Mdada wa NMB ananipa wakati mgumu

Mdada wa NMB ananipa wakati mgumu

mwana unapenda chabo
Chabo tamu mwana, usinikumbushe miaka ya themanini ndani ya utengule Migomigo enzi hizo; maisha ya ujana bwana acha tu. An'way kilicho muhimu kama nafasi ipo, wewe hama tu hapo. Ila kama nafasi haba, wahenga walisema dawa ya moto ni moto. Ongea na mamsapu wako na nyie mulianzishe mpaka na yeye asikie, tena nyie lieni nyote sio mamaa peke yake. Hope ataacha.
 
Chabo tamu mwana, usinikumbushe miaka ya themanini ndani ya utengule Migomigo enzi hizo; maisha ya ujana bwana acha tu. An'way kilicho muhimu kama nafasi ipo, wewe hama tu hapo. Ila kama nafasi haba, wahenga walisema dawa ya moto ni moto. Ongea na mamsapu wako na nyie mulianzishe mpaka na yeye asikie, tena nyie lieni nyote sio mamaa peke yake. Hope ataacha.

hahahahahahah,hilo mbona balaa mkuu,mi nae nlie?nitaanzia wapi?
 
wanajamvi amani kwenu,
kuna huyu mdada anafanya kazi nmb(kaumbika,yuko sexy ile mbaya,msomi flani hivi afu matawi kiaina.pia ni mpole sana)tumepanga nae nyumba moja hapa mjini.kwa jinsi nyumba yenyewe ilivyo(imejengwa muundo wa "U" dirisha la sitting room kwangu(sebuleni) linapakana na chumbani kwake.yaani kila mmoja wetu anaweza kuchungulia chumba cha mwenzake kama akifungua pazia.kinachonipa wakati mgumu ni kelele anazopiga wakati akifanya mapenzi na boyfriend wake,kelele za mahaba ambazo unaweza kuzisikia hata ukiwa umbali wa mita 50 kama kukiwa hamna kelele zinazoingiliana na hizo.yaani wakishaingia tu ndani na huyo mtu wake tena mapema tu saa 12 za jioni au saa moja mambo yanaanza,eneo zima linakuwa ni kelele zake.pia huwa anaachadirisha wazi wakati anafanya shughuli zake hizo.yaani huyu mtoto wa kichaga mara aseme hivi,mara vile.kwa ufupi ni kelele za mahaba mwanzo mwisho.siku za jumapili saa 4 asubuhi tu,yaani eneo zima halitamaniki.napata wakati mgumu sana ninapokuwa na wageni home kwangu.wakati mwingine wanaweka mikanda ya ngono tena kwa sauti ya juu kabisa.yaani ni kero tupu.nilisha lalamika kwa mama mwenye nyumba ili aongee nae kistaarabu tu,yaani awe hata anawasha redio kwa sauti ya juu lakini wapi.mama mwenye nyumba nae anadai huwa anazisikia.hata kama ni raha au utamu basi wa huyu dada umepitiliza.
HOFU YANGU NI SIKU NITAKAPOTEMBELEWA NA WAZAZI WANGU AU BABA NA MAMA MKWE SIJUI ITAKUWAJE.PIA NAPOKUWA NA WAGENI MANAKE ILE MIDA YA CHAKULA CHA JIONI WAO NDIO MAMBO YANAANZA.NIFANYEJE MAANA NAONA HATA AAMBIWE HAJIREKEBISHI?

Hayatuhusu.
 
Aksante Mkuu maana nimetoka nduki nkijua niko siko. Haya mtoa mada si afunguke tu?

Tatizo hawa vijana wa siku hizi hawafundishwi maneno ya wahenga, au wanasahau yaliyosemwa na wahenga. Wahenga huwa hawabahatishi. Dawa ya moto ni moto, akutendae mtende! Hii tatizo lake dogo sana, aongee na mamsapu wake ili na wao waanze kulia wanapofaidi mchezo wa Adam na Eva. Tena asimuachie mamaa peke yake, walie wote na yeye papaa alie zaidi. Full stop.
 
Kama upo Dar sema Upo mtaa gani nije kukupa solution maana watu kama hao dawa yao ndogo sana!!
 
umesema vizuri but nimejaribu kumueleza jinsi alivyo,kuonyesha kwamba wasifu wake ni tofauti kidogo na reality kwenye maisha yake ya kila siku,.pia mkuu,mke wangu mzuri,nimeoa totoz la ukweli.ile mentality iliyoko kwa vijana kuwa ukioa mke mzuri utapata shida mi sikuwa nayo kabisa na wala siko nayo,ukikutana na waifu wangu lazima ugeuke nyuma mara kadhaa kumtazama.aisee cjui nikwambieje tu,ndo maana sina presha na na masista du wa kitaa,manake yf anakimbiza.


Mh... inategemea! Si unajua beauty is relative? Wewe unaweza kusema hivyo akaja mtu mwingine akauliza hili li-mwanamke lenye sura kaa kiboko ni la wapi? Na usiniambie eti kila mtu anamsifia kwani hakuna mtu atakayemponda mke wako wakati uko!
 
ahaahha,we unafikiri solution haioni mbona angeshahama siku nyingi. Huyu bila shaka anaenjoy maana inaonekana hajaoa..!!!!


Hata alivyoelezea inaonesha anavutiwa zaidi yeye kuliko hata huyo bf wa mdada huyo. Unasema una mke, jamaa akianza nawe anza, mpeleke huyo wako kileleni naye apige kelele kuliko huyo ili ma mwenye nyumba ashikishwe adabu. Atampa notisi mwenyewe we ubaki na amani irudi
 
Tatizo hawa vijana wa siku hizi hawafundishwi maneno ya wahenga, au wanasahau yaliyosemwa na wahenga. Wahenga huwa hawabahatishi. Dawa ya moto ni moto, akutendae mtende! Hii tatizo lake dogo sana, aongee na mamsapu wake ili na wao waanze kulia wanapofaidi mchezo wa Adam na Eva. Tena asimuachie mamaa peke yake, walie wote na yeye papaa alie zaidi. Full stop.
Hahahahah Mkuu Zinedine umemaliza mchezo................. unless yeye awe na ya ziada zaidi ya kilio cha bibie huyo. Maana inaonyesha ni zaidi ya kilio ati.
 
Last edited by a moderator:
Daaah nimekumbukakpnd kile nipo chuo nilipanga uswahln xaxa nyumba nlyopanga ilikuwa haina dari n chumba kinachofuatia kulikuwa na mshkaj na dem wake hahaha uSIKU NASHINDWA KULALA dem alikuwa anapga kelele had naamka nakaa ktandan.one day uvumilvu ukanishnda nikamtokea akaagree nikamgegeda kuanzia dat day kukawa hakuna makelele tena HESHIMA ikatawala.
 
wanajamvi amani kwenu,
kuna huyu mdada anafanya kazi nmb(kaumbika,yuko sexy ile mbaya,msomi flani hivi afu matawi kiaina.pia ni mpole sana)tumepanga nae nyumba moja hapa mjini.kwa jinsi nyumba yenyewe ilivyo(imejengwa muundo wa "U" dirisha la sitting room kwangu(sebuleni) linapakana na chumbani kwake.yaani kila mmoja wetu anaweza kuchungulia chumba cha mwenzake kama akifungua pazia.kinachonipa wakati mgumu ni kelele anazopiga wakati akifanya mapenzi na boyfriend wake,kelele za mahaba ambazo unaweza kuzisikia hata ukiwa umbali wa mita 50 kama kukiwa hamna kelele zinazoingiliana na hizo.yaani wakishaingia tu ndani na huyo mtu wake tena mapema tu saa 12 za jioni au saa moja mambo yanaanza,eneo zima linakuwa ni kelele zake.pia huwa anaachadirisha wazi wakati anafanya shughuli zake hizo.yaani huyu mtoto wa kichaga mara aseme hivi,mara vile.kwa ufupi ni kelele za mahaba mwanzo mwisho.siku za jumapili saa 4 asubuhi tu,yaani eneo zima halitamaniki.napata wakati mgumu sana ninapokuwa na wageni home kwangu.wakati mwingine wanaweka mikanda ya ngono tena kwa sauti ya juu kabisa.yaani ni kero tupu.nilisha lalamika kwa mama mwenye nyumba ili aongee nae kistaarabu tu,yaani awe hata anawasha redio kwa sauti ya juu lakini wapi.mama mwenye nyumba nae anadai huwa anazisikia.hata kama ni raha au utamu basi wa huyu dada umepitiliza.
HOFU YANGU NI SIKU NITAKAPOTEMBELEWA NA WAZAZI WANGU AU BABA NA MAMA MKWE SIJUI ITAKUWAJE.PIA NAPOKUWA NA WAGENI MANAKE ILE MIDA YA CHAKULA CHA JIONI WAO NDIO MAMBO YANAANZA.NIFANYEJE MAANA NAONA HATA AAMBIWE HAJIREKEBISHI?

Mkuu pole,yanini kuwekana busy kiasi hicho?asikukoseshe amani ya maisha akianza siku nyengine kamwite mwenye nyumba mkamgongee umwambie live unavokereka na mambo anoyafanya,la ka'ulivosema ipo siku atakuja mtu unaemuheshim then atasikia mambo hayo,amini usiamini hadhi yako itashuka japo mgeni wako hatokwambia hilo ila atakuweka ktk kundi ambalo wewe unaamimi haupo.chukua hatua mapem
 
wanajamvi amani kwenu,
kuna huyu mdada anafanya kazi nmb(kaumbika,yuko sexy ile mbaya,msomi flani hivi afu matawi kiaina.pia ni mpole sana)tumepanga nae nyumba moja hapa mjini.kwa jinsi nyumba yenyewe ilivyo(imejengwa muundo wa "U" dirisha la sitting room kwangu(sebuleni) linapakana na chumbani kwake.yaani kila mmoja wetu anaweza kuchungulia chumba cha mwenzake kama akifungua pazia.kinachonipa wakati mgumu ni kelele anazopiga wakati akifanya mapenzi na boyfriend wake,kelele za mahaba ambazo unaweza kuzisikia hata ukiwa umbali wa mita 50 kama kukiwa hamna kelele zinazoingiliana na hizo.yaani wakishaingia tu ndani na huyo mtu wake tena mapema tu saa 12 za jioni au saa moja mambo yanaanza,eneo zima linakuwa ni kelele zake.pia huwa anaachadirisha wazi wakati anafanya shughuli zake hizo.yaani huyu mtoto wa kichaga mara aseme hivi,mara vile.kwa ufupi ni kelele za mahaba mwanzo mwisho.siku za jumapili saa 4 asubuhi tu,yaani eneo zima halitamaniki.napata wakati mgumu sana ninapokuwa na wageni home kwangu.wakati mwingine wanaweka mikanda ya ngono tena kwa sauti ya juu kabisa.yaani ni kero tupu.nilisha lalamika kwa mama mwenye nyumba ili aongee nae kistaarabu tu,yaani awe hata anawasha redio kwa sauti ya juu lakini wapi.mama mwenye nyumba nae anadai huwa anazisikia.hata kama ni raha au utamu basi wa huyu dada umepitiliza.
HOFU YANGU NI SIKU NITAKAPOTEMBELEWA NA WAZAZI WANGU AU BABA NA MAMA MKWE SIJUI ITAKUWAJE.PIA NAPOKUWA NA WAGENI MANAKE ILE MIDA YA CHAKULA CHA JIONI WAO NDIO MAMBO YANAANZA.NIFANYEJE MAANA NAONA HATA AAMBIWE HAJIREKEBISHI?
Umeandika kana kwamba unawaeleza watuwanaofahamu ulipo,mjini ni wapi taja jina.
 
wanajamvi amani kwenu,
kuna huyu mdada anafanya kazi nmb(kaumbika,yuko sexy ile mbaya,msomi flani hivi afu matawi kiaina.pia ni mpole sana)tumepanga nae nyumba moja hapa mjini.kwa jinsi nyumba yenyewe ilivyo(imejengwa muundo wa "U" dirisha la sitting room kwangu(sebuleni) linapakana na chumbani kwake.yaani kila mmoja wetu anaweza kuchungulia chumba cha mwenzake kama akifungua pazia.kinachonipa wakati mgumu ni kelele anazopiga wakati akifanya mapenzi na boyfriend wake,kelele za mahaba ambazo unaweza kuzisikia hata ukiwa umbali wa mita 50 kama kukiwa hamna kelele zinazoingiliana na hizo.yaani wakishaingia tu ndani na huyo mtu wake tena mapema tu saa 12 za jioni au saa moja mambo yanaanza,eneo zima linakuwa ni kelele zake.pia huwa anaachadirisha wazi wakati anafanya shughuli zake hizo.yaani huyu mtoto wa kichaga mara aseme hivi,mara vile.kwa ufupi ni kelele za mahaba mwanzo mwisho.siku za jumapili saa 4 asubuhi tu,yaani eneo zima halitamaniki.napata wakati mgumu sana ninapokuwa na wageni home kwangu.wakati mwingine wanaweka mikanda ya ngono tena kwa sauti ya juu kabisa.yaani ni kero tupu.nilisha lalamika kwa mama mwenye nyumba ili aongee nae kistaarabu tu,yaani awe hata anawasha redio kwa sauti ya juu lakini wapi.mama mwenye nyumba nae anadai huwa anazisikia.hata kama ni raha au utamu basi wa huyu dada umepitiliza.
HOFU YANGU NI SIKU NITAKAPOTEMBELEWA NA WAZAZI WANGU AU BABA NA MAMA MKWE SIJUI ITAKUWAJE.PIA NAPOKUWA NA WAGENI MANAKE ILE MIDA YA CHAKULA CHA JIONI WAO NDIO MAMBO YANAANZA.NIFANYEJE MAANA NAONA HATA AAMBIWE HAJIREKEBISHI?

Nyie wahaya mmelogwa, amaizi kokunuza
 
Back
Top Bottom