Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,175
He he he he, kumbe unataka 'baby come back'?
Yuko bize na Bi. Chau, hakuna cha Omotola wala Genevieve
Mtaa wa sita mtanikoma, exclisively hili jigambo kwa Kaunga tu
Yuko bize na Bi. Chau, hakuna cha Omotola wala Genevieve
Mtaa wa sita mtanikoma, exclisively hili jigambo kwa Kaunga tu
Babu DC sijui kwanini namuamini Eiyer, acheni nimiamini akinitenda si nitakuja mtanicouncil!
Halafu si huwa mnatushauri tuwaamini wapenzi wetu without reservation, sasa nikiwa na reservation maisha nitauafurahiaje?
Pamoja na hayo, nakubaliana nawe kuhusu kujisifia, nimefanya hivyo kwa Kongosho tu maana ameninyanyasa sana huko nilipokuwa nashare naye!
LOL
Last edited by a moderator: