Mdada wa NMB ananipa wakati mgumu

Mdada wa NMB ananipa wakati mgumu

Wakiwa wanagongana we uwe unapga puli bro.
 
Kurekodiwa ni aibu hata kama anapenda watu wazisikie hizo kelele, kwa kuzingatia pia kwamba anaacha dirisha wazi kama ulivyosema tafuta kamera yenye flash kali na mtaalamu wa kupiga picha, wakiwa katikati ya mahaba picha inapigwa shaa!

Hapo ni mwisho wa maneno. Asipohama ndani ya mwezi unakuwa unadondosha picha moja moja mlangoni kwake.


huu ushauri ndiyo wenyewe mkuu , piga picha huyo mtu utupie kule JLW tufaidike.....
 
Wakyaara wakinyora kikwetu maana yake ni Mvumilivu ula Mbivu, Mkuu amini makelele hayo ipo siku yatatokea dirishani kwako
 
Wewew usihame mfanyie vituko akosane na mpenzi wake ili ahame yeye, njia ya kumfanyia ni kwamba ukiona wameanza kuti........ana, tafuta msela mmoja aje amgongee dirisha halafu amwambie nifungulie mpenzi wangu nimewahi kama tulivyopanga, kwani unanipaga burudani sana ndo maana nakupenda mno. halafu ana sepa, watajiju wenyewe, na siku nyingine hivyo hivyo mpaka ajirekebishe

Umenichekesha sana mkuu
 
swala la mapenzi hasa tendo la ndoa ni privacy sana. na mwanamke yeyote mwenye kujiheshimu kama akijua kuwa kuna watu wanakereka na mzuka wake kwanza anakosa confidence hivyo anaweza jirekebisha. mwambie mke wako akamwambie kama mwanamke mwenzake na jinsi watu wengine wanavyoongea juu yake. nyie mnaongea pembeni huku wenyewe tu wakati hamjamwambia! ila isije nawe pia unafurahia hilo ligwaride maana jinsi ulivyo anza mpa sifa ni kama vile unamzimia!
 
Sijui una umri gani lakini sisi tulioishi miaka mingi, tumeishawaona, kuwasikia na kuishi nao wapiga kelele. Wako wengi tu. Na amini usiamini, sio kwa kupenda kwao, inakuja tu na akimaliza anauliza hivi majirani wametusikia?

Tiba

heheheheeeee nimechekaje kwa nguvu Tiba umenifurahisha mama............
 
Last edited by a moderator:
Uandish wko unaonesha hukerwi wala nin.. coz lingekuwa ni tatzo kwel linakusumbua usingeanza na kumsifia mara shepu mara uwezo..Hata wew hapo unamtaman tu sema ndo hvyo huna jinsi...
 
....mkashifu kidogo bana....kwamba mdada mzuri hivyo hana hadhi ya kugegedwa nyumbani kwake alikopanga yeye!!! mwambie wenzake wanaggedewa sehemu za maana nk. sasa yeye anagegedewa huko mbwinde!!!!

ila pole mkuu!
 
kuna solutions mbili hapa:
1.Fanya namna ili nawe umrukie/umgonge zaidi ya jamaa yake,then atakolea na atakuwa anakupa wewe badala ya jamaa...then utakuwa unammudu unavyotaka ,..hasa kuhusu makelele; AU
2.Akimaliza tu kelele zake,nanyi anzeni kufanya kama wao na umwambie mkeo naye apige kelele kuliko yeye...zoezi hili likirudiwa mara tatu nne ...atajitambua
 
....mkashifu kidogo bana....kwamba mdada mzuri hivyo hana hadhi ya kugegedwa nyumbani kwake alikopanga yeye!!! mwambie wenzake wanaggedewa sehemu za maana nk. sasa yeye anagegedewa huko mbwinde!!!!

ila pole mkuu!
Yani usingechangia kwenye huu uzi mi ningebadili dini wallah

Afu Klemee hebu nambie demu anayegegedwa kwenye geto lake kila siku maana yake nini?

Njemba itakuwa mme wa mtu,au
Njemba itakuwa haina mshiko wa kupeleka mchuchu kwenye machimbo, au
Mchuchu utakuwa mchunaji unakamata mahela ya kukodi chimbo pamoja na hela ya kula na ya kumtoa kutoka kwa njemba

Kwa kifupi ni WIZI MTUPU. Afu usisahau mchuchu wenyewe ni dada angu lol

Mbonyi shafo Palooooooo!
 
Yani usingechangia kwenye huu uzi mi ningebadili dini wallah

Afu Klemee hebu nambie demu anayegegedwa kwenye geto lake kila siku maana yake nini?

Njemba itakuwa mme wa mtu,au
Njemba itakuwa haina mshiko wa kupeleka mchuchu kwenye machimbo, au
Mchuchu utakuwa mchunaji unakamata mahela ya kukodi chimbo pamoja na hela ya kula na ya kumtoa kutoka kwa njemba

Kwa kifupi ni WIZI MTUPU. Afu usisahau mchuchu wenyewe ni dada angu lol

Mbonyi shafo Palooooooo!

afadhali ubadili ili utuoe wote!!!
majibu yote abcd ni sahihi..........weka tick na vema sana!

Mbony shafoo Asprooooo.................
 
Acha URONGO mukubwa we Makanyagio uliona wapi MCHAGA NA MAKELELE??!?? Vijitu viongo kweli ungesema zaramo au Kule kwetu hapo sawa tungo yako at list ingepata meno..
pole kwa maswahibu unayo pata, Ila sijaelewa ni kwa nn huwa baadhi ya wanawake wana piga kelele hivyo na wanajua kabisa kelele zao zina sikika na wasio husika kwa wakati huo
 
pole sana; zingatia hilo la kuhama mapema kabla mwanao hajaanza kukuuliza maswali magumu kutoka kwenye hizo kelele
 
Duniani kuna vituko jamani ila Dunia ya JF is too much, sasa kelele za chura zinakuzuiaje kunywa maji Mpwa? Ningekuwa mimi nimeshamweleza, jenga urafiki naye hata kama ni wa kinafiki potelea mbali, weka na kajiutani kidogo kisha mkishazoena vizuri kidogo, mchombeze juu ya hilo kimtindo, hio ndio busara tu. Mwambia tu kwa njia ya utani; kwa mfano; naona jamaa anashughulika ipasavyo eeeh, ila dah huku hua inakua shida kweli....na maneno kama hayo. Kama ni mwelewa basi ataelewa tu. ikishindikana kabisa, mtokeee tu na wewe muombe.....hata hivyo kuna tuhuma kuwa wachaga (watani zangu) wako sifuri kabisa kwenye hio fani. sasa labda na yeye ndio hao hao
Kwa niwajuavyo watu wa aina hii ni kwamba wanafanya hivyo wakijua fika kadhia wanayowasababishia wenzao, na believe me inaweza kuwa si lazima kwamba ana enjoy to the maximum but on the contrary she enjoy effect of the act to others! Na kama alivyosema mleta mada hili analijua fika kwani anajua anaishi na wapangaji wenzake na kelele zitasikika, so kama angekuwa mstaarabu angeweza kuamua kufanya late hours au kama alivyochangia member mmoja hapa azidishe sauti ya radio. Nilishuhudia siku moja nikiwa safari kwenye gest niliyofikia aliingia jamaa na demu wake kwenye saa tano usiku, na mara walipoanza majambo huyo dada alianza staili hiyo ya kuenjoy kwa makelele kiasi kwamba ghafla wapangaji gest nzima wakaamka na kumkomalia, cha ajabu baada ya mkwara hupo mambo yakawa shawari mpaka nilipoondoka!!
 
Wakyaara wakinyora kikwetu maana yake ni Mvumilivu ula Mbivu, Mkuu amini makelele hayo ipo siku yatatokea dirishani kwako

hahahahaha hiyo tafsiri yako ya jina langu imenifurahisha sana....cjui ni lugha gani hiyo
 
Tafuta mtu wa kupiga hizo picha, tena mwenye mbio maana anaweza kukimbizwa. Baada ya hapo mambo kimya kimya tu. Unahakikisha picha unakuwa nazo soft copy, unaprint moja moja za kudondosha na haubaki na hardcopy yoyote.

Hapo hakuna ushahidi.

Halafu adondoshe picha moja yenye ujumbe tupeni million 50 kabla hatujasambaza picha na video zenu za ngono!
 
Halafu adondoshe picha moja yenye ujumbe tupeni million 50 kabla hatujasambaza picha na video zenu za ngono!

Umeona ee! Hii ni komesha ubishi, wakishindwa kutoa hela wanajifanya kuhama eneo hilo, nyie mnachekelea kwa sababu ndio mlichokuwa mnataka.
 
Fanya uzavo na wewe umpige mpini au umgegede kama wengine wanavosema then ummimine miiiiiiiiiiiiiii atahama mwenyewe.
 
Back
Top Bottom