Mchungaji na Mbunge Getrude Rwakatare azikwa na Serikali kanisani kwake (Mlima wa Moto) na watu wasiozidi 10

Usidanganyike!! Mwili wa Mama Getrude Lwakatare ulizikwa Jumanne maeneo ya Mbweni.

Pale kanisani kwake wamezika mbao za jeneza tu.
 
Idiot, msiba wa baba yake Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Mambo ya Ndani ulihudhuriwa na mamia ya waombolezaji ( this week).
Kwa hiyo kila anayekufa sasa kwa ugonjwa wowote msiba unaratibiwa na serikali?

Kwa hiyo kila familia yenye msiba, muongozo wa serikali watu wasizidi 10?




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe umeona eeee. Hizo picha mimi ndo wa kwanza kuzitupia mtandaoni(humu) zimetoka direct kwa original source. Moderators wamezipandisha lwebyw uzi mara paap naona zimetiwa nembo ya millard ayo.
Huyu Ni kumdai fidia tu
 
Baba ake Simbachawene hakua na wadhifa Serilalini wa Bungeni ndo maana alizikwa na wananchi kwa utaratbu wao. Serikali ikisimama kushiriki mazishi lazima kucontrol nyomi tu
 
Baba ake Simbachawene hakua na wadhifa Serikalini wala Bungeni ndo maana alizikwa na wananchi kwa utaratbu wao. Serikali ikisimama kushiriki mazishi lazima kucontrol nyomi tu
 
Ndugu wamekosa shavu la michango.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…