Mndengereko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 7,319
- 3,432
labda kaenda kujiyupia kitu cha kiroba!!!Yaani umuache kwako alafu uende bar ukatafakari????
Cha kutafakari sikioni wakati tayar ushasema una mchumba na tayar ushatoa mahari.....
Au umeenda kuutia kasi huko bar ili ukirud ndo muvileeeee