ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,528
- 119,426
Kiongozi, kwani we si tayari?niishi kama nijuavyo ikija poa isipokuja poa .. haya yote ni maisha
Kiongozi, kwani we si tayari?niishi kama nijuavyo ikija poa isipokuja poa .. haya yote ni maisha
😉 badoKiongozi, kwani we si tayari?
nitakuganda kama ruba sababu nina proposal nyingi zitafuata
....thatha......basi ngoja ni😉 bado
!!ha haha we tunza familia....thatha......basi ngoja ni!!
Na wanaweki wengi wanaojiremba wananuka mdomo au meno, ukimsogelea haaaaa kama dampo la mwembeyangaMwanamke kajichubua
anakunywa beer hadi bar maarufu anazijua
full makucha kucha mikono yoote
hana kazi lakini ana iphone 3...
story zake ni team wema tu na team kiba
kutwa kutafuna big g na earphone masikio yote
huyu huoi hata ulipwe
Na wanaweki wengi wanaojiremba wananuka mdomo au meno, ukimsogelea haaaaa kama dampo la mwembeyanga
Unataka urushe kete nini....thatha......basi ngoja ni!!
Alinitolea nje huyu miss chagga!Unataka urushe kete nini
Legeza wallet japo kidogo...Alinitolea nje huyu miss chagga!
Na wanaweki wengi wanaojiremba wananuka mdomo au meno, ukimsogelea haaaaa kama dampo la mwembeyanga

Mwanamke kajichubua
anakunywa beer hadi bar maarufu anazijua
full makucha kucha mikono yoote
hana kazi lakini ana iphone 3...
story zake ni team wema tu na team kiba
kutwa kutafuna big g na earphone masikio yote
huyu huoi hata ulipwe
"Wife material" according to your standards eti eeh. Mbona nishaona mabinti kibao ambao majority ya wanaume walisema huyu haolewi, na wameolewa vizuri tu. Kila mtu ana choice yakeMwanaume mwenye hekima huangalia sifa za Msingi, Pia huepuka wanawake tajwa hapo kuwa Mke wa familia yake. Ikumbukwe kuwa Wanaume halisi hupungua kwa kadri siku ziendavyo halikadhalika wanawake halisi..
Hivyo mwanamke anayezungumziwa hapa ni Wife material.
"Wife material" according to your standards eti eeh. Mbona nishaona mabinti kibao ambao majority ya wanaume walisema huyu haolewi, na wameolewa vizuri tu. Kila mtu ana choice yake