Mdada, weka sifa kuu ya mume umtakae

AWE NA AKILI...namaanisha kichwa chake kiwe kinachemka vizuri,yaani nikikaa naye nusu saa tu niwe na cha kujifunza kutoka kwake.
Huyo ndio mwanaume nimtakaye!

Wacha weee...
 
Mwanaume ndie mwenye jukumu la kumtunza mkewe.
 
Uuuuwi, Raimundo unaskia hii? Lakini afadhali ya bangi asee, aliyekufundisha pombe ndiyo nina hasira nae balaa, amekuharibu mdogowangu unamea YAMAZAKI kama unakunya castle lite! Hasara
Pombe ni wewe ulinifundisha kunywa.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…