Mdada amwaga chozi kwa ajili yangu

Mdada amwaga chozi kwa ajili yangu

Madam umeishamwambia tayari, kwasasa mgegede arudi kwake akatafakari ulichomweleza.
 
ulitakiwa kusema una mchumba wakati wa kusubiri raundi ya pili lol

waulize wahaya....
huja kugundua kuwa watu ni ndugu asubuhi kumekucha lol
 
Wana wa JF, nimetatazika wandugu. Nina jirani yangu yeye mwalimu jinsia yake ya kike. Amejaribu sana kuwa karibu na mimi, nami niligundua dalili zote lakini nilikuwa nampotezea.

Sasa leo ndio leo mahasibu yamenipata. Mwalimu kaingia kwangu mchana wa leo tukawa tunapiga stori za hapa na pale. Punde akanieleza kuwa moyo wake umenichagua mimi ananipenda sana, ameniomba tuwe wapenzi. Akaendelea zaidi kuniambia kwamba nisinifikirie kama yeye ni malaya au nini kwa kunitamkia ukweli wa moyo wake. kwani wanawake huwa ni vigumu kusema ukweli wa ndani ya moyo wake, ameniambia amejitaidi sana kunionyesha japo nigundue hisia zake lakini mimi sijagundua. Ameshidwa na uvumilivu

Mwalimu kisha akaniuliza nina mpenzi. Nami nikamwambia ukweli nina mchumba ambaye tayari nimeshamtolea mahari nyumbani kwetu Kurio Kwamtoro Kondoa.
Lahaulaa!! Mwalimu akaanza kulia, nikachanganyikiwa. Nimejaribu kumsihi na kumbembeleza wapi.

Imenibidi nimuache kwangu, nimemwambia akijisikia vizuri aende kwake. Sasa hivi nipo Bar natafakari, nikaona siyo vibaya kuwashirikisha wana MMU.

je huyu mwalimu nimfanyaje?

Angalau umepata cha kuwasimulia wajukuu baadae uzeeni lol
 
Maisha ya mapenz ndvyo yalivyo anataka ww hutak sk na ww ukita....._!! Kaz kwel kwel. Wengne tumebaki na majeraha yetu
 
Kutongozwa mtoto wa kiume ni majaribu makali sana kwani unakuwa unamfikiria na wa upande wa pili atakavyojisikia ukimtolea nje. Hawa watu huwa wanajiona kama hawafai kabisa endapo akifanya jaribio la kutongoza aafu akakataliwa.. Ila wengi wao huwa wanacheki maslahi kwanza.
 
ulitakiwa kusema una mchumba wakati wa kusubiri raundi ya pili lol

waulize wahaya....
huja kugundua kuwa watu ni ndugu asubuhi kumekucha lol

Ahahahaha The Boss!Infwacti you are absolute right

Kama kanitongoza mwenyewe SIWEZI muache lzm ale dushulele na nitamuomba awe mke mdogo nimpangie chumba mbali na alipo mke wangu mpendwa!

Nyumba ndogo zinasadia sana wife mpendwa akiwa na dharura;Nitakuwa namsisitizia tu amheshimu sana wife!
 
Wana wa JF, nimetatazika wandugu. Nina jirani yangu yeye mwalimu jinsia yake ya kike. Amejaribu sana kuwa karibu na mimi, nami niligundua dalili zote lakini nilikuwa nampotezea.

Sasa leo ndio leo mahasibu yamenipata. Mwalimu kaingia kwangu mchana wa leo tukawa tunapiga stori za hapa na pale. Punde akanieleza kuwa moyo wake umenichagua mimi ananipenda sana, ameniomba tuwe wapenzi. Akaendelea zaidi kuniambia kwamba nisinifikirie kama yeye ni malaya au nini kwa kunitamkia ukweli wa moyo wake. kwani wanawake huwa ni vigumu kusema ukweli wa ndani ya moyo wake, ameniambia amejitaidi sana kunionyesha japo nigundue hisia zake lakini mimi sijagundua. Ameshidwa na uvumilivu

Mwalimu kisha akaniuliza nina mpenzi. Nami nikamwambia ukweli nina mchumba ambaye tayari nimeshamtolea mahari nyumbani kwetu Kurio Kwamtoro Kondoa.
Lahaulaa!! Mwalimu akaanza kulia, nikachanganyikiwa. Nimejaribu kumsihi na kumbembeleza wapi.

Imenibidi nimuache kwangu, nimemwambia akijisikia vizuri aende kwake. Sasa hivi nipo Bar natafakari, nikaona siyo vibaya kuwashirikisha wana MMU.

je huyu mwalimu nimfanyaje?

For Promotional use only.
 
Wana wa JF, nimetatazika wandugu. Nina jirani yangu yeye mwalimu jinsia yake ya kike. Amejaribu sana kuwa karibu na mimi, nami niligundua dalili zote lakini nilikuwa nampotezea.

Sasa leo ndio leo mahasibu yamenipata. Mwalimu kaingia kwangu mchana wa leo tukawa tunapiga stori za hapa na pale. Punde akanieleza kuwa moyo wake umenichagua mimi ananipenda sana, ameniomba tuwe wapenzi. Akaendelea zaidi kuniambia kwamba nisinifikirie kama yeye ni malaya au nini kwa kunitamkia ukweli wa moyo wake. kwani wanawake huwa ni vigumu kusema ukweli wa ndani ya moyo wake, ameniambia amejitaidi sana kunionyesha japo nigundue hisia zake lakini mimi sijagundua. Ameshidwa na uvumilivu

Mwalimu kisha akaniuliza nina mpenzi. Nami nikamwambia ukweli nina mchumba ambaye tayari nimeshamtolea mahari nyumbani kwetu Kurio Kwamtoro Kondoa.
Lahaulaa!! Mwalimu akaanza kulia, nikachanganyikiwa. Nimejaribu kumsihi na kumbembeleza wapi.

Imenibidi nimuache kwangu, nimemwambia akijisikia vizuri aende kwake. Sasa hivi nipo Bar natafakari, nikaona siyo vibaya kuwashirikisha wana MMU.

je huyu mwalimu nimfanyaje?

sasa nasema mpige tu! maana tumeshachoka!
 
Nadhani hii ni porojo...

wanawake hata wakiwa malaya vipi ni watu makini sana... sembuse mwalimu.. Hata siku moja mwanamke hawezi kukutamkia anakupenda bila kufanya utafiti wa kina.. Kama amekutamkia wewe..basi yako ni pochi na siyo penzi.... Bahati mbaya sisi wanaume tukisikia mwanamke anasema anakupenda basi tunalainika kama mshumaa..
 
kumbe hupo peke yko,nami napata shida kama hyo jamani ila mm sina mchumba.tena wanataka waolewe sikugegedwa tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom