Mdau: Mlitaka Rais afanye nini kuhusu tozo ya miamala ya simu?

Bajeti ya nchi yafaa wanachuo wapewe Kazi hio ya kuaandaa bajeti na sio hao wanasiasa kula kulala awayajui maisha halisi ya watz.
 
Katika awamu hii ya sita hakuna jambo ambalo linapaswa kupongezwa kama utulivu, hekima na maarifa aliyoyaonyesha Rais Samia Suluhu Hassan kwa kipindi hiki ambacho alipitia magumu kama Rais wa Nchi kwa kupambana na mtikisiko wa kiuchumi kutokana na janga la korona ambalo ni kwa Dunia nzima kila mahali ni kilio.

Hivi kweli Watanzania wenzangu tunakubalije kuchezewa akili na watu ambao kwao hakuna jema katika Nchi yetu wao wanaona mabaya tu basi kiasi cha kuwa wapingaji wa kila jambo na wapinzani wa muda wote hata kama Serikali inafanya mazurii kiasi gani.

Rais alishatuweka wazi kuwa uchumi wetu ulishuka na sababu iko wazi kabisa kutokana na janga hili la corona , licha ya kwamba serikali muda wote imejitahidi kupambana ili kuhakikisha uchumi mwetu unakuwa imara. Hili tu la Rais Samia kusema wazi ni dalili tosha ya kuonyesha ni kwa namna gani sisi kama Watanzania tunapaswa kuwa sehemu ya kuhakikisha tunashiriki kikamilifu katika ujenzi wa Taifa letu licha ya changamoto zilizopo ambazo ni kwa Dunia nzima.

Serikali ina vyanzo mbalimbali vya mapato vya ndani na vya nje kama mikopo lakini unadhani ni salama zaidi kuliongezea Taifa deni katika kipindi hiki cha mdororo wa kiuchumi wa kidunia? Ndio maana tunapotakiwa kushiriki katika kulipa kodi ya mshikamano kupitia tozo hizi za miamala na katika mafuta lazima tujiulize maswali matatu muhimu .

Swali la kwanza “ Kwa nini tozo hii kwa wakati huu? “ leo hii uchumi umeshuka na dunia inalia kuna dhambi gani kuwa na tozo itakayochagiza maendeleo katika Taifa letu tena ni maendeleo kule vijijini ambako tuliopo mijini tumekuwa tukipokea simu za changamoto kila uchao, sasa kwanini simu hizi zisipungue angalau kwa kuwapa nafuu na wenzetu wa vijijini.

Swali la pili “ Tozo hizi zinatumika wapi na zinamnufaisha nani na zitatumikaje? “ Hapa ni muhimu sana kupaelewa kwani moja kati ya njia ya kujipatia maendeleo kwa nguvu zetu wenyewe ni kulipa kodi au kupitia tozo kama hizi za mshikamano ambapo serikali imeshatuweka wazi ni kwa ajili ya maendeleo au shughuli za kijamii maji, afya, elimu , barabara vijijini pamoja na nishati vijijini . Ni nani asiyetambua ni kwa kiasi gani wananchi walioko pembezoni huko wanavyopata shida ya barabara , suala la nishati na maji jambo ambalo kwa sasa serikali imeamua kutumia njia ya moja kwa moja kutatua changamoto hizi kwa kuanzisha kodi mahususi kwa ajili ya changamoto hizi ili ziwe historia.

Swali la tatu “ Mimi ninayekatwa ni kwa kiasi gani nitaathiriwa na tozo hizi kuliko athari ambazo ningezipata kwa kuwa mchoyo wa kuwachangia ndugu zangu kijijini kupitia serikali ili angalau niepushe madhara yatokanayo na kukosa barabara , kukosa maji na umeme bila kusahau vitendea kazi katika huduma za afya. Ni wakati sahihi kwa Watanzania kuamini katika uwezo wetu wa kujijenga kiuchumi na sio kulalamika kwani hakuna wa kutupa msaada bure usiokuwa na msharti ambayo yatakuwa mwiba na mzigo mzito kwa vizazi vijavyo.
Naomba kutoa rai kwa watanzania tusiisaliti Nchi yetu kwa dhambi ya ubinafsi ambapo madhara yake ni makubwa sana. Wewe uliyejaaliwa hicho kidogo hebu tamani kuwa sehemu ya mageuzi ya kiuchumi katika Taifa lako.

Hivi kweli tunamini kabisa kwamba wafanyakazi na wafanyabiashara wakubwa ndio watubebe kiuchumi kama Taifa ? kiasi ambacho hata tu kuchangia 300 mpaka 10,000 au 16,000 tunaona ni mzigo mkubwa ambapo tunatambua fika ndg zetu wafanyakazi wao kila mwezi wanakatwa kodi na bado wanakatwa tena kwenye matumizi katika ongezeko la thamani?

Natambua hoja ya rasilimali za nchi kuwepo na uwekezaji lakini je hatuzioni shule kila kata na elimu bila malipo ? je hatuzioni hospitali za rufaa kila mkoa, hatuzioni hospitali za wilaya, vituo vya afya kila kata na zahanati kila kijiji? Je hatuwaoni watu wa REA kila kijiji na kitongoji? Hatuzioni barabara kila wilaya kwa nchi nzima? Je kweli hatulioni bwawa la Mwl Nyerere na Mradi wa Reli ya kisasa? Hivi kweli hatuzioni ndege za ATCL?

Jamani Serikali inafanya mengi tena makubwa lakini kama kweli tuna nia njema na tunaiona dhamira ya Rais Samia na awamu hii ya sita tuchapeni kazi na tushiriki kulipa kodi ili tupige hatua na daima tutambue Watanzania Hakuna maendeleo yanayokuja bila maumivu na siku zote Mvumilivu hula mbivu.

TUMUUNGENI MKONO RAIS SAMIA ANA DHAMIRA NJEMA KATIKA TAIFA LETU.

Ni mimi mpita njia

Kamshamura Kuku Magu Dedede
Sasa uchumi umeshuka, wewe unafikiri hao wachangiaji wao uchumi wao haujashuka?
 
Dawa ni moja tu: Serikali kupunguza matumizi yasiyo ya lazima mfano, wabunge wa covid 19, wabunge wa kuteuliwa na rais, ukubwa wa baraza la mawaziri na manaibu wao, wakuu wa mikoa na wilaya. Mamlaka mbalimbali zisizokuwa na tija.

Na wewe jiongeze mshenzi wewe!
neno
 
Bajeti ya nchi yafaa wanachuo wapewe Kazi hio ya kuaandaa bajeti na sio hao wanasiasa kula kulala awayajui maisha halisi ya watz.
Uko sahihi sababu kampuni zenyewe za simu nyingi zina bando la wanachuo zikitambua umuhimu wao. Serikali wawape kazi ya kutengeneza bajeti
 
Upo mdau kimya sna usharudi jamvini maana uliomba likizo ulituaga.
Uko sahihi sababu kampuni zenyewe za simu nyingi zina bando la wanachuo zikitambua umuhimu wao. Serikali wawape kazi ya kutengeneza bajeti
 
Dawa ni moja tu: Serikali kupunguza matumizi yasiyo ya lazima mfano, wabunge wa covid 19, wabunge wa kuteuliwa na rais, ukubwa wa baraza la mawaziri na manaibu wao, wakuu wa mikoa na wilaya. Mamlaka mbalimbali zisizokuwa na tija.

Na wewe jiongeze mshenzi wewe!
Wizara ya maji & wizara ya nishati na madini hiv hii kwann isiwe wizara moja? Ama mm ndio mjinga? Kwan maji sio nishati?
 
wanachuo hawa ambao wanatrend na pornograph gheton mwao
Hata wabunge wamo hio sekta haina rika ni burudani baada ya Kazi.
Wanachuo wanayajua maisha halisi ya watz.Kama sio wanachuo wapewe walimu hii ni kada pia inayajua maisha halisi ya watz.
 
Hata wabunge wamo hio sekta haina rika ni burudani baada ya Kazi.
Wanachuo wanayajua maisha halisi ya watz.Kama sio wanachuo wapewe walimu hii ni kada pia inayajua maisha halisi ya watz.
basi tusiwe na bunge kama ambao tunawategemea ktk kupaza sauti zetu hawayaoni haya
 
Upo mdau kimya sna usharudi jamvini maana uliomba likizo ulituaga.
Tumewachia mama na timu yake ya poppote iikiwemo mitandaoni asione timu Magufuli tunamwingiiia

sio niliomba tu likizo tu ila nili log out for good lakini ikiweko issue serious hatarishi kwa CCM na serikali narudi. Hili la kuongeza tozo no no no no no. ana washauri wabovu kwenye Hili tena wabovu mno beyond repair wanataka kuua financial Inclusion ya watu majority wa chini ambao ni unbankable pesa zao ziko tu mitandao ya simu..

Hii Sera ya kuongeza tozo ni ya kuua financial inclusions ya watu masikini Zungu aliyetoa huo ushauri ni fisadi limehonngwa na mabenki kuua financial inclusion na huyo waziri wa fedha afungashwe virago Ina hajui what's financial inclusion kwa watu maskini na wa hali ya chini? Aulize Kikwete anajua vizuri sana dhana ya financial inclusion Kikwete alifanya vizuri mno kwenye hili. mama Samia aongee na Kikwete kwenye hili asisikilize Zungu wala waziri wa fedha aongee na Kikwete ampe somo nini maana ya financial inclusion na kuongeza tozo athari zake nini
Timu Magufuli tutakuwa tukiingia kuchangia tukiona hapa no no no na pamekaa vibaya mno
 
Katika awamu hii ya sita hakuna jambo ambalo linapaswa kupongezwa kama utulivu, hekima na maarifa aliyoyaonyesha Rais Samia Suluhu Hassan kwa kipindi hiki ambacho alipitia magumu kama Rais wa Nchi kwa kupambana na mtikisiko wa kiuchumi kutokana na janga la korona ambalo ni kwa Dunia nzima kila mahali ni kilio.

Hivi kweli Watanzania wenzangu tunakubalije kuchezewa akili na watu ambao kwao hakuna jema katika Nchi yetu wao wanaona mabaya tu basi kiasi cha kuwa wapingaji wa kila jambo na wapinzani wa muda wote hata kama Serikali inafanya mazurii kiasi gani.

Rais alishatuweka wazi kuwa uchumi wetu ulishuka na sababu iko wazi kabisa kutokana na janga hili la corona , licha ya kwamba serikali muda wote imejitahidi kupambana ili kuhakikisha uchumi mwetu unakuwa imara. Hili tu la Rais Samia kusema wazi ni dalili tosha ya kuonyesha ni kwa namna gani sisi kama Watanzania tunapaswa kuwa sehemu ya kuhakikisha tunashiriki kikamilifu katika ujenzi wa Taifa letu licha ya changamoto zilizopo ambazo ni kwa Dunia nzima.

Serikali ina vyanzo mbalimbali vya mapato vya ndani na vya nje kama mikopo lakini unadhani ni salama zaidi kuliongezea Taifa deni katika kipindi hiki cha mdororo wa kiuchumi wa kidunia? Ndio maana tunapotakiwa kushiriki katika kulipa kodi ya mshikamano kupitia tozo hizi za miamala na katika mafuta lazima tujiulize maswali matatu muhimu .

Swali la kwanza “ Kwa nini tozo hii kwa wakati huu? “ leo hii uchumi umeshuka na dunia inalia kuna dhambi gani kuwa na tozo itakayochagiza maendeleo katika Taifa letu tena ni maendeleo kule vijijini ambako tuliopo mijini tumekuwa tukipokea simu za changamoto kila uchao, sasa kwanini simu hizi zisipungue angalau kwa kuwapa nafuu na wenzetu wa vijijini.

Swali la pili “ Tozo hizi zinatumika wapi na zinamnufaisha nani na zitatumikaje? “ Hapa ni muhimu sana kupaelewa kwani moja kati ya njia ya kujipatia maendeleo kwa nguvu zetu wenyewe ni kulipa kodi au kupitia tozo kama hizi za mshikamano ambapo serikali imeshatuweka wazi ni kwa ajili ya maendeleo au shughuli za kijamii maji, afya, elimu , barabara vijijini pamoja na nishati vijijini . Ni nani asiyetambua ni kwa kiasi gani wananchi walioko pembezoni huko wanavyopata shida ya barabara , suala la nishati na maji jambo ambalo kwa sasa serikali imeamua kutumia njia ya moja kwa moja kutatua changamoto hizi kwa kuanzisha kodi mahususi kwa ajili ya changamoto hizi ili ziwe historia.

Swali la tatu “ Mimi ninayekatwa ni kwa kiasi gani nitaathiriwa na tozo hizi kuliko athari ambazo ningezipata kwa kuwa mchoyo wa kuwachangia ndugu zangu kijijini kupitia serikali ili angalau niepushe madhara yatokanayo na kukosa barabara , kukosa maji na umeme bila kusahau vitendea kazi katika huduma za afya. Ni wakati sahihi kwa Watanzania kuamini katika uwezo wetu wa kujijenga kiuchumi na sio kulalamika kwani hakuna wa kutupa msaada bure usiokuwa na msharti ambayo yatakuwa mwiba na mzigo mzito kwa vizazi vijavyo.
Naomba kutoa rai kwa watanzania tusiisaliti Nchi yetu kwa dhambi ya ubinafsi ambapo madhara yake ni makubwa sana. Wewe uliyejaaliwa hicho kidogo hebu tamani kuwa sehemu ya mageuzi ya kiuchumi katika Taifa lako.

Hivi kweli tunamini kabisa kwamba wafanyakazi na wafanyabiashara wakubwa ndio watubebe kiuchumi kama Taifa ? kiasi ambacho hata tu kuchangia 300 mpaka 10,000 au 16,000 tunaona ni mzigo mkubwa ambapo tunatambua fika ndg zetu wafanyakazi wao kila mwezi wanakatwa kodi na bado wanakatwa tena kwenye matumizi katika ongezeko la thamani?

Natambua hoja ya rasilimali za nchi kuwepo na uwekezaji lakini je hatuzioni shule kila kata na elimu bila malipo ? je hatuzioni hospitali za rufaa kila mkoa, hatuzioni hospitali za wilaya, vituo vya afya kila kata na zahanati kila kijiji? Je hatuwaoni watu wa REA kila kijiji na kitongoji? Hatuzioni barabara kila wilaya kwa nchi nzima? Je kweli hatulioni bwawa la Mwl Nyerere na Mradi wa Reli ya kisasa? Hivi kweli hatuzioni ndege za ATCL?

Jamani Serikali inafanya mengi tena makubwa lakini kama kweli tuna nia njema na tunaiona dhamira ya Rais Samia na awamu hii ya sita tuchapeni kazi na tushiriki kulipa kodi ili tupige hatua na daima tutambue Watanzania Hakuna maendeleo yanayokuja bila maumivu na siku zote Mvumilivu hula mbivu.

TUMUUNGENI MKONO RAIS SAMIA ANA DHAMIRA NJEMA KATIKA TAIFA LETU.

Ni mimi mpita njia

Kamshamura Kuku Magu Dedede

Kwamba?

"Rais alishatuweka wazi kuwa uchumi wetu ulishuka na sababu iko wazi kabisa kutokana na janga hili la corona."


Huo uchumi ulioshuka ni kwa serikali tu? Na kwa watu binafsi na biashara zao je?
 
Katika awamu hii ya sita hakuna jambo ambalo linapaswa kupongezwa kama utulivu, hekima na maarifa aliyoyaonyesha Rais Samia Suluhu Hassan kwa kipindi hiki ambacho alipitia magumu kama Rais wa Nchi kwa kupambana na mtikisiko wa kiuchumi kutokana na janga la korona ambalo ni kwa Dunia nzima kila mahali ni kilio.

Hivi kweli Watanzania wenzangu tunakubalije kuchezewa akili na watu ambao kwao hakuna jema katika Nchi yetu wao wanaona mabaya tu basi kiasi cha kuwa wapingaji wa kila jambo na wapinzani wa muda wote hata kama Serikali inafanya mazurii kiasi gani.

Rais alishatuweka wazi kuwa uchumi wetu ulishuka na sababu iko wazi kabisa kutokana na janga hili la corona , licha ya kwamba serikali muda wote imejitahidi kupambana ili kuhakikisha uchumi mwetu unakuwa imara. Hili tu la Rais Samia kusema wazi ni dalili tosha ya kuonyesha ni kwa namna gani sisi kama Watanzania tunapaswa kuwa sehemu ya kuhakikisha tunashiriki kikamilifu katika ujenzi wa Taifa letu licha ya changamoto zilizopo ambazo ni kwa Dunia nzima.

Serikali ina vyanzo mbalimbali vya mapato vya ndani na vya nje kama mikopo lakini unadhani ni salama zaidi kuliongezea Taifa deni katika kipindi hiki cha mdororo wa kiuchumi wa kidunia? Ndio maana tunapotakiwa kushiriki katika kulipa kodi ya mshikamano kupitia tozo hizi za miamala na katika mafuta lazima tujiulize maswali matatu muhimu .

Swali la kwanza “ Kwa nini tozo hii kwa wakati huu? “ leo hii uchumi umeshuka na dunia inalia kuna dhambi gani kuwa na tozo itakayochagiza maendeleo katika Taifa letu tena ni maendeleo kule vijijini ambako tuliopo mijini tumekuwa tukipokea simu za changamoto kila uchao, sasa kwanini simu hizi zisipungue angalau kwa kuwapa nafuu na wenzetu wa vijijini.

Swali la pili “ Tozo hizi zinatumika wapi na zinamnufaisha nani na zitatumikaje? “ Hapa ni muhimu sana kupaelewa kwani moja kati ya njia ya kujipatia maendeleo kwa nguvu zetu wenyewe ni kulipa kodi au kupitia tozo kama hizi za mshikamano ambapo serikali imeshatuweka wazi ni kwa ajili ya maendeleo au shughuli za kijamii maji, afya, elimu , barabara vijijini pamoja na nishati vijijini . Ni nani asiyetambua ni kwa kiasi gani wananchi walioko pembezoni huko wanavyopata shida ya barabara , suala la nishati na maji jambo ambalo kwa sasa serikali imeamua kutumia njia ya moja kwa moja kutatua changamoto hizi kwa kuanzisha kodi mahususi kwa ajili ya changamoto hizi ili ziwe historia.

Swali la tatu “ Mimi ninayekatwa ni kwa kiasi gani nitaathiriwa na tozo hizi kuliko athari ambazo ningezipata kwa kuwa mchoyo wa kuwachangia ndugu zangu kijijini kupitia serikali ili angalau niepushe madhara yatokanayo na kukosa barabara , kukosa maji na umeme bila kusahau vitendea kazi katika huduma za afya. Ni wakati sahihi kwa Watanzania kuamini katika uwezo wetu wa kujijenga kiuchumi na sio kulalamika kwani hakuna wa kutupa msaada bure usiokuwa na msharti ambayo yatakuwa mwiba na mzigo mzito kwa vizazi vijavyo.
Naomba kutoa rai kwa watanzania tusiisaliti Nchi yetu kwa dhambi ya ubinafsi ambapo madhara yake ni makubwa sana. Wewe uliyejaaliwa hicho kidogo hebu tamani kuwa sehemu ya mageuzi ya kiuchumi katika Taifa lako.

Hivi kweli tunamini kabisa kwamba wafanyakazi na wafanyabiashara wakubwa ndio watubebe kiuchumi kama Taifa ? kiasi ambacho hata tu kuchangia 300 mpaka 10,000 au 16,000 tunaona ni mzigo mkubwa ambapo tunatambua fika ndg zetu wafanyakazi wao kila mwezi wanakatwa kodi na bado wanakatwa tena kwenye matumizi katika ongezeko la thamani?

Natambua hoja ya rasilimali za nchi kuwepo na uwekezaji lakini je hatuzioni shule kila kata na elimu bila malipo ? je hatuzioni hospitali za rufaa kila mkoa, hatuzioni hospitali za wilaya, vituo vya afya kila kata na zahanati kila kijiji? Je hatuwaoni watu wa REA kila kijiji na kitongoji? Hatuzioni barabara kila wilaya kwa nchi nzima? Je kweli hatulioni bwawa la Mwl Nyerere na Mradi wa Reli ya kisasa? Hivi kweli hatuzioni ndege za ATCL?

Jamani Serikali inafanya mengi tena makubwa lakini kama kweli tuna nia njema na tunaiona dhamira ya Rais Samia na awamu hii ya sita tuchapeni kazi na tushiriki kulipa kodi ili tupige hatua na daima tutambue Watanzania Hakuna maendeleo yanayokuja bila maumivu na siku zote Mvumilivu hula mbivu.

TUMUUNGENI MKONO RAIS SAMIA ANA DHAMIRA NJEMA KATIKA TAIFA LETU.

Ni mimi mpita njia

Kamshamura Kuku Magu Dedede
Aahakujibu huko tunasubiri tena ubadilishe gear angani

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Hiyo tozo haieleweki ni ya nini kwenye miamala.
Mimi ndugu yangu amekufa tumetumiwa fedha za mazishi kwenda kuzitoa mpaka tugawane na serikali?
Wakifa wengi furaha kwa serikali. maana Miamala mingi na italeta pesa mingi.



Nchi inajengwa na walipa kodi, haiepukiki kulipa kodi, tunahitaji shule, barabara, hospitali n.k serikali imeeleza strategy zake ili mzunguko uongezeke
 
Sasa uchumi umeshuka, wewe unafikiri hao wachangiaji wao uchumi wao haujashuka?

Sambamba na kushuka huko, tozo zilizofutwa na kupunguzwa katika bajeti hii zinaleta nafuu ukichanganya na strategy yake ya kurudisha fedha kwa wananchi kwa kulipa madeni inaongeza mzunguko hivyo tutahimili tozo hizi hapo mbele
 
Katika awamu hii ya sita hakuna jambo ambalo linapaswa kupongezwa kama utulivu, hekima na maarifa aliyoyaonyesha Rais Samia Suluhu Hassan kwa kipindi hiki ambacho alipitia magumu kama Rais wa Nchi kwa kupambana na mtikisiko wa kiuchumi kutokana na janga la korona ambalo ni kwa Dunia nzima kila mahali ni kilio.

Hivi kweli Watanzania wenzangu tunakubalije kuchezewa akili na watu ambao kwao hakuna jema katika Nchi yetu wao wanaona mabaya tu basi kiasi cha kuwa wapingaji wa kila jambo na wapinzani wa muda wote hata kama Serikali inafanya mazurii kiasi gani.

Rais alishatuweka wazi kuwa uchumi wetu ulishuka na sababu iko wazi kabisa kutokana na janga hili la corona , licha ya kwamba serikali muda wote imejitahidi kupambana ili kuhakikisha uchumi mwetu unakuwa imara. Hili tu la Rais Samia kusema wazi ni dalili tosha ya kuonyesha ni kwa namna gani sisi kama Watanzania tunapaswa kuwa sehemu ya kuhakikisha tunashiriki kikamilifu katika ujenzi wa Taifa letu licha ya changamoto zilizopo ambazo ni kwa Dunia nzima.

Serikali ina vyanzo mbalimbali vya mapato vya ndani na vya nje kama mikopo lakini unadhani ni salama zaidi kuliongezea Taifa deni katika kipindi hiki cha mdororo wa kiuchumi wa kidunia? Ndio maana tunapotakiwa kushiriki katika kulipa kodi ya mshikamano kupitia tozo hizi za miamala na katika mafuta lazima tujiulize maswali matatu muhimu .

Swali la kwanza “ Kwa nini tozo hii kwa wakati huu? “ leo hii uchumi umeshuka na dunia inalia kuna dhambi gani kuwa na tozo itakayochagiza maendeleo katika Taifa letu tena ni maendeleo kule vijijini ambako tuliopo mijini tumekuwa tukipokea simu za changamoto kila uchao, sasa kwanini simu hizi zisipungue angalau kwa kuwapa nafuu na wenzetu wa vijijini.

Swali la pili “ Tozo hizi zinatumika wapi na zinamnufaisha nani na zitatumikaje? “ Hapa ni muhimu sana kupaelewa kwani moja kati ya njia ya kujipatia maendeleo kwa nguvu zetu wenyewe ni kulipa kodi au kupitia tozo kama hizi za mshikamano ambapo serikali imeshatuweka wazi ni kwa ajili ya maendeleo au shughuli za kijamii maji, afya, elimu , barabara vijijini pamoja na nishati vijijini . Ni nani asiyetambua ni kwa kiasi gani wananchi walioko pembezoni huko wanavyopata shida ya barabara , suala la nishati na maji jambo ambalo kwa sasa serikali imeamua kutumia njia ya moja kwa moja kutatua changamoto hizi kwa kuanzisha kodi mahususi kwa ajili ya changamoto hizi ili ziwe historia.

Swali la tatu “ Mimi ninayekatwa ni kwa kiasi gani nitaathiriwa na tozo hizi kuliko athari ambazo ningezipata kwa kuwa mchoyo wa kuwachangia ndugu zangu kijijini kupitia serikali ili angalau niepushe madhara yatokanayo na kukosa barabara , kukosa maji na umeme bila kusahau vitendea kazi katika huduma za afya. Ni wakati sahihi kwa Watanzania kuamini katika uwezo wetu wa kujijenga kiuchumi na sio kulalamika kwani hakuna wa kutupa msaada bure usiokuwa na msharti ambayo yatakuwa mwiba na mzigo mzito kwa vizazi vijavyo.
Naomba kutoa rai kwa watanzania tusiisaliti Nchi yetu kwa dhambi ya ubinafsi ambapo madhara yake ni makubwa sana. Wewe uliyejaaliwa hicho kidogo hebu tamani kuwa sehemu ya mageuzi ya kiuchumi katika Taifa lako.

Hivi kweli tunamini kabisa kwamba wafanyakazi na wafanyabiashara wakubwa ndio watubebe kiuchumi kama Taifa ? kiasi ambacho hata tu kuchangia 300 mpaka 10,000 au 16,000 tunaona ni mzigo mkubwa ambapo tunatambua fika ndg zetu wafanyakazi wao kila mwezi wanakatwa kodi na bado wanakatwa tena kwenye matumizi katika ongezeko la thamani?

Natambua hoja ya rasilimali za nchi kuwepo na uwekezaji lakini je hatuzioni shule kila kata na elimu bila malipo ? je hatuzioni hospitali za rufaa kila mkoa, hatuzioni hospitali za wilaya, vituo vya afya kila kata na zahanati kila kijiji? Je hatuwaoni watu wa REA kila kijiji na kitongoji? Hatuzioni barabara kila wilaya kwa nchi nzima? Je kweli hatulioni bwawa la Mwl Nyerere na Mradi wa Reli ya kisasa? Hivi kweli hatuzioni ndege za ATCL?

Jamani Serikali inafanya mengi tena makubwa lakini kama kweli tuna nia njema na tunaiona dhamira ya Rais Samia na awamu hii ya sita tuchapeni kazi na tushiriki kulipa kodi ili tupige hatua na daima tutambue Watanzania Hakuna maendeleo yanayokuja bila maumivu na siku zote Mvumilivu hula mbivu.

TUMUUNGENI MKONO RAIS SAMIA ANA DHAMIRA NJEMA KATIKA TAIFA LETU.

Ni mimi mpita njia

Kamshamura Kuku Magu Dedede
Mjinga hua anadhani wengine nao wajinga.
Baki na ujinga wako kwa mumeo
 
Back
Top Bottom