Mchungaji wa Vurugu za kidini Mto wa Mbu Amefariki

Acheni uzushi. Mtahatarisha amani na utulivu wetu. Tz ni mfano ktk afrika. Wageni njoooni tz ni shwari.
 
Mkuu.
Kwa mchango wako huu hapa wewe huna tofauti na hao wachungaji na waislamu wa tukio la Mto wa mbu.

Unataka tuamini kuwa wewe binafsi huna marafiki waislamu, au ndugu zako, jirani zako ambao ni waislamu? Unaishi wapi wewe?
Kama unaishi Tanzania basi ni lazima unaishi kwa kujitenga.

Kama unaishi mtaani basi unawajuwa waislamu na nina uhakika hawajakuadhibu bila sababu. Unasaidiana nao kila siku. Kwa ulivyoieleza dini yao katika mchango wako basi unawakana rafiki zako, jirani zako na pengine ndugu katika familia yako.

Suala la dini mbili kuu Tz ni kitu ambacho kinachukua mkondo ambao kama wewe, mimi na kila mmoja wetu hatutachukua juhudi za makusudi kujizuia kuchochea hisia hizi za kidini nchi yetu itajikuta inaingia pabaya.

Vita si kitu kizuri lakini vita vya kidini ni vibaya zaidi. Sote tuna wajibu wa kuzuia kuitumbukiza nchi yetu katika vita hivyo. Kauli zetu zitolewe kwa tahadhari. Fikiria vita vya kidini Tanzania vitamuacha nani? Nani atasalimika?

Tuchunge ndimi zetu. Na tusemezane,tuambiane sote wakristo na waislamu kuwa kuheshimu dini za wengine ni wajibu wa kila mmoja wetu. Tukishindwa kufanya jambo hili basi na sisi tutakuwa ni sehemu ya watu wanaoridhia kuona udini unatumika kutugawa.

Mimi naishi ndani ya bongo, nina marafiki na ndugu waislam ndiyo sababu naielewa vizuri dini ya kiislam. Kwa mwislam swafi, mwislam mwenzake ni ndugu zaidi kuliko binamu yake asiye mwislam. Al Alawi wa dowans anaweza kuwa ndugu wa karibu kwa watanzania waislam kuliko watanzania wenzao wasio waislam.

Hakuna mtu mwenye akili timamu anayetaka vita iwe ya kidini, ya kisiasa au kikabila. Lakini tukijafanya ku ignore ukweli hatima yake tutajuta when is too late! Ukweli ni kwamba hali ya amani baina ya watu wenye imani tofauti wanaoishi pamoja huwa mashakani pale ambapo uislam unapokuwa na nguvu za kimadaraka au wingi wa watu. Mifano ya nchi kama Nigeria, Somalia, Sudan, Misri, nk ni somo tosha kwetu la kutupa dira ya kule tunapoelekea. Upole au wema au chochote kile kitakachotendwa na wasio waislam kamwe hakitakidhi matakwa na maslahi ya waislam ambayo ni kufanya mahala popote wanapoishi pawe nchi ya kiislam yenye kuongozwa na sharia.

Hili siyo tatizo la tanzania tu bali ni tatizo la dunia nzima. Nchi za ulaya na marekani zimevamiwa na waislam waamihaji wenye madai ya kila aina na wanatoa vitisho dhidi ya serkali na wananchi waliowaifadhi na wakati mwingine wanafanikiwa kuwaua raia wa nchi hizo kwenye mashambulizi ya kigaidi. Nchi za mashariki ya kati na Asia raia wake wasiowaislam hawana heshima wala haki, wanatendewa dhuluma na kuuawa kikatili. Hapa Afrika unajua kinachoendelea huko Nigeria, Sudan, Somalia nk na sasa ngoma inatua Bongo.

Ndiyo maana nilisema huu ni muda wa kukesha na kuomba kujiweka sawa kiimani ili mtu usije kutiwa majaribuni ukajikuta unaikana imani yako, kumbuka hizi siku za hatari ziliisha tabiriwa.
 
Tatizo ni Uislam kujipa haki zote hapa duniani na kujiweka juu ya imani zingine zote. Uislam unaamini quran ndicho kitabu pekee sahihi, Imani zote ni za kikafiri isipokuwa Uislam, Mungu anawaadhibu watu wote wasio waislam hapa duniani kwa kutumia mikono ya waislam na mwislam akiua kafiri (mtu asiyeamini uislam) hana hatia na akifa wakati wa shambulio anaenda peponi moja kwa moja. Kwa mtazamo huo hakuna namna yoyote unayoweza kumsaidia mwislam anayefuata mafundisho ya dini yake.

Hii ni dini iliyozaliwa na kuenezwa kwa vita na hadi leo ipo kwenye vita isiyoisha dhidi ya dini zingine na itaendelea kufanya hivyo hadi siku ya kiama. Ili kukidhi haja zao za kuua na kudhalilisha dini zingine wanajitafutia visababu vya uongo na ukweli, utasikia eti wamekashifu uislam, wamemtukana mtume, wameidharau quran nk nk. Kinyume chake wao wanafanya watakavyo juu ya imani zingine na hakuna wa kuwakemea.

Cha msingi hapa ni wewe pamoja na familia yako kujilinda kiimani dhidi ya hizi nguvu za giza. Kesheni na kuomba ili msitiwe majaribuni!

mkuu hujui unachozungumza na tafakari zaidi na uwe na busara wakati unaandika comment zako.

What if ulichozungumza kikawa proved it's not true how will you fill it?

Thin twice before u post anything and be carefuly on what you are posting.
 
Habari za uhakika toka kwa ndugu wa mchugaji John Jackson aliyejeruhiwa ktk vurugu za kidini huko Mto wa Mbu,amefariki leo asubuhi ktk hospitali ya KCMC mjini Moshi. Alipelekwa KCMC wiki iliyopita toka ktk hospitali ya mkoa wa Arusha, Mount Meru Hospital baada ya ndugu zake kuona hali yake inazidi kuwa mbaya. Anatarajiwa kuzikwa kesho huko Same,mkoani Kilimanjaro.

nadhani wachungaji wengine waropokaji watajifunza kwa hili.
 
Mihadhara ya Manzese kila siku jioni umewahi kuisikia???


Sidhani kama hata nina haja ya kuisikia kwani 'kuiga upumbavu si kipimo cha kutenda hekima'.....hawa hawana hoja ....sisi tumebeba JINA KUU KULIKO YOTE...TUPO JUU YAO SANA HAKUNA HAJA YA KUIGA 'KUFILISIKA KWAO' tunatakiwa tumtangaze tuliye nae YATOSHA...

mix with yours
 
Naomba ninukuu neno hili la Mungu wetu
'....Ili niwaonye kwamba MUISHINDANIE IMANI Walio kabidhiwa watakatifu mara moja Kwa maana kuna watu waliojiingiza kwa siri, watu walio andikiwa tangu zamani hukumu hii, MAKAFIRI, Wabadilio neema ya Mungu wetu kuwa ufisadi nao humkana yeye aliye peke yake Mola, na bwana wetu Yesu Kristo. Yd1;3-4.
Hivyo basi tutaihubiri Injili kwa wakati unaofaa na wakati Usiofaa.
Maana Kuishi ni Kristo kufa ni faida.
AMINA.

Sidhani kama kuishindania imani ni kubishana na kutukanana!! ni wrong intapritesheni bila shaka ....tafuta tafsiri ambayo mtume Paulo alimaanisha

mix with yours
 
Back
Top Bottom