Nadhani wewe ndo unaishi kizamani my dear, dunia ya sasa haipo hivyo unavyowaza. Mawazo yako ni kama ya bibi zetu wa mwaka 1922. Naamini hata binti yangu wa kizazi cha sasa hana mawazo kama ya kwako.Demi today's World is not the way you Guess or think Just change your mind set and you will simply your life but whether you like or not man will dominate and nothing we can do to change that so by saying so when you happen to have someone in life at least a good one just stuck on him
Kwahiyo wewe hit and run?Sina muda wa kugandana kiukweli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji419]Nadhani wewe ndo unaishi kizamani my dear, dunia ya sasa haipo hivyo unavyowaza. Mawazo yako ni kama ya bibi zetu wa mwaka 1922. Naamini hata binti yangu wa kizazi cha sasa hana mawazo kama ya kwako.
Baada ya miaka 10 hutaongea hiki unachoongea sasa hivi.
Kila la kheri kwenye kuwaganda hawa viumbe...nipo nimekaa paleeeee [emoji117][emoji117]
Sijui kama nitakuwa nimekuelewa vizuri lkn nadhani unaongelea kwamba ukipata mwanaume anayeeleweka umgande,right;, lakini nafikiri ungetumia neno"Muombee asibadilike" My dia kumganda mtu sio sababu ya yeye kuacha,lahasha,kama Hana mapenzi na ww hata umgande vipi ataondoka tu.Hii Inaumiza Sana huwa naonaga Sana Single mother mitaani wanavyoteseka kupambana maskini mtoto wake akikosea kidogo tu vya kawaida mtoto atapigwa kipigo Cha mbwa Koko simply because she hate the fact the man dumped her..hey guys let us be serious on a serious note
Dear sister, endelea kuwaganda wasiokupenda,waliokuchoka,wasiokuheshimu,wasiojali hisia zako siku ukiuwawa UKACHOMWA NA MAGUNIA MATATU ndio utaelewa maana ya neno UKIACHWA ACHIKA.Halafu yakiwakuta wanaanza kukesha kwa MWAMPOSA na kwa waganga
Hajakuwa huyu!anaongea vitu visivyo na uhalisiaSijui kama nitakuwa nimekuelewa vizuri lkn nadhani unaongelea kwamba ukipata mwanaume anayeeleweka umgande,right;, lakini nafikiri ungetumia neno"Muombee asibadilike" My dia kumganda mtu sio sababu ya yeye kuacha,lahasha,kama Hana mapenzi na ww hata umgande vipi ataondoka tu.
Tuna mifano halisi ya watu tuliowaganda pamoja na kuwa na madhaifu yao tuliyafukia tukawa tunaangalia mema tu,yani hata akosee vipi unaendelea kumpenda na kumganda tu,lkn mwisho wa siku anakutaftia sababu ambayo,wewe mwenyewe utanyoosha mikono useme yes,nimesarender.
Tusichokijua ni kwamba Hawa ndugu zetu wanaume,baadhi yao wakiona wanapendewa na kugandwa sana wanakudharau,sio wote lkn there are some men are very humbled,yani ukimpenda anajua kurudisha shukrani,ila mwingine ukimganda ndo umeula wa Chuya.
So jambo la msingi hapa ni kwamba endapo utapata mwanaume anayeeleweka,na mwenye mapungufu ambayo it can be solved,Muombee asibadilike,lkn kumganda mtu haisound na inategemea kuwa huyo mtu ana mapenzi kwako kiasi gani,kama anakupenda hata usipomganda ataendelea kukupenda tu,nakama hakupendi hata umgande vipi,ataondoka tu,I'm done
[emoji23][emoji23][emoji23]Dear sister, endelea kuwaganda wasiokupenda,waliokuchoka,wasiokuheshimu,wasiojali hisia zako siku ukiuwawa UKACHOMWA NA MAGUNIA MATATU ndio utaelewa maana ya neno UKIACHWA ACHIKA.
Huyu njaa inamsumbua....angekuwa na uhakika wa kula usingeona meseji zake 😁😁😁😁Ni mke wa mtu, nae ameanza kuniganda.
mi simtumiagi sms hata siku 1. nikimhitaji napiga simu, sitaki ushahidi
nae kajitahidi kuniganda ganda😄😄View attachment 2678075
Well said Demi,Pambaneni wenyewe mie sio mdada.
Na kisheria mwanaume ndo anatakiwa akugande, akutake wewe uwe mke wake sasa naona nyie mnataka kuvunja hiyo sheria. Mimi simo
Unaona hiki ndo nilikuwa nakisema,ona huyo mwanamke anavyojichiresha kwa jamaa ambaye hamtaki ila kwa vile amemganda anaona isiwe kesi,ngoja awepo tu,anamlia timing siku ikifika anamtupa kule,ladies be carefulHu
Huyu njaa inamsumbua....angekuwa na uhakika wa kula usingeona meseji zake [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
We subiri kiwakute kitu...Nyie ndo mnatobolewa macho kisa kungangania sehemu msiyopendwa na kudhaminiwa..
Jiheshimu dada.Life does not revolve around men
Tatizo ladies wanajazana ujinga....I wish mabinti wadogo wasifuate huu ushauri kabisa....mwanamke anatakiwa ajithamini mwenyewe na hao wanaume watamthaminiUnaona hiki ndo nilikuwa nakisema,ona huyo mwanamke anavyojichiresha kwa jamaa ambaye hamtaki ila kwa vile amemganda anaona isiwe kesi,ngoja awepo tu,anamlia timing siku ikifika anamtupa kule,ladies be careful
Napendaga tu akili Yako mdogo wangu 🤣🤣🤣🤣hutaki kugandana?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sirogi mtu, kwanza sipendi kuganda wala kugandwa na mtu mie
Bora uwaambie maana Wengine visirani kweli kweli 🤔Heloo,
Hope you are doing poaa. Leo Nina kaujumbe kadogo kwa rafiki zangu jinsia ya kike!
Ni hiv, :zama za kususa, kuzira sijui atanitafuta shost angu utachina. Miaka hii ukipata mtu anayesomeka tambaa Naye mbele kwa mbele kitaeleweka tu.
Haya Mambo eti nimemfuma na sms za mwanamke simtaki tena baradhuri yule mshenzyy weweee wapi nyonyo wapi titi utaganda. Wewe ongeeni kaka ataonyesha kujutia yatengenezeni mjenge mahusiano na safari ya maisha iendelee.
Ipo hivi hawa wenzetu kama hamjui wao kulala hata na chizi kwao ni sawa. Sasa wewe jiulize machizi jojina humo barabarani yamepewa mimba na nani? Ni hawa hawa.
Cha kufanya hapa ni kutulia na mtu wako it raining everywhere my dear young sister usichezee bahati uliyopata, hebu angalia single mother wanavyonyanyaswa kwenye maandiko ya humu JF na mtaani Maana mwisho wa siku umri utaenda utaamua kuzaa tu. Maana hakuna asiyependa kuitwa mama sasa itwa Mama ukiwa na Baba pembeni ndugu au Kanisa au msikiti viwatambue lakini yote yatawezekana mkijenga msingi mzuri wa mahusiano.
Kumetokea mtafaruku kidogo elewaneni songeni mbele, Mambo ya kuzira na kususa wenzio watamchukua na utaachwa hapo unashangaa maisha hayapo simple ivyo.
Ni mwendo wa kukomaaa!
Upwwe maua yako. Men wll always dominate so tulizeni mbususu hizo.Demi today's World is not the way you Guess or think Just change your mind set and you will simply your life but whether you like or not man will dominate and nothing we can do to change that so by saying so when you happen to have someone in life at least a good one just stuck on him
Kweli visirani ila mwisho wa siku watatulia tuu.Bora uwaambie maana Wengine visirani kweli kweli 🤔
Usiwe serious sn na hawa wakataa ndoa wa humu wengi wanandoa zao sema wanapopata changamoto ndio wanakuja huku kupunguza stress zao.Wapambane kuwaganda waolewe, wanaume wenyewe ndo hawa kataa ndoa
Hana kitu huyo! we hujui tu mwaka wa 22 hana nauli ya kurudi bongo,we endelea kudanganyika🤣🤣🤣🤣🤣we Bora umgande shemeji yangu Countrywide atakupeleka hata Ngorongoro ukaone tembo huyo Kiranga ana miliki maneno tuSister Joannah hivi wewe mbona tunakubembeleza sana kwann lakini?!
Hizi pesa zikitupita wallahi sikusamehiii [emoji1787][emoji1787]