Mkomavu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2016
- 12,190
- 17,617
Mkuu huyo ni mke wangu achana naeHabarini wadau....leo mchana niliimgia azania bank tawi la dodoma...aisee kuna mdada mmoja yuko hapo mweupe mzuri hv mfupi hivi bank teller..mtoto wa ukweli sana...kama kuna mtu anamjua jamani...msaada wadau
Sent using Jamii Forums mobile app
101-03-821.M|T|C

kweli kabisa mkuu