Vinci
JF-Expert Member
- Jul 6, 2009
- 2,637
- 675
Ustaarabu umekuwa msamiati kwake, akikua ataacha, nadhan ndo kwanza anaingia kwenye ulimwengu wa madavidavi, halafu utakuta kelele zenyewe ni za kumzuga jamaa hakuna mapenzi ya kweli, ni kuweka mazingira ya kumteka akili mshkaji. Usimuoge, kama vipi muuleze huyo jamaa yake kiustaarabu kuwa anawanyima pumzi kwa kelele zake wakati anazini ajaribu kuwa na privacy na respect others. akikujibu mbofu mbofu hama tuu hapo.