mahabusu usiku na kwenda kuapishwa kuwa mbunge. Sijui watanzania mnawaonaje hivi CDM wanao uwezo huo katika mahabusu zetu mbona wasiwatoe hao wafungwa wao wa kisiasa
 
Lipumba hajaitwa kuzungumza na raisi?
Mbowe kuitwa haina maana ana akili, raisi ni wa watu wote hadi wendawazimu Kama nyie
Hana akili ila madai yake ya katiba mmeyakubali? Toka lini proposal za kichaa zisikilizwe??

Ni hivi pamoja na kelele zenu humu mitandaoni na matusi kuwa Mbowe Gaidi cjui katiba sio muhimu, hamuoni nyie ndio vichaa maana mmepuuzwa na Mwenyekiti wenu.
 
Mdee kafundishwa siasa na mbowe? Mdee ni UDSM graduate, mbowe form sjx leaver. Ushaelewa nachomaanisha
Nyinyi ndio mnaowadharau wazazi wenu kwa sababu mmesoma kuliko wao. Na ndio mnaowadharau walimu wenu wa praimari kwa sababu mna vidigriii.

Amandla...
 
Hana akili ila madai yake ya katiba mmeyakubali? Toka lini proposal za kichaa zisikilizwe??

Ni hivi pamoja na kelele zenu humu mitandaoni na matusi kuwa Mbowe Gaidi cjui katiba sio muhimu, hamuoni nyie ndio vichaa maana mmepuuzwa na Mwenyekiti wenu.
Madai ya Katiba ni ya mbowe au wananchi?
Hii katiba tuliyonayo sasa ilidaiwa na mbowe?

Mbowe ni gaidi na alikutwa na kesi ya kujibu. Mama yetu kamuonea huruma tu lakini haimaanishi mbowe sio gaidi.
 
Back
Top Bottom