Mchungaji Msingwa aibua ufisadi maliasili

Mchungaji Msingwa aibua ufisadi maliasili

msigwa anatumiwa na NYALANDU , kama mnakumbuka NYALANDU amaeifutia kampuni hiyo kibali cha kuwinda kutokana na maslahi binafsi aliyonayo na wamarekani fulani, so anamtumia MSIGWA kuhalalisha hatua zake za kiwehu. NYALANDU, LEMBELI na MSIGWA wameunda utatu wa kishenzi na kifedhuli maliasili, MSIGWA ni kama condom na mla rushwa mkubwa, shame on him.

waarabu wanavyofanya ni sahihi? wanakamata hata watoto wa wanyama kama wavuvi wanavyokamata samaki kwa kokolo, hilo halikubaliki!
 
msigwa anatumiwa na NYALANDU , kama mnakumbuka NYALANDU amaeifutia kampuni hiyo kibali cha kuwinda kutokana na maslahi binafsi aliyonayo na wamarekani fulani, so anamtumia MSIGWA kuhalalisha hatua zake za kiwehu. NYALANDU, LEMBELI na MSIGWA wameunda utatu wa kishenzi na kifedhuli maliasili, MSIGWA ni kama condom na mla rushwa mkubwa, shame on him.
lebara, kosa la Mh. Msigwa ni nini? Baada ya kuangalia hii video kwa makini sana, nimebaki tu nikijiuliza kama kweli tunayo serikali. Mh. Msigwa ametufumbua nacho wananchi tuweze kujionea yanayotendeka huko mbugani na kwa hilo anahitaji pongezi siyo dhihaka ninazozisoma humu. Wanachofanya hao Waarabu hakikubaliki kisheria na kwa kweli kinawezekana tu ndani ya nchi kama hii yetu...nchi iliyoko kwenye auto pilot, isiyo na rubani wa kuwajibika. Nawashangaa wengine wetu; badala ya kuwakomalia viongozi wetu wanaofumbia macho ujinga kama huu, wanamlaumu mjumbe...hakika tumelaaniwa!
 
kwanza lazima tukubali sheria ya uwindaji ipo na haijaanza leo. na pili kama ni hao waarabu wapo siku nyingi. na suala kama hili pa kuanzia ni wizara husika. lakini kuna mitaahira mingine humu hata suala la mwenyekiti wa kitongoji, wakulaumiwa ni Kikwete. kwa nini nisimfananishe na kinyesi?kuhusu sijui ccm wamechanganyika mimi hakunihusu. natamani wangeenda kuzimu hata leo, na sijawahi kuwapa kura yangu, kwa hiyo usichanganye mada hapa.
nashukuru umekili .kila la heri.
 
Katika ule uwindaji hakuna kilicho kiukwa maana Hata wanyama waliokuwa wana windwa na kupiga ni wanyama wanao ruhusiwa kuwindwa!

Ni wazi wale wawindaji walikuwa wana vibali na Msigwa ana sema wanyama wana teswa na ameonesha mkanda wawindaji wakiwinda wanyama na wanyama lazima wawindwe kwa kupigwa risasi! Hadi sasa sijajua Msigwa anataka nini kwenye hili na mkanda alio onesha ni wazi wale watu wana vibali vya kuwinda!

Katika hili Msigwa anaweza kuwa
ana potoka na hule si ushahidi wa wanyama kuteswa wale wana windwa!

Wewe jamaa unakotokea raia wanakula mapanki ya samaki! wananchi hawaruhusiwi hata kutumia kokoro! yeye anaona waarabu kuwinda vitoto vya pundamili ni sawa tu!
poor thinking!
 
Katika ule uwindaji hakuna kilicho kiukwa maana Hata wanyama waliokuwa wana windwa na kupiga ni wanyama wanao ruhusiwa kuwindwa!

Ni wazi wale wawindaji walikuwa wana vibali na Msigwa ana sema wanyama wana teswa na ameonesha mkanda wawindaji wakiwinda wanyama na wanyama lazima wawindwe kwa kupigwa risasi! Hadi sasa sijajua Msigwa anataka nini kwenye hili na mkanda alio onesha ni wazi wale watu wana vibali vya kuwinda!

Katika hili Msigwa anaweza kuwa
ana potoka na hule si ushahidi wa wanyama kuteswa wale wana windwa!

Wewe jamaa hunatofauti na waafrika waliopewa nguo na wakoloni ili wawakamate ndugu zao! na pia huoni kama ndugu zako kula panki wazungu wanapelekewa minofu, watu wanakimbilia kokoro!,.. Wewe jamaa haufai...!po
 
katika ule uwindaji hakuna kilicho kiukwa maana hata wanyama waliokuwa wana windwa na kupiga ni wanyama wanao ruhusiwa kuwindwa!

Ni wazi wale wawindaji walikuwa wana vibali na msigwa ana sema wanyama wana teswa na ameonesha mkanda wawindaji wakiwinda wanyama na wanyama lazima wawindwe kwa kupigwa risasi! Hadi sasa sijajua msigwa anataka nini kwenye hili na mkanda alio onesha ni wazi wale watu wana vibali vya kuwinda!

Katika hili msigwa anaweza kuwa
ana potoka na hule si ushahidi wa wanyama kuteswa wale wana windwa!
#hule ni mdudu gani?
 
Katika ule uwindaji hakuna kilicho kiukwa maana Hata wanyama waliokuwa wana windwa na kupiga ni wanyama wanao ruhusiwa kuwindwa!

Ni wazi wale wawindaji walikuwa wana vibali na Msigwa ana sema wanyama wana teswa na ameonesha mkanda wawindaji wakiwinda wanyama na wanyama lazima wawindwe kwa kupigwa risasi! Hadi sasa sijajua Msigwa anataka nini kwenye hili na mkanda alio onesha ni wazi wale watu wana vibali vya kuwinda!

Katika hili Msigwa anaweza kuwa
ana potoka na hule si ushahidi wa wanyama kuteswa wale wana windwa!
nina wasiwasi na Jina unalotumia kama kweli ni lako.
 
ni hatari ukiona mtu anatetea wawindaji haramu wa wanyama wetu, hawa wote ni majangili mwindaji na anaye mtetea mwenyewe wote hao tunawaita majangili sababu jangili lazima amtetee jangili mwenzake.
 
lebara, kosa la Mh. Msigwa ni nini? Baada ya kuangalia hii video kwa makini sana, nimebaki tu nikijiuliza kama kweli tunayo serikali. Mh. Msigwa ametufumbua nacho wananchi tuweze kujionea yanayotendeka huko mbugani na kwa hilo anahitaji pongezi siyo dhihaka ninazozisoma humu. Wanachofanya hao Waarabu hakikubaliki kisheria na kwa kweli kinawezekana tu ndani ya nchi kama hii yetu...nchi iliyoko kwenye auto pilot, isiyo na rubani wa kuwajibika. Nawashangaa wengine wetu; badala ya kuwakomalia viongozi wetu wanaofumbia macho ujinga kama huu, wanamlaumu mjumbe...hakika tumelaaniwa!

Tayari ile kampuni iliyohusika imenyang'anywa vitalu vyao vya uwindaji kwa lile kosa walilofanya.
 
Msigwa mburula kweli kachukua picha bavicha wakiwinda kwenye hifadhi zetu yeye analeta siasa zake nyepesi.

Wewe unayemtusi Msigwa na Bavicha kumbe wewe ndiyo mbulula... Waziri wako katekeleza alichoambiwa na msigwa.Kaa kimya tusikuone tena huku majukwaani
 
Katika ule uwindaji hakuna kilicho kiukwa maana Hata wanyama waliokuwa wana windwa na kupiga ni wanyama wanao ruhusiwa kuwindwa!

Ni wazi wale wawindaji walikuwa wana vibali na Msigwa ana sema wanyama wana teswa na ameonesha mkanda wawindaji wakiwinda wanyama na wanyama lazima wawindwe kwa kupigwa risasi! Hadi sasa sijajua Msigwa anataka nini kwenye hili na mkanda alio onesha ni wazi wale watu wana vibali vya kuwinda!

Katika hili Msigwa anaweza kuwa
ana potoka na hule si ushahidi wa wanyama kuteswa wale wana windwa!

Waziri Wa maliasili Leo kaifanyeje hiyo kampuni? Kubalini kuwa CDM sasa inaongoza nchi indirectly
 
Wewe unayemtusi Msigwa na Bavicha kumbe wewe ndiyo mbulula... Waziri wako katekeleza alichoambiwa na msigwa.Kaa kimya tusikuone tena huku majukwaani

Hizi siasa zetu zinapofusha watu macho kwenye nyeupe atasema nyeusi.
 
Kweli nimeamini wananchi wengi hawezi kufikiri Tanzania bila shaka wewe ni mmojawapo.Hivi unajua umri unaoruhusiwa kuwinda wanyama ?,hivi unajua wanyama wadogo hawruhusiwi kuwindwa ?,hivi unajua wanyama wenye mimba hawaruhusiwi kuwindwa ?.Au kwakuwa ni waarabu unaowaabudu ndio maana umetiwa upofu.

Katika ule uwindaji hakuna kilicho kiukwa maana Hata wanyama waliokuwa wana windwa na kupiga ni wanyama wanao ruhusiwa kuwindwa!

Ni wazi wale wawindaji walikuwa wana vibali na Msigwa ana sema wanyama wana teswa na ameonesha mkanda wawindaji wakiwinda wanyama na wanyama lazima wawindwe kwa kupigwa risasi! Hadi sasa sijajua Msigwa anataka nini kwenye hili na mkanda alio onesha ni wazi wale watu wana vibali vya kuwinda!

Katika hili Msigwa anaweza kuwa
ana potoka na hule si ushahidi wa wanyama kuteswa wale wana windwa!
 
Majembe kama hawa wa Chadema Mwenyenzi Mungu awape maisha mrefu daima!

Bravo sana jembe Msigwa!
 
Duh lebara hivi wewe kweli mtanzania ?.Kosa la Msigwa nini ?,kosa la Nyalandu nini ?,kosa la Lembeli nini ?.Kumfukuza mwarabu unayemwabudu ha ha ha ha ha ha ha ha.

msigwa anatumiwa na NYALANDU , kama mnakumbuka NYALANDU amaeifutia kampuni hiyo kibali cha kuwinda kutokana na maslahi binafsi aliyonayo na wamarekani fulani, so anamtumia MSIGWA kuhalalisha hatua zake za kiwehu. NYALANDU, LEMBELI na MSIGWA wameunda utatu wa kishenzi na kifedhuli maliasili, MSIGWA ni kama condom na mla rushwa mkubwa, shame on him.
 
Last edited by a moderator:
Tayari ile kampuni iliyohusika imenyang'anywa vitalu vyao vya uwindaji kwa lile kosa walilofanya.

Unaamini Kampuni iliyokuwa inafanya hivyo ni hiyo moja tu?

Kama serikali ingetangaza kusimamisha shughuli zote za uwindaji, naamini tungejua mengi zaidi, Makampuni ya Utalii hivi karibuni yaliitaka Serikali isimamishe uwindaji mbugani kwa madai kama haya ya Mh. Msigwa na kusema kuwa Makampuni ya Uwindaji yanahatarisha biashara ya Utalii.

Kama serikali ni makini ingekaa vikao na Makampuni ya Utalii ili kujua sababu na kipi kinaendelea mbuga za Wanyama. Tungejua mengi.
 
Back
Top Bottom