Mdada amwaga chozi kwa ajili yangu

Mdada amwaga chozi kwa ajili yangu

kama kumkataa ushamkataa na ndani ushamwambia atoke, sasa unachotaka kusaidiwa ni namna ya kumtoa ndan kwasababu bado yupo? Ama namna ya kumkwepa? Ama umfanyeje ilhali mwingne umemtolea mahari?

i wonder!!
 
Wana wa JF, nimetatazika wandugu. Nina jirani yangu yeye mwalimu jinsia yake ya kike. Amejaribu sana kuwa karibu na mimi, nami niligundua dalili zote lakini nilikuwa nampotezea.

Sasa leo ndio leo mahasibu yamenipata. Mwalimu kaingia kwangu mchana wa leo tukawa tunapiga stori za hapa na pale. Punde akanieleza kuwa moyo wake umenichagua mimi ananipenda sana, ameniomba tuwe wapenzi. Akaendelea zaidi kuniambia kwamba nisinifikirie kama yeye ni malaya au nini kwa kunitamkia ukweli wa moyo wake. kwani wanawake huwa ni vigumu kusema ukweli wa ndani ya moyo wake, ameniambia amejitaidi sana kunionyesha japo nigundue hisia zake lakini mimi sijagundua. Ameshidwa na uvumilivu

Mwalimu kisha akaniuliza nina mpenzi. Nami nikamwambia ukweli nina mchumba ambaye tayari nimeshamtolea mahari nyumbani kwetu Kurio Kwamtoro Kondoa.
Lahaulaa!! Mwalimu akaanza kulia, nikachanganyikiwa. Nimejaribu kumsihi na kumbembeleza wapi.

Imenibidi nimuache kwangu, nimemwambia akijisikia vizuri aende kwake. Sasa hivi nipo Bar natafakari, nikaona siyo vibaya kuwashirikisha wana MMU.

je huyu mwalimu nimfanyaje?
Huna mapenzi ya dhati kwa huyo mchumbaako naona uko mguu nje mguu ndani ndio maana huna uhakika na ulitakalo!,Kama ushamwambia una mchumba kwanini ulete mada hapa?
We achana na huyo mwalimu kwani unataka umfanyaje na anachokitaka kwako huwezi kumpa!
 
Huna mapenzi ya dhati kwa huyo mchumbaako naona uko mguu nje mguu ndani ndio maana huna uhakika na ulitakalo!,Kama ushamwambia una mchumba kwanini ulete mada hapa?
We achana na huyo mwalimu kwani unataka umfanyaje na anachokitaka kwako huwezi kumpa!

Well said!
 
Mke bora utoka kwa Mungu. Usiku kabla ujalala piga goti umlilie Mungu akuonyeshe mchumba na mwalimu nani ndiye sahihi kwako.

vipi ndugu umechukua yale malipo unigaiye kidogo
 
avatar30885_4.gif

Kwani mpo Kijiji gani huko mnakofundisha?
Kuna Kilabu au ni Town mpo
Maana yangu ni kuwa huyo Teacher km ni Town atapata tu mtu mwingine wewe gegeda na usepe
 
Ni mwalimu wa somo gani? kama ni mwalimu wa baioloji basi muombe akukatie nyanga za Riprodaksheni...halafu praktikozi kwa wingi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom