Mdada amwaga chozi kwa ajili yangu

Mdada amwaga chozi kwa ajili yangu

Yaani umuache kwako alafu uende bar ukatafakari????
Cha kutafakari sikioni wakati tayar ushasema una mchumba na tayar ushatoa mahari.....
Au umeenda kuutia kasi huko bar ili ukirud ndo muvileeeee
labda kaenda kujiyupia kitu cha kiroba!!!
 
hawa walimu si wanafundishwa saikolojia huyu sasa imekuwaje????
 
mapenzzi haya mwe!!!!!!
hawa wanafundishwa mtu yupo katika mood gani kama mbaya wafanye vipi ili iwe nzuri,vipi wanaweza kumshawishi wana convincing power kubwa ila hapa mhhh!!! kweli mapenzi upofu yaani kamuonyesha dalili zote bado jamaa hajingia kingi!!! kaona haitoshi kaamua azame kichwa kichwa
 
Mwache aje tu, atakuta nishakugegeda na nimeondoka.... Kwani mi nafuata ugomvi hadi niusubirie..???

uwiii yereuwiii mbona unataka kuniharibia mahusiano yangu.......huo ugomvi si unaniachia mimi

yuko busy ule mtaa wa pili akirudi inabidi mi ndo nihamie mtaa wa pili
 
Yaani umuache kwako alafu uende bar ukatafakari????
Cha kutafakari sikioni wakati tayar ushasema una mchumba na tayar ushatoa mahari.....
Au umeenda kuutia kasi huko bar ili ukirud ndo muvileeeee

Na huyo mwalimu kwa kupenda walevi hajambo! Ameenda kutafakari bar kama anaweza kumchukua mwalimu kama option.
 
Huna mapenzi ya dhati kwa huyo mchumbaako naona uko mguu nje mguu ndani ndio maana huna uhakika na ulitakalo!,Kama ushamwambia una mchumba kwanini ulete mada hapa?
We achana na huyo mwalimu kwani unataka umfanyaje na anachokitaka kwako huwezi kumpa!

Hivi kipimo cha mapenzi ya dhati ni kipi!! Hivi unataka kutuaminisha kwamba kila mwanaume aliyewahi kutoka nje ya ndoa ni kwa sababu hawana mapenzi ya dhati kwa wake zao??? Hivi ndivyo mnavyoamini???
 
kwel mwenye bahati habatiki'' iyo ni balaa moja kwa moja
 
Kaka kuwa makin kwani ukishawishika kumpitia na baada ya hapo inaweza kuwa ni mbinu ya kuhakikisha anakuharibia kwa mchumba wako,la msingi mpotezee kabisa.
 
Hivi kipimo cha mapenzi ya dhati ni kipi!! Hivi unataka kutuaminisha kwamba kila mwanaume aliyewahi kutoka nje ya ndoa ni kwa sababu hawana mapenzi ya dhati kwa wake zao??? Hivi ndivyo mnavyoamini???
Kitendo cha yeye kukaa kumfikiria mwanamke mwengine ni kithibitisho tosha kuwa si mkweli..na kwanini ishu hio imsumbue akili na keshapata mwenza?Na hao waliotoka nje ya ndoa wote hawana mapenzi ya dhati...Kama kweli unampenda mtu utamcheat?
 
we umekwenda baa ili ujitoe fahamu, ukirudi na kumkuta lazima utamgegeda tu
 
Kitendo cha yeye kukaa kumfikiria mwanamke mwengine ni kithibitisho tosha kuwa si mkweli..na kwanini ishu hio imsumbue akili na keshapata mwenza?Na hao waliotoka nje ya ndoa wote hawana mapenzi ya dhati...Kama kweli unampenda mtu utamcheat?

Hicho kipimo chako cha mapenzi ya dhati kinahitaji kufanyiwa calibration. Hivi ushawahi kufikiria wapo watu ambao hawajawahi hata siku moja kutoka nje ya ndoa lakini pia hawapendani kwa dhati???? Na pia wapo ambao washawahi kutoka nje ya ndoa mara kadhaa lakini ukiwakuta na wake zao wana mapenzi haswa mpaka kila mtu anawakubali??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom