Mdada wa benki wa ukweli sana

Mdada wa benki wa ukweli sana

Aisee wewe jamaa ni mzigo,yaani umuone wewe ushindwe kuomba namba. Halafu unakuja kutuliza sisi ambao tuko mbali na Dodoma? Nitumie jina lake PM nitakusaidia kukutafutia namba zake nina mtu anafanya azania Dodoma.
 
Habarini wadau....leo mchana niliimgia azania bank tawi la dodoma...aisee kuna mdada mmoja yuko hapo mweupe mzuri hv mfupi hivi bank teller..mtoto wa ukweli sana...kama kuna mtu anamjua jamani...msaada wadau
PLEASE BE A BIT MATURE SIR, this is not a forum where you ask such issues or things, STLYE UP
 
Habarini wadau....leo mchana niliimgia azania bank tawi la dodoma...aisee kuna mdada mmoja yuko hapo mweupe mzuri hv mfupi hivi bank teller..mtoto wa ukweli sana...kama kuna mtu anamjua jamani...msaada wadau
Mi nikajua Daslam kumbe Dodoma ayaaa.
 
Nilienda na milioni mbili elfu kumi kumi tupu na nilizihesabu zaidi ya mara 3 zikawa fresh sikuzipanga kwa laki laki nikaweka pamoja nikafunga ruber band nikasokotea kwenye nylon nikaenda bank nikaandikisha acount namba yangu na majina nikaakaa kwenye folen mpaka ikafikia zam yangu nilipofika pake mapokezi nikampa karatasi na hela nikafungua ile nylon na zile ruber band nikampa akapokea akawa kama anazipigia pigia pale mezani kama anazishawazisha zilingane alafu akatulia akawa kama kuna kitu anashangaa nyuma yangu yani kama anaangalua wale nilowaacha kwenye foleni mimi si nikageuka kutizama ***** pale hakuchelewesha akadondosha hapo niti 3alafu ile hela akaweka kwenye mashine ya kuhesabu akaniambia bado hela mi nikamwambia kivipi akasema bado 30 huwezi amini nilimkalipia hadi akaja mama mmoja nadhani ni mkubwa wao nikamwelezea kumbe ule mchezo niliushtukia nikamwelezea yule mama niko tayari tuangalie camera yaani nilikomaa hadi akanywea..
Ni story ndefu mkuu siwezi imaliza saa hivi

ilikua mwaka gani hiyo mshezi alikuibia kizamani saaana itakua ilikua chini ya 2006??
 
Mim sijaelewa...unahisi umu kuna kaka'ake au ndugu yake yoyote ndio wakusaidie umpate au wakupe hv namba yake ya simu, au unahis labda kuna shosti wake au ni nin aiseee..???

Wewe ilibidi umalizane nae pale pale, au hamna hamna ungemvizia hata mida ya kutoka uone chance yako ingesimamia wapi. Next time u need to have a plan na si kuja na kutujazia server ya JF.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom