Majibu ya Nape.
Anadai stil bado ccm inaamin kuwa itikad ipo sahih. Ameropoka sana. Hakuna alichoongea. Anadai imetupeleka kwa miaka 50. Anasema kuwa malengo ya itikad ni kuifkisha nch sehemu flan, (hajataja hyo sehemu), pia anasema kuwa ujamaa unamfanya mwananchi kuish kijamaa, kindugu na kujitegemea. Ameulizwa kuwa ujamaa huu ndio ule wa Nyerere amejibu ndio.