Technician
JF-Expert Member
- Mar 30, 2010
- 841
- 222
Ni muumini wa Kanisa Katoliki kama ilivyo kwa Jakaya Khalifan Mrisho Kikwete na Ibrahimu Lipumba kwa Islaam.
Hii imekaa vizuri.
Simole qt simple answer.
Ni muumini wa Kanisa Katoliki kama ilivyo kwa Jakaya Khalifan Mrisho Kikwete na Ibrahimu Lipumba kwa Islaam.
phd ya kanisa?
Nini uhusiano wako na imani yako, au wa viongozi wengine na misikiti au makanisa yao?okl lkn pia dk slaa ataulizwa simple question
nini uhusiano wake na kanisa katoliki?
Na wewe tutakuuliza ukahaba wako wa kushabikia mambo ya kidini utaacha lini?
okl lkn pia dk slaa ataulizwa simple question
nini uhusiano wake na kanisa katoliki?