Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,530
- 13,467
cacico mdada kabiki amechanganyikia ila duniani kweli kuna mambo ya ajabu sana
Nikiwaza huyo mmewe wa ndoa leo anamtamkia bila kumuoa fulani najiua
Wakati unasema hayo hukumbuki watoto,mke ,na ndugu zako
Inashangaza sana
watu wanaacha kufanya kazi wanasifia wanaume? craaap.....Wewe.... Tema mate chini..
Babu DC, nakubaliana na wewe, na ndio maana tunaambiwa kila jambo tufanye kwa kiasi, hata majisifu tufanye kwa kiasi..... lakini sasa hilo limeshatokea, amemsifia sana mumewe kwa mashoga na sasa mume kamgeuka, Je ajinyonge? au aendelee kubugia uchungu wa kusalitiwa? Kuna wanawake wengi wanakufa huku wakiona, na hii ni mojawapo ya sababu hizo....Mtu anamuona mumewe ni muasherati lakini kutwa kwenye maombi, eti anamuombea muasherati ili ajirudi. Ataomba wee mpaka aletewa UKIMWI, lakini yumo tu na maombi mpaka anaenda kaburini. Mtu wa namna hiyo sidhani kama atauona ufalme wa mbinguni........ Mungu aliposema, "Wanaadamu wanaangamia kwa kosa maarifa" hakukosea, mwanamke anayeangamia kwa ujinga wa namna hii si kukosa maarifa huko............!Sawa ila sasa huyo mwanamke alikuwa anajimwagia misifa kwa watu ili iweje?
Hata wakimsimanga kwa sasa sitamuonea huruma!! Kama angechukulia mambo yake na mume wake kivyake vyake, kwa sasa angekuwa na mambo kidogo tu ya kumshughulisha....Ila sasa inabidi aanze kuhangaika na jinsi ya kudeal na hao majirano aliokuwa anawakoga....Malipo ni hapa hapa duniani!!
Babu DC!!
sweetheart FL1 yaani cku hizi bila sala na hizi ndoa, zinazidi kuwa mitihani, yaani watu wanapuliza usiku na mchana! ndio hivyoooooooo unakuta mume anabebwa mzima bila woga!cacico mdada kabiki amechanganyikia ila duniani kweli kuna mambo ya ajabu sana
Nikiwaza huyo mmewe wa ndoa leo anamtamkia bila kumuoa fulani najiua
Wakati unasema hayo hukumbuki watoto,mke ,na ndugu zako
Inashangaza sana
Huyu mdada ni jirani yangu..
Alikuwa na ka mtindo fulani kila siku anamsifia husband wake ooh ndoa yangu ni imara na ni kama paradise ndogo
Mme wangu hawezi kurudi saa mbili usiku kama waume zenu wanavyofanya nashangaa mie.!
Akitoka kazini moja kwa moja home
Nawahurumia nyie waume zenu kurudi home saa tano..sita ,akiwahi sana saa nne mnawezaje haya maisha ..?
Sifa nyingi zilimiminika kwa huyu dear husband
..Mama mmoja wa makamo alikuwa mara nyingi akimwambia temea mate chini mdogo wangu,
Haya mambo omba mungu aendelee kumtunza mmeo
LOL sasa limezuka la kuzuka
Ghafla mme kaanza kurudi saa mbili eti ooh nilikuwa na washikaji
Ikaenda saa sita kulikuwa na vikao vya dharula kazini nisamehe my wife
Ikafikia sasa anarudi asubuhi ooh nilikuwa night shift siku hizi nimekuwa potential sana kazini wife
Ghafla picha ya mrembo mmoja kwenye screen ya simu..oops
Simu inakumbatiwa wakati zamani ilikuwa inakaa popote pale
Mara trip za hapa na pale zikaendelea
Vunja kazi mzee kamtakia wife Mie bila kumuoa huyo dada wa kwenye screen ya simu nitajiua ..makubwa ……
***Based on true story ****
Jamani tuendelee kuwaweka kwenue maombi wenza wetu
Tuziombeee ndoa na familia zetu
Amani itawale daima
Nawakilisha
FL1- Mama Mwenye Nyumba
ainkiller:............Utakuwa huna mwanaume wewe!!wanaume kitu gani bwana...upuuuzi mtupu..
Babu DC, nakubaliana na wewe, na ndio maana tunaambiwa kila jambo tufanye kwa kiasi, hata majisifu tufanye kwa kiasi..... lakini sasa hilo limeshatokea, amemsifia sana mumewe kwa mashoga na sasa mume kamgeuka, Je ajinyonge? au aendelee kubugia uchungu wa kusalitiwa? Kuna wanawake wengi wanakufa huku wakiona, na hii ni mojawapo ya sababu hizo....Mtu anamuona mumewe ni muasherati lakini kutwa kwenye maombi, eti anamuombea muasherati ili ajirudi. Ataomba wee mpaka aletewa UKIMWI, lakini yumo tu na maombi mpaka anaenda kaburini. Mtu wa namna hiyo sidhani kama atauona ufalme wa mbinguni........ Mungu aliposema, "Wanaadamu wanaangamia kwa kosa maarifa" hakukosea, mwanamke anayeangamia kwa ujinga wa namna hii si kukosa maarifa huko............!
sitaki... mashetani wakubwaainkiller:............Utakuwa huna mwanaume wewe!!
Babu DC sijui kwanini namuamini Eiyer, acheni nimiamini akinitenda si nitakuja mtanicouncil!
Halafu si huwa mnatushauri tuwaamini wapenzi wetu without reservation, sasa nikiwa na reservation maisha nitauafurahiaje?
Pamoja na hayo, nakubaliana nawe kuhusu kujisifia, nimefanya hivyo kwa Kongosho tu maana ameninyanyasa sana huko nilipokuwa nashare naye!
LOL
Duh...kwa hiyo solution ni nini?
Wapeni waume zenu mapenzi msiwabanie ila mkiombwa mchezo mmbaya kataeni kwani mtaharibiwa tu na kukimbiwa
Wahenga husema "usitukane wakunga uzazi ungalipo ma usimcheke mamba kabla hujavuka mto" Mtambuzi asante kwa kutukumbusha
Duh...kwa hiyo solution ni nini?
Wapeni waume zenu mapenzi msiwabanie ila mkiombwa mchezo mmbaya kataeni kwani mtaharibiwa tu na kukimbiwa
"...Enyi akina mama waheshimuni waume zenu..."