Mdada amwaga chozi kwa ajili yangu

Mdada amwaga chozi kwa ajili yangu

Msandawe Halisi

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2010
Posts
647
Reaction score
351
Wana wa JF, nimetatazika wandugu. Nina jirani yangu yeye mwalimu jinsia yake ya kike. Amejaribu sana kuwa karibu na mimi, nami niligundua dalili zote lakini nilikuwa nampotezea.

Sasa leo ndio leo mahasibu yamenipata. Mwalimu kaingia kwangu mchana wa leo tukawa tunapiga stori za hapa na pale. Punde akanieleza kuwa moyo wake umenichagua mimi ananipenda sana, ameniomba tuwe wapenzi. Akaendelea zaidi kuniambia kwamba nisinifikirie kama yeye ni malaya au nini kwa kunitamkia ukweli wa moyo wake. kwani wanawake huwa ni vigumu kusema ukweli wa ndani ya moyo wake, ameniambia amejitaidi sana kunionyesha japo nigundue hisia zake lakini mimi sijagundua. Ameshidwa na uvumilivu

Mwalimu kisha akaniuliza nina mpenzi. Nami nikamwambia ukweli nina mchumba ambaye tayari nimeshamtolea mahari nyumbani kwetu Kurio Kwamtoro Kondoa.
Lahaulaa!! Mwalimu akaanza kulia, nikachanganyikiwa. Nimejaribu kumsihi na kumbembeleza wapi.

Imenibidi nimuache kwangu, nimemwambia akijisikia vizuri aende kwake. Sasa hivi nipo Bar natafakari, nikaona siyo vibaya kuwashirikisha wana MMU.

je huyu mwalimu nimfanyaje?
 
Kama vipi "kula" tu!:biggrin1:
 
Wana wa JF, nimetatazika wandugu. Nina jirani yangu yeye mwalimu jinsia yake ya kike. Amejaribu sana kuwa karibu na mimi, nami niligundua dalili zote lakini nilikuwa nampotezea.

Sasa leo ndio leo mahasibu yamenipata. Mwalimu kaingia kwangu mchana wa leo tukawa tunapiga stori za hapa na pale. Punde akanieleza kuwa moyo wake umenichagua mimi ananipenda sana, ameniomba tuwe wapenzi. Akaendelea zaidi kuniambia kwamba nisinifikirie kama yeye ni malaya au nini kwa kunitamkia ukweli wa moyo wake. kwani wanawake huwa ni vigumu kusema ukweli wa ndani ya moyo wake, ameniambia amejitaidi sana kunionyesha japo nigundue hisia zake lakini mimi sijagundua. Ameshidwa na uvumilivu

Mwalimu kisha akaniuliza nina mpenzi. Nami nikamwambia ukweli nina mchumba ambaye tayari nimeshamtolea mahari nyumbani kwetu Kurio Kwamtoro Kondoa.
Lahaulaa!! Mwalimu akaanza kulia, nikachanganyikiwa. Nimejaribu kumsihi na kumbembeleza wapi.

Imenibidi nimuache kwangu, nimemwambia akijisikia vizuri aende kwake. Sasa hivi nipo Bar natafakari, nikaona siyo vibaya kuwashirikisha wana MMU.

je huyu mwalimu nimfanyaje?
Angekuwa mzuri ungekuja kuuliza hapa..???
 
machozi yasikutishe unamchumba tayari naye hana nafasi ushamweleza usiwe naye karibu akajinywesha sumu ikawamajanga
 
Yaani umuache kwako alafu uende bar ukatafakari????
Cha kutafakari sikioni wakati tayar ushasema una mchumba na tayar ushatoa mahari.....
Au umeenda kuutia kasi huko bar ili ukirud ndo muvileeeee
 
kama kumkataa ushamkataa na ndani ushamwambia atoke, sasa unachotaka kusaidiwa ni namna ya kumtoa ndan kwasababu bado yupo? Ama namna ya kumkwepa? Ama umfanyeje ilhali mwingne umemtolea mahari?
 
Wana wa JF, nimetatazika wandugu. Nina jirani yangu yeye mwalimu jinsia yake ya kike. Amejaribu sana kuwa karibu na mimi, nami niligundua dalili zote lakini nilikuwa nampotezea.

Sasa leo ndio leo mahasibu yamenipata. Mwalimu kaingia kwangu mchana wa leo tukawa tunapiga stori za hapa na pale. Punde akanieleza kuwa moyo wake umenichagua mimi ananipenda sana, ameniomba tuwe wapenzi. Akaendelea zaidi kuniambia kwamba nisinifikirie kama yeye ni malaya au nini kwa kunitamkia ukweli wa moyo wake. kwani wanawake huwa ni vigumu kusema ukweli wa ndani ya moyo wake, ameniambia amejitaidi sana kunionyesha japo nigundue hisia zake lakini mimi sijagundua. Ameshidwa na uvumilivu

Mwalimu kisha akaniuliza nina mpenzi. Nami nikamwambia ukweli nina mchumba ambaye tayari nimeshamtolea mahari nyumbani kwetu Kurio Kwamtoro Kondoa.
Lahaulaa!! Mwalimu akaanza kulia, nikachanganyikiwa. Nimejaribu kumsihi na kumbembeleza wapi.

Imenibidi nimuache kwangu, nimemwambia akijisikia vizuri aende kwake. Sasa hivi nipo Bar natafakari, nikaona siyo vibaya kuwashirikisha wana MMU.

je huyu mwalimu nimfanyaje?

Hakuna raha kama kuwa na mwanamke anayekupenda kwa dhati. Inaweza kuwa nafasi nzuri kwako kama hujaoa. Yule ambaye wewe unampenda anawezakuwa anampenda mwingine. Huyo binti labda kuna watu anawatolea nje kwa ajili yako. Mwanamke akikupenda hamna gharama za ajabuajabu. La msingi na wewe uwe na upendo naye!!
 
rudi geto saizi atakuwa ameondoka.
Kama ukimkuta gegeda atakuwa anasumbuliwa na nyege tu,si unajua ule ni ugonjwa.
MANA YULE NI MTU MZIMA NA KAMA USHAMWELEZA KUWA HATA MAHALI USHAPELEKA tayari anajua hauwezi tena kuwa nae.
KWA HIYO UKIMKUTA HALALI YAKO,hizo ndo neema na mafao ya ualimu mana ukisubiri ustaafu mafao yenyewe hayatoshi.
KUMBUKA NA KUBEBA DUME K.
 
Mke bora utoka kwa Mungu. Usiku kabla ujalala piga goti umlilie Mungu akuonyeshe mchumba na mwalimu nani ndiye sahihi kwako.
 
acha ufala.jpg ....si mngeenda wote bar mtafakari pamoja!lol
 
Hapo mimi basi !!!!!!!
naona majibu uliyopewa yanatosha WEWE ndo wakuaamua !
 
Mahari unatolea kwenu au kwao mchumba?siku hizi wanawake kutongoza kawaida,asikurembee mtongozo huyo. lakumfanya unajua!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom