mkuu hata ukiwapelekea taarifa tra unakua umewapelekea ulaji.!
nchi ya kitu kidogo hii!!!!
Hivi karibuni nilioenda mitaa ya kitumbini kwenye maduka ya jumla kununua bidhaa za dukani kwangu na nilifanya manunuzi kwenye maduka ya wachina na wahindi
Nilinunua mzigo wa kama 11m lakini risiti halali za TRA nilizopewa zilikuwa zinaonyesha hesabu pungufu na kwamba eti nimenunua mzigo wa sh laki nane tu . Nilivyouliza wakaniambia ndiyo huwa wanafanya hivyo ili kukwepa kodi
Je TRA mnalijua hili????
Hivi ndivyo Wachina na wahindi wanavyotuibia kwa kukwepa kulipa kodi TRA
Hivi karibuni nilioenda mitaa ya kitumbini kwenye maduka ya jumla kununua bidhaa za dukani kwangu na nilifanya manunuzi kwenye maduka ya wachina na wahindi
Nilinunua mzigo wa kama 11m lakini risiti halali za TRA nilizopewa zilikuwa zinaonyesha hesabu pungufu na kwamba eti nimenunua mzigo wa sh laki nane tu . Nilivyouliza wakaniambia ndiyo huwa wanafanya hivyo ili kukwepa kodi
Je TRA mnalijua hili????
mkuu hata ukiwapelekea taarifa tra unakua umewapelekea ulaji.!
nchi ya kitu kidogo hii!!!!
Kweli ila sasa tufanye je? Ama na sisi tutafute pa kuponea na sisi?
Hivi karibuni nilioenda mitaa ya kitumbini kwenye maduka ya jumla kununua bidhaa za dukani kwangu na nilifanya manunuzi kwenye maduka ya wachina na wahindi
Nilinunua mzigo wa kama 11m lakini risiti halali za TRA nilizopewa zilikuwa zinaonyesha hesabu pungufu na kwamba eti nimenunua mzigo wa sh laki nane tu . Nilivyouliza wakaniambia ndiyo huwa wanafanya hivyo ili kukwepa kodi
Je TRA mnalijua hili????
Wapigie TRA moja kwa moja au polisi mkao makuu, halafu wasipofanya ndo uwalaumu. usilaumu watu pasi we mwenyewe kushuhudia utendaji wao. namba za police makao makuu hizi hapa 0754785557 au 0782417247
Hivi karibuni nilioenda mitaa ya kitumbini kwenye maduka ya jumla kununua bidhaa za dukani kwangu na nilifanya manunuzi kwenye maduka ya wachina na wahindi
Nilinunua mzigo wa kama 11m lakini risiti halali za TRA nilizopewa zilikuwa zinaonyesha hesabu pungufu na kwamba eti nimenunua mzigo wa sh laki nane tu. Nilivyouliza wakaniambia ndiyo huwa wanafanya hivyo ili kukwepa kodi
Je TRA mnalijua hili????
Kweli ila sasa tufanye je? Ama na sisi tutafute pa kuponea na sisi?
Hivi karibuni nilioenda mitaa ya kitumbini kwenye maduka ya jumla kununua bidhaa za dukani kwangu na nilifanya manunuzi kwenye maduka ya wachina na wahindi
Nilinunua mzigo wa kama 11m lakini risiti halali za TRA nilizopewa zilikuwa zinaonyesha hesabu pungufu na kwamba eti nimenunua mzigo wa sh laki nane tu . Nilivyouliza wakaniambia ndiyo huwa wanafanya hivyo ili kukwepa kodi
Je TRA mnalijua hili????