Kozo Okamoto
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 3,391
- 1,541
- Thread starter
- #41
Huyo ni muwazi na mkweli
Kwani umeoa:what:
Kama bado unasubiri nini kajileta mwenyewe:what:
Kama usha oa,
Huyo mfanye nyumba ndogo!!
Yee si anataka!
nimeoa mkuu,unadhani nitanufaika na nini kwenye hiyo nyumba ndogo?