Mh Naibu Speaker kajitangazia ushindi mnono wa hiyoo kesho! alijitangazia ushindi huo leo asbh wakati wa kutoa matangazo ndani ya mjengo.
Ilivyoonekana alikuwa na hofu khs mdahalo huo.
aliwaomba walipukaji wenzie wawepo kesho ndani ya mdahalo kumpa support kiaina wakati akitangaza mjengoni!, alionyesha hofu kubwaaa..!!!
huyo Bibie Mwendesha mdahalo inavyoonyesha ana usongo na walipukaji....., habari za chini ya jamvi nackia alikuwa ameajiriwa na Habari Corporations ya Rostam Aziz.
Baadae Mh Rostam akampiga chini kiaina! so still ana usongo na walipukaji mjengoni!
Muhimu 2waombe TANESCO chini ya Mh Ngeleja wasijeficha aibu kwao kwa kuuchukua Umeme wao!
Inaonyesha hujui unachokiandika. Na hapo kwenye red ndo kabisaa uongo wa mchana. Ni kweli alikuwa Mkurugenzi wa Habari Coorporation Ltd. Rosemary ali-resign yeye mwenyewe kwa sababu hakutaka kuingiliwa katika utendaji wa shirika kama MD.