Hamad si atakuwepo au unataka CCM wawe wawili.Ahsante kwa taarifa, lakini mdaharo ungefaa awepo mwakilishi kutoka chama tawala dhidi ya wapinzani. Vinginevyo kama Hamadi awajibie hoja zao
Hamad si atakuwepo au unataka CCM wawe wawili.Ahsante kwa taarifa, lakini mdaharo ungefaa awepo mwakilishi kutoka chama tawala dhidi ya wapinzani. Vinginevyo kama Hamadi awajibie hoja zao
Kwani kuna station moja tu unaweza ukaweka cartoon.mdahalo kwa manufaa ya nani?
mkubwa hii itakuwa kiboko, na inawezekana sana kwa mfumo wa sasa uliopo, lakini hiyo itakuwa ndiyo kujimaliza kwa ccm. watajifunga goli jingine hapoKuna tetezi ya kuwa mbali na kuwepo mawaziri vivuli watakaoteuliwa na chama kinachounda kammbi rasmi ya upinzani, yaani chadema, kutakuwepo pia mawazili maruhani, watakaoteuliwa kutoka vyama vinginevyo vya upinzani vyenye wabunge. Tofauti na mawaziri vivuli, majina ya mawaziri hao yatabakia kuwa siri lakini yatakuwa yanajulikana kwa uongozi wote wa chama tawala na vyombo vyake. Kutokana na hayo, kauli za mawaziri hao zitapewa umuimu mkubwa na vyombo hivyo kuliko zile za mawaziri vivuli.
Wadau nimepokea email na nawasilisha kwenu kama nilivyopokea.
Wapendwa,
Salamu kwenu nyote na nashukuru kwa jinsi Jukwaa hili linavyojumuisha watu wakabadilishana mawazo juu ya mambo tofauti ya maisha.
Napenda kuchukua nafasi hii, kwa niaba ya Vox Media kuwatangazia kwamba Jumamosi hii, yaanii Novemba 27, 2010, kuanzia saa moja jioni hadi saa tatu usiku, tutakuwa na mdahalo kati ya Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na Kiongozi wa Kambi ya Upinzani aliyemaliza muda wake, Hamad Rashid Mohamed, Mbunge wa Wawi (CUF), kuhusu masuala yahusianayo na kambi hiyo bungeni.
Mdahalo huo utarushwa moja kwa moja na Kituo cha Televisheni cha ITV (saa moja mpaka tatu usiku). Kwa kuwa kadi zilizopo ni chache, wengi wenu mnashauriwa kuwa kando ya televisheni zenu kwa ajili ya kushuhudia.
Karibuni na ahsanteni.
tunashukuru tutaangalia.
Utakuwa mdahalo mzuri coz mmoja wao anaweza kuwasilisha mawazo ya chama tawala