Mdada wa benki wa ukweli sana

Mdada wa benki wa ukweli sana

Habarini wadau....leo mchana niliimgia azania bank tawi la dodoma...aisee kuna mdada mmoja yuko hapo mweupe mzuri hv mfupi hivi bank teller..mtoto wa ukweli sana...kama kuna mtu anamjua jamani...msaada wadau
Anaitwa sepenga piga 114 anakuja fasta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpatie business card umwambie akutafute kuna wazo la kibiashara unataka akushauri,pia naye awe mdau
 
Habarini wadau....leo mchana niliimgia azania bank tawi la dodoma...aisee kuna mdada mmoja yuko hapo mweupe mzuri hv mfupi hivi bank teller..mtoto wa ukweli sana...kama kuna mtu anamjua jamani...msaada wadau
Ahahahahaaa
 
Habarini wadau....leo mchana niliimgia azania bank tawi la dodoma...aisee kuna mdada mmoja yuko hapo mweupe mzuri hv mfupi hivi bank teller..mtoto wa ukweli sana...kama kuna mtu anamjua jamani...msaada wadau
sasa we demu mfupi wa nini kwnza unataka ukamuweke kwny vichekesho au?
 
hakikisha acc imetuna na upeleke pesa kila wakati, atakutafta mwenyewe
 
Habarini wadau....leo mchana niliimgia azania bank tawi la dodoma...aisee kuna mdada mmoja yuko hapo mweupe mzuri hv mfupi hivi bank teller..mtoto wa ukweli sana...kama kuna mtu anamjua jamani...msaada wadau
Aisee! Hapo hapo Dodoma kwenye tawi la crdb karibu na nyerere square.kuna dada mkali hatari mweupe mrefu ningekuwa na hela mimi basi tu.
Alafu hawa wazuri wanakuwaga kwenye kuomba mikopo kule sasa siku ya kuja kudai wanakuja wengine sijui huwa wanafichwa wapi.
 
mkuu
Aisee! Hapo hapo Dodoma kwenye tawi la crdb karibu na nyerere square.kuna dada mkali hatari mweupe mrefu ningekuwa na hela mimi basi tu.
Alafu hawa wazuri wanakuwaga kwenye kuomba mikopo kule sasa siku ya kuja kudai wanakuja wengine sijui huwa wanafichwa wapi.
mkuu yuko bank teller au kwenye mikopo,,,,naomba uni pm mkuu nikamchek
 
Back
Top Bottom