Mchungaji Msigwa ametoa picha za wawindaji kutoka kampuni ya mwana wa mfalme wa saudia wakikiuka kanuni na sheria za uwindaji.
Mchungaji amemwomba waziri kuwawajibisha wote waliohusika.
My take: Mch Msigwa alisema Kinana anaua tembo wetu, wakabisha, sasa na kawapa ushahidi kabisa, sidhani kama wataruka.
Msigwa big up!
Source: Star tv news!
Mchungaji amemwomba waziri kuwawajibisha wote waliohusika.
My take: Mch Msigwa alisema Kinana anaua tembo wetu, wakabisha, sasa na kawapa ushahidi kabisa, sidhani kama wataruka.
Msigwa big up!
Source: Star tv news!