mareeTZ
Senior Member
- Jun 4, 2015
- 171
- 179
Habari wana MMU,
Nimeona nishee hiki kitu humu,
Wanawake wengi wamekuwa na uwelewa mdogo kuhusu nini mwanaume huangalia wanapotaka mke na sio demu tu wa kutumia tu na kuacha.
Kama mwanamke anataka ndoa afuate haya Mara moja.
1. Make Up -Wachana na mawigi ya ajabu ajabu yasioeleweka yaani unakuta mwanamke kavaa nywele za bluu na njano, nyusi anachora hadi zinakutana , haujulikani we rangi gani yani vurugu tupu. Kama unataka mwanaume aje atoe posa kwenu basi achana navyo. Kuwa real suka vizuri, chana kawaida au nyoa, huoni kina flaviana matata wanavyoshine ati.
2. Mavazi - iko hivi wanaume tunapotaka mwanamke wa kuvutia muda tu mavazi ya ajabu huwa hatujali hata kama ukivaa kimini kinachoishia mapajani tena tunapenda, lakini ikija suala la kuweka ndani anatafutwa anayejisitiri anayejua kuvaa kiheshima
3. Mwanaume akigundua unafanya vitu hivi sahau ndoa atakukimbia ( unaenda club, unavuta sigara, unatumia pombe hovyo, mchoyo, unaongea saanaaaaa,) wacha vyote
4. Usafi - usafi ndo kila kitu kwa mwanamke kuanzia mwili wake hadi mazingira yanayomzunguka. Kuwa msafi saa zote, yani mwanamke anaalikwa kwa boyfriend wake anakuta vyombo vichafu, nyumba chafu lakini kitu cha kwanza anafanya atajirusha sofani atashika rimoti n.k.
5. Kuwa real acha kufeki maisha. Yani unakuta msichana anaongelea puani, kiswahili chenyewe kama kiingereza haueleweki, hivi unapelekwa dinner na mpenzi wako unanunuliwa msosi eti unakula nusu, soda nusu eti umeshiba! Tunawaonaga mnafki tu kiaina hebu jaribuni kuwa real huwezi oa mwanamke ambaye hujui yukoje yaani maigizo tupu.
Kwa Leo niishie hapa nitaendelea siku nyingine.
Nimeona nishee hiki kitu humu,
Wanawake wengi wamekuwa na uwelewa mdogo kuhusu nini mwanaume huangalia wanapotaka mke na sio demu tu wa kutumia tu na kuacha.
Kama mwanamke anataka ndoa afuate haya Mara moja.
1. Make Up -Wachana na mawigi ya ajabu ajabu yasioeleweka yaani unakuta mwanamke kavaa nywele za bluu na njano, nyusi anachora hadi zinakutana , haujulikani we rangi gani yani vurugu tupu. Kama unataka mwanaume aje atoe posa kwenu basi achana navyo. Kuwa real suka vizuri, chana kawaida au nyoa, huoni kina flaviana matata wanavyoshine ati.
2. Mavazi - iko hivi wanaume tunapotaka mwanamke wa kuvutia muda tu mavazi ya ajabu huwa hatujali hata kama ukivaa kimini kinachoishia mapajani tena tunapenda, lakini ikija suala la kuweka ndani anatafutwa anayejisitiri anayejua kuvaa kiheshima
3. Mwanaume akigundua unafanya vitu hivi sahau ndoa atakukimbia ( unaenda club, unavuta sigara, unatumia pombe hovyo, mchoyo, unaongea saanaaaaa,) wacha vyote
4. Usafi - usafi ndo kila kitu kwa mwanamke kuanzia mwili wake hadi mazingira yanayomzunguka. Kuwa msafi saa zote, yani mwanamke anaalikwa kwa boyfriend wake anakuta vyombo vichafu, nyumba chafu lakini kitu cha kwanza anafanya atajirusha sofani atashika rimoti n.k.
5. Kuwa real acha kufeki maisha. Yani unakuta msichana anaongelea puani, kiswahili chenyewe kama kiingereza haueleweki, hivi unapelekwa dinner na mpenzi wako unanunuliwa msosi eti unakula nusu, soda nusu eti umeshiba! Tunawaonaga mnafki tu kiaina hebu jaribuni kuwa real huwezi oa mwanamke ambaye hujui yukoje yaani maigizo tupu.
Kwa Leo niishie hapa nitaendelea siku nyingine.