Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,812
- 11,987
Mdahalo wa Wagombea wa Uenyekiti wa Ngome ya Vijana Taifa kwa Chama cha ACT Wazalendo kwenye Ukumbi wa Hakainde Hichilema, leo Februari 27, 2024.
Mdahalo wa Wagombea wa Uenyekiti wa Ngome ya Vijana Taifa kwa Chama cha ACT Wazalendo kwenye Ukumbi wa Hakainde Hichilema, leo Februari 27, 2024.
ACT tangu wakubali kuingia kwenye serikali mseto wamekuwa ni wale wale. Hivi umesikia Mwinyi anavyofisadi huko Zenji? Na hili analifanya huku hao washirika wake wa ACT wako kimya. Wahoji nini wakati nao wamekaa meza ya makulaji?Hii ni hatua kubwa na nzuri sana ya namna ya kuendesha vyama.
ACT Wazalendo wametisha sana
Asante sana kunifikiria kuwa ninaweza, nimeanza mdogo mdogo, angalia Channel Ten kila Jumapili saa 3:00 usiku, 2025 tutaendesha midahalo.ACT Wazalendo wamefanya jambo zuri sana katika siasa. Mdahalo ni sehemu muhimu ya shughuli za siasa
Kuna mapungufu makubwa yaliyotokana ima na mwendesha mdahalo au kamati ya maandalizi..
Nadhani muongozaji alipwaya sana na kamati hhaikumsaidia kuufanya mdahaho uwe moto na wenye tija
Pascal Mayalla una uwezo wa kuongoza shughuli hizi najua, na hapa nakupigia chapuo kwa weledi.
JokaKuu Zitto Kabwe
Sasa P kwanini usiweke hapa JF pia? ni vema ili tulioshindwa kuangalia Jumapili tupate fursa.Asante sana kunifikiria kuwa ninaweza, nimeanza mdogo mdogo, angalia Channel Ten kila Jumapili saa 3:00 usiku, 2025 tutaendesha midahalo.
P
P
Sawa nitaweka.Sasa P kwanini usiweke hapa JF pia? ni vema ili tulioshindwa kuangalia Jumapili tupate fursa.
Please ongea na JF sidhani kama kuna tabu kwa hilo