MDAHALO WA ELIMU Part 2 NA SHEIKH SULE

Jackwillpower

JF-Expert Member
Oct 4, 2017
2,313
3,443
MDAHALO WA KIELIMU: Season 2

Waislamu mwalimu wenu anakibarua kizito

Baada ya MDAHALO wa kwanza walimu wakiislamu Sule,mazinge na genge lao kupigwa KO

Sasa tumeandaa MDAHALO mwingine kuendelea kupinga upotishaji na kuwaleta waislam kwa Yesu
FB_IMG_1716010996385.jpg

Tukimaliza mada hizo mbili katika mjadala wa uso kwa uso tutaenda live kwenye media kama kumi hivi juu ya mada ya majini ambayo Dr. Sule kasema muislamu anaweza kuyafuga na yakampa pesa/mafanikio....

Tarehe 1&2/06 msikose katika kumbi za Sunset katika ukumbi wa Flamingo Mbezi Beach Makonde.

Hakuna kiingilio, ni bure, wote mnakaribishwa.



0757722557

FB_IMG_1716010996385.jpg
 
ifikie hatua kila mmoja aheshim maamuzi ya dini ya mwengine, sasa hiki ndio nn?
 
MDAHALO WA KIELIMU: Season 2

Waislamu mwalimu wenu anakibarua kizito

Baada ya MDAHALO wa kwanza walimu wakiislamu Sule,mazinge na genge lao kupigwa KO

Sasa tumeandaa MDAHALO mwingine kuendelea kupinga upotishaji na kuwaleta waislam kwa Yesu
View attachment 2993031
Tukimaliza mada hizo mbili katika mjadala wa uso kwa uso tutaenda live kwenye media kama kumi hivi juu ya mada ya majini ambayo Dr. Sule kasema muislamu anaweza kuyafuga na yakampa pesa/mafanikio....

Tarehe 1&2/06 msikose katika kumbi za Sunset katika ukumbi wa Flamingo Mbezi Beach Makonde.

Hakuna kiingilio, ni bure, wote mnakaribishwa.



0757722557

View attachment 2993029
Jamaa anafuga majini huyu
 
Sasa hivi ata kwa akili ya kawaida tu uulizwe yesu ni mungu au si Mungu si hata mtoto mdogo anajua jibu lake jamani 😀
 
Sasa hivi ata kwa akili ya kawaida tu uulizwe yesu ni mungu au si Mungu si hata mtoto mdogo anajua jibu lake jamani 😀
Jibu ni lipi?

Yohane 14:8-12
,,,,,,,,,,, Aliyekwisha niona mimi amemwona Baba.

Yohana 5:37
Naye Baba aliyenituma amenishuhudia. Sauti yake hamkuisikia wakati wowote, wala sura yake hamkuiona.
 
Wazee wa takbir ....ila waislamu nilikuja kuwaona jau na sio waungwana nilivyofika advance.
Wakati nakua na ata mafundisho yangu ya kidini nilifundishwa kuwa waislamu ni watu wazuri wanao mwabudu allah na wanasali msikitini. Hayo ni mafundisho ya walutheri kwenye kipa imara
Na kule mtaani japo asilimia zaidi ya 95 ya watu walikuwa wakristo lakini ilikuwa watu wakikuita usthaz au sheikh maana yake wewe ni mtu mwenye hekima na mpenda amani.

Usilolijua ni usiku wa giza baada ya kwenda kuishi Tanga ndio nikajua waislamu ni watu gani na baada ya kuja kusoma tena hapa jf mawazo ya watu kama malaria, ff, bigshow, Ritz na wengine ndio nikajua shetani ni mmiliki halali wa hiyo dini tofauti na nilivyo aminishwa kule kijijini.
 
Jibu ni lipi?

Yohane 14:8-12
,,,,,,,,,,, Aliyekwisha niona mimi amemwona Baba.

Yohana 5:37
Naye Baba aliyenituma amenishuhudia. Sauti yake hamkuisikia wakati wowote, wala sura yake hamkuiona.
Kwahiyo yeye ni mungu au ni mwana wa mungu?
 
Jibu ni lipi?

Yohane 14:8-12
,,,,,,,,,,, Aliyekwisha niona mimi amemwona Baba.

Yohana 5:37
Naye Baba aliyenituma amenishuhudia. Sauti yake hamkuisikia wakati wowote, wala sura yake hamkuiona.
Baba aliyemtuma sio kwamba amejituma , acheni kuamini ujinga Ysu hakuwa Mungu
 
Back
Top Bottom