Mdada wa benki wa ukweli sana

Mdada wa benki wa ukweli sana

Habarini wadau....leo mchana niliimgia azania bank tawi la dodoma...aisee kuna mdada mmoja yuko hapo mweupe mzuri hv mfupi hivi bank teller..mtoto wa ukweli sana...kama kuna mtu anamjua jamani...msaada wadau
Taifa linapoteza kila kukicha watu sahihi
Kuna tofauti kubwa sana,kati ya watu na Viatu

Ni Bora upate ajali na kufa papo hapo au kuvunjika viungo,Kuliko kupata ajali ya akili

Maskini mweh
werevu wanaondoa,wanakuja waovu


Dunia ni Tambara bovu
 
kuna mmoja yupo pale UBA Maktaba square branch, uzuri wake unanogeshwa zaidi na uchangamfu wake.
 
Huwa nijivutiwa na demu nitamfatilia kama jasusi hadi nijue routes zake bila yeye kujua
 
Mfano huyo wa benki easy sana vizia mida ya kutoka kazini kaaa karibu ila usionekane na askari mvizie hadi ujue anakaa wapi
 
Back
Top Bottom