Zidi kuomba mungu utampata mwaya. [emoji2] [emoji2]Me nataka mwenye hofu ya Mungu kwanza ila awe na hela 😉
Abeeee . kbhKubuhu!
Abeeee . kbh
[emoji23] mjinga kweli weweHata wao unadhani wanajua wanataka nini..??
Atakwambia intelligent nigga, tallest guy in the world, six packs, big pipe with big balls, charmig, na makorokoro meeengi,,..!
Atokee thatha kama huyo na mwenye pessa ila Eskimo, ana kitambi ka debe la mchanga, kauzu ka papaa mutoto ya ng'ombe cjui ndama
uone utakavyoonwa Nnya ilonyeshewa mvua., !!
Km mnajua tell us nowMmhh! Tunaeleweka bana tatizo mmeshajijengea kwamba wanawake hatujui nini tunataka.
Shida mnataka wanawake wote wafanane wanavyovitaka wakati haiwezekani kwa sababu hata nyie wanaume mpo wa kila aina.
Kama umenielewa nimesema hatuwezi tukafanana tunavyohitaji hivyo nikikwambia ninachotaka mimi huenda uliyenaye au utakayempata asiwe anahitaji hivyo.Km mnajua tell us now
Bado boss bado natafutaDah! We si ulishapataga mwanaume wewe?
He he he kweli tupuNaona unanipa sifa za uongo hapo.
He he he kweli tupu
njoo DM basi , mimi niko hivo!As for me all i want is an intelligent nigga thats it
Wewe jee?Duh, hapa hakuna jinsi inabidi Raimundo aokoe jahazi, itabidi tu abadili dini ili aongeze mke wa wapili!