Mdada wa benki wa ukweli sana

Mdada wa benki wa ukweli sana

Mim sijaelewa...unahisi umu kuna kaka'ake au ndugu yake yoyote ndio wakusaidie umpate au wakupe hv namba yake ya simu, au unahis labda kuna shosti wake au ni nin aiseee..???

Wewe ilibidi umalizane nae pale pale, au hamna hamna ungemvizia hata mida ya kutoka uone chance yako ingesimamia wapi. Next time u need to have a plan na si kuja na kutujazia server ya JF.

Sent using Jamii Forums mobile app
Msaidie Mwanaume Mwenzenu.
lol.

Sent from Jamii Forums using siemens kidole juu.
 
Kila siku kaweke million moja
Baada ya Wiki mwambie ya leo usiiweke kwenye account chukua wewe
Kesho tena mpe milioni muombe number yake atakupa tu
Ukimpigia muahidi kumjengea nyumba ya million 100
Atakupa ule papuchi na ukipenda ubebe kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
okay poa leo naenda asa hv
 
Mim sijaelewa...unahisi umu kuna kaka'ake au ndugu yake yoyote ndio wakusaidie umpate au wakupe hv namba yake ya simu, au unahis labda kuna shosti wake au ni nin aiseee..???

Wewe ilibidi umalizane nae pale pale, au hamna hamna ungemvizia hata mida ya kutoka uone chance yako ingesimamia wapi. Next time u need to have a plan na si kuja na kutujazia server ya JF.

Sent using Jamii Forums mobile app
nahisi humu ndani kuna mtu anafahamiana naye
 
Nilienda na milioni mbili elfu kumi kumi tupu na nilizihesabu zaidi ya mara 3 zikawa fresh sikuzipanga kwa laki laki nikaweka pamoja nikafunga ruber band nikasokotea kwenye nylon nikaenda bank nikaandikisha acount namba yangu na majina nikaakaa kwenye folen mpaka ikafikia zam yangu nilipofika pake mapokezi nikampa karatasi na hela nikafungua ile nylon na zile ruber band nikampa akapokea akawa kama anazipigia pigia pale mezani kama anazishawazisha zilingane alafu akatulia akawa kama kuna kitu anashangaa nyuma yangu yani kama anaangalua wale nilowaacha kwenye foleni mimi si nikageuka kutizama ***** pale hakuchelewesha akadondosha hapo niti 3alafu ile hela akaweka kwenye mashine ya kuhesabu akaniambia bado hela mi nikamwambia kivipi akasema bado 30 huwezi amini nilimkalipia hadi akaja mama mmoja nadhani ni mkubwa wao nikamwelezea kumbe ule mchezo niliushtukia nikamwelezea yule mama niko tayari tuangalie camera yaani nilikomaa hadi akanywea..
Ni story ndefu mkuu siwezi imaliza saa hivi
daah aiseee,,,pole sana huyo dawa yake ungemla tuu
 
Habarini wadau....leo mchana niliimgia azania bank tawi la dodoma...aisee kuna mdada mmoja yuko hapo mweupe mzuri hv mfupi hivi bank teller..mtoto wa ukweli sana...kama kuna mtu anamjua jamani...msaada wadau
Usitake kuniambia hata maongezi chokozi hauna? Acha hizo mwanangu, face to face works pretty much.

Jilipue yani.
 
Na unapozitoa hizo hela hakikisha kuwa unaongeza noti ka 4 hivi kwenye kila fungu halafu ujifanye ka hujui kuzihesabu. Baadaye mwombe namba yake ili hata ukimtuma mtu kukuwekea umtume kwake straight. Hakika utapate hiyo namba yake tu
Kwekwekeee
 
Karibia benki nyingi tellers wanawake ni warembo ila baadhi yao ni wezi hatari,yani ukipeleka pesa ukazubaa tu unaambiwa elfu kumi imepungua kaka inabidi ujazie .
duuh kumbe
 
Aisee wewe jamaa ni mzigo,yaani umuone wewe ushindwe kuomba namba. Halafu unakuja kutuliza sisi ambao tuko mbali na Dodoma? Nitumie jina lake PM nitakusaidia kukutafutia namba zake nina mtu anafanya azania Dodoma.
da way alivyo ni mweupe, mfupi hivi na ana tako kubwa kubwa
 
Back
Top Bottom