Chipukizi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 3,949
- 5,977
mimi nnayo VHS yake ya hule mdahalo,ulifanywa na abantu vision,ambao bado wapo....but nnaisi chombo kama NGO yenye kusimamia siasa safi na utawala bora inaweza andaa njadala kama hule,then unatuma mialiko kwa wagombea,unatafuta udhamini kwenye Tv unaenda hewani.