Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,488
- 13,608
RIP Mama Mchungaji.
Kuna watu unasoma tu comment zao.Alilikuwa na cheo chochote serikalini?
Au naye alifunikwa nembo ya bunge kama huyu mama?
Sent using Jamii Forums mobile app
umesahau na wapiga pichaKwenye picha mbona wapo watu 11?
AmiinFinally mwisho wa kila mmoja wetu ni huu, Mungu nijaalie kuwa na mwisho mwema
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi Millard Ayo ataacha lini huu uhuni wa kuchukua picha mitandaoni ambazo hajazipiga yeye kisha kuzibandika label yake,
Hivi Millard Ayo ataacha lini huu uhuni wa kuchukua picha mitandaoni ambazo hajazipiga yeye kisha kuzibandika label yake,PICHA: Leo Alhamisi April 23,2020 tayari mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum CCM na Mchungaji wa Kanisa la Mlima wa Moto Askofu Gertrude Rwakatare umepumzishwa kwenye eneo la kanisa la Mlima wa Moto huku mazishi yakihudhuriwa na Watu wachache kama taratibu za Kiserikali zilivyoshauri.
#RIPMamaYetu View attachment 1427843wView attachment 1427845View attachment 1427852View attachment 1427875
Hivi Millard Ayo ataacha lini huu uhuni wa kuchukua picha mitandaoni ambazo hajazipiga yeye kisha kuzibandika label yake,
R.I.P Mama Lwakare
Hiki kitoto huwa ni kipumbavu fulani....Kumbe umeona eeee. Hizo picha mimi ndo wa kwanza kuzitupia mtandaoni(humu) zimetoka direct kwa original source. Moderators wamezipandisha lwebyw uzi mara paap naona zimetiwa nembo ya millard ayo.
Yeah, amekuwa akifanya hivi mara nyingi tu. hii haina tofauti na wizi mwingine wowoteKumbe umeona eeee. Hizo picha mimi ndo wa kwanza kuzitupia mtandaoni(humu) zimetoka direct kwa original source. Moderators wamezipandisha lwebyw uzi mara paap naona zimetiwa nembo ya millard ayo.