- Thread starter
- #21
mlisema hivyo hivyo kuwa dr balele amefariki lakini kesho yake tunaambiwa he is alive and kickin'..hebu tusubiri taarifa ya habari ya usiku
Huyo mchungaji amefariki. Msiba uko Kiboroloni,Moshi kwa mtu anaitwa baba Dan. Mtu yeyote aliyepo Moshi akifika hapo kituo cha Taxi Kiboroloni akiulizia kwa baba Dan atapelekwa.
Mazishi yatafanyika baada ya mwili kufanyiwa uchunguzi na daktari wa polisi. Kama siyo uchunguzi wa mwili,ndugu wa marehemu walikua wamepanga kwenda kuzika kijijini kwa marehemu huko Njoro,Same.