AWE NA AKILI...namaanisha kichwa chake kiwe kinachemka vizuri,yaani nikikaa naye nusu saa tu niwe na cha kujifunza kutoka kwake.
Huyo ndio mwanaume nimtakaye!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Muliza swalii hawaelewi hao ndiyo maana wanapata shida Sana kwenye ndoa au mahusiano ndiyo maana mahusiano mengi yanavunjika mara ndoa Zina kua ndoano vurugu si vuruguu? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nawapongeza Sana wanaume kwa sabababu ni wavumilivu na jasiri. Mwanaume ana naweza Kuishi na Mwanamke ambaye Hana kazi anakaa tuu nyumbani kwa Miaka mi5
Lakini Mwanamke Kuishi na Mwanaume ambaye Hana pesa au kazi ni siku 5
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mkuu heshima nyingi sana kwako maana dah nmecheka sana kusema ukweli,popote ulipo kama hutojali kamata dompoo ntalipa.