Josaje Mtui
JF-Expert Member
- Oct 1, 2016
- 2,456
- 2,135
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani hujui?Rafiki, kwanini hamkuaga marehemu?
Usidanganyike!! Mwili wa Mama Getrude Lwakatare ulizikwa Jumanne maeneo ya Mbweni.Ushauri wangu. Kwa kuwa kaburi liko mazingira ya Kanisa lake. Wanakondoo jumapili watataka waende hapo kwa wingi kumuaga kipenzi chao.
Pawe na mtu wa kulinda utaratibu hapo. Machozi nayo ni maji maji yatokayo mwilini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mojawapo ya mbinu za kujikinga na maambukizi ya Corona ni kuepuka mikusanyiko, ndicho kilichofanywa hapo, na mbinu nyingine ya kujikinga ni kuvaa mask, kama walivyozivaa hapo.
Bado sijaona uthibitisho wa maana kwa wale wanaodhani Mama Rwakatare amefariki kwa Corona, wanatoa sababu nyepesi tu.
Kwa wakati tulionao; ni vyema mkumbuke hata misiba mingine mtaani, au sherehe zozote, hazitakiwi pawepo mikusanyiko kwa sababu ya Corona, sasa sio kila ataekufa wakati huu aonekane amekufa kwa Corona sababu tu shughuli za mazishi zinafanywa na serikali.
Serikali ina jukumu la kulinda raia wake, japo kwa wingi wao itakuwa vigumu kuwazika wote kwa uangalizi wake, na wakati wa mazishi yoyote wakati huu, hata kama marehemu hajafa kwa Corona, lazima wachukue tahadhari zote ili kujikinga na maambukizi, sababu wapo kwenye mkusanyiko.
Apumzike kwa amani Mama Getrude P. Rwakatare, ametuachia alama ya kumkumbuka hapa nchini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu Ni kumdai fidia tuKumbe umeona eeee. Hizo picha mimi ndo wa kwanza kuzitupia mtandaoni(humu) zimetoka direct kwa original source. Moderators wamezipandisha lwebyw uzi mara paap naona zimetiwa nembo ya millard ayo.
Unaona kama vile kulikuwa na American Bugidown movie!!?
C-19
😷😷😷😷😷😷
nawaona 12..we hujamuona wa kwenye picha!Mbona wapo 11 sasa
Mkuu acha kuuliza jibu uliza swali!
Mzukulu, Basi wewe umwamini kigogo kwamba hapo limezikwa jeneza tupu.
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣Kama hatusemi ukweli na tunamuomba Mungu wa Mbinguni, basi tunampigia tu mijikelele, tunam"boaje?
Ndugu wamekosa shavu la michango.Ila Corona ni kiboko.
Fikiria huu msiba wa mama corona isingekuwepo.
Watu wa maua wangeuza sana maua.
Watu wa chakula.
Watu wa magari na kampuni za mazishi.
Wauza nguo sare za kina mama.
Waandishi wa habari.
Watu wa kuplan mazishi.
Wote hao wamekosa hela.
Huu mji ungekuwa na heka.
Mikocheni B mtaa ungefungwa.
Naimani wasingesafirisha Bukoba lakini wadau kutoka pembe za dunia na wale wanaijeria ingekuwa hapatoshi.
Corona hii jamaniiiiiii