Mchungaji Msingwa aibua ufisadi maliasili

Mchungaji Msingwa aibua ufisadi maliasili

jzm-teak

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2013
Posts
1,757
Reaction score
323
Mchungaji Msigwa ametoa picha za wawindaji kutoka kampuni ya mwana wa mfalme wa saudia wakikiuka kanuni na sheria za uwindaji.

Mchungaji amemwomba waziri kuwawajibisha wote waliohusika.

My take: Mch Msigwa alisema Kinana anaua tembo wetu, wakabisha, sasa na kawapa ushahidi kabisa, sidhani kama wataruka.

Msigwa big up!

Source: Star tv news!
 
Kikwete bwana....Hivi huyu mtu na nini kichwani? Lazima itungwe sheria ya kufunga marais wanaokiuka sheria ya nchi kwa manufaa yao....na ikibainika walifanya makosa wanyongwe tu.
 
Msigwa mburula kweli kachukua picha bavicha wakiwinda kwenye hifadhi zetu yeye analeta siasa zake nyepesi.
 
tumefika hapa kwa sababu ya udhaifu wa kikwete pamoja na wabunge wa ccm
Nyie hata kama mtajikusanya wote kwenye ukoo wenu hamtafikia akili ya rais kikwete hilo lifahamu kwanza.
 
Kikwete bwana....Hivi huyu mtu na nini kichwani? Lazima itungwe sheria ya kufunga marais wanaokiuka sheria ya nchi kwa manufaa yao....na ikibainika walifanya makosa wanyongwe tu.
Huna unachokijua we bawacha mambo ya kudandia watu bila hata kujua sheria za nchi zipoje hapa rais kikwete kaingiaje kwani yeye ni polisi au mahakama au ndiyo dj wenu alivyowafundisha hivyo.
 
Msigwa mburula kweli kachukua picha bavicha wakiwinda kwenye hifadhi zetu yeye analeta siasa zake nyepesi.

Mburula ushindwe kuwa wewe unayepingana na ukweli, picha zimerushwa kupitia Star tv ambayo inamilikiwa na sahara group na Mmiliki wake ni Antony Dialo ambaye ni mwenyekiti wa CCM mkoa wa mwanza, mbunge wa zamani kati ya 1995(mwanza vijijini) mpaka 2010 ilemela. Pia waziri katika serikali ya awamu ya 3. Kama picha za BAVICHA kamuulize aliyeisoma na mhariri aliyeruhusu iende hewani. MSIGWA PIGA KAZI ACHANA NA HAWA WAFUASI WA JANGILI AMBAYE NI KATIBU WA CHAMA.
 
Huna unachokijua we bawacha mambo ya kudandia watu bila hata kujua sheria za nchi zipoje hapa rais kikwete kaingiaje kwani yeye ni polisi au mahakama au ndiyo dj wenu alivyowafundisha hivyo.

Niambie mwenyekiti wa UWT Taifa, naona umekuja kivingine jamvini
 
Nyie hata kama mtajikusanya wote kwenye ukoo wenu hamtafikia akili ya rais kikwete hilo lifahamu kwanza.

sina muda wa kushindana na kichaa ukiwa ccm lazma uwe jambazi ;muhuni ;mshenzi na kichaa kama wewe simiyu sikulaumu sana
 
Nyie hata kama mtajikusanya wote kwenye ukoo wenu hamtafikia akili ya rais kikwete hilo lifahamu kwanza.

Nikweli hatuwezi kufikia akili yake kama
1. Kupiga picha na wakina 50 cent

2. Kwenda kuomba msaada wa neti huku akigawa mafuta,gesi na madini

3. Anayesaini mikataba ya ulaghai na Phd zake za kupewa wakati wakina mkwawa,isike,nk waligoma japo hawakujua kusoma wala kuandika
 
Mburula ushindwe kuwa wewe unayepingana na ukweli, picha zimerushwa kupitia Star tv ambayo inamilikiwa na sahara group na Mmiliki wake ni Antony Dialo ambaye ni mwenyekiti wa CCM mkoa wa mwanza, mbunge wa zamani kati ya 1995(mwanza vijijini) mpaka 2010 ilemela. Pia waziri katika serikali ya awamu ya 3. Kama picha za BAVICHA kamuulize aliyeisoma na mhariri aliyeruhusu iende hewani. MSIGWA PIGA KAZI ACHANA NA HAWA WAFUASI WA JANGILI AMBAYE NI KATIBU WA CHAMA.

ile video wameshatetemeka wote mpaka raisi wao
 
Jamaa anajuwa kuwashika pabaya long live mchungaji!
 
Katika ule uwindaji hakuna kilicho kiukwa maana Hata wanyama waliokuwa wana windwa na kupiga ni wanyama wanao ruhusiwa kuwindwa!

Ni wazi wale wawindaji walikuwa wana vibali na Msigwa ana sema wanyama wana teswa na ameonesha mkanda wawindaji wakiwinda wanyama na wanyama lazima wawindwe kwa kupigwa risasi! Hadi sasa sijajua Msigwa anataka nini kwenye hili na mkanda alio onesha ni wazi wale watu wana vibali vya kuwinda!

Katika hili Msigwa anaweza kuwa
ana potoka na hule si ushahidi wa wanyama kuteswa wale wana windwa!
 
aliwawi kutamka kuna gari la wagonjwa linabeba pembe mbona hajawahi kutamka ilikuwa mali ya nani?
 
ile video wameshatetemeka wote mpaka raisi wao
Tuwe wakweli hile video haina cha maana zaidi ya kuonesha wanyama wakiwindwa na wanyama huwindwa kwa silaha na wale ni wazi wana vibali vya kuwinda.

Sijaona kibaya kwenye hule mkanda!
 
Katika ule uwindaji hakuna kilicho kiukwa maana Hata wanyama waliokuwa wana windwa na kupiga ni wanyama wanao ruhusiwa kuwindwa!

Ni wazi wale wawindaji walikuwa wana vibali na Msigwa ana semantics wanyama wana teswa na ameonesha mkanda wawindaji wakiwinda wanyama na wanyama lazima wawindwe kwa kupigwa risasi! Hadi sasa sijajua Msigwa anataka nini kwenye hili na mkanda alio onesha ni wazi wale watu wana vibali vya kuwinda!

Katika hili Msigwa anaweza kuwa
ana potoka na hule si ushahidi wa wanyama kuteswa wale wana windwa!

Inawezekana unaijua sheria ya uwindaji wanyama pori, ebu tujuze vifungu jinsi vinavyosema ili tuone kupotoka kwa Msingwa!
 
Msigwa mburula kweli kachukua picha bavicha wakiwinda kwenye hifadhi zetu yeye analeta siasa zake nyepesi.

Kaka bado akili ya kikoloni ipo kichwani mwako? ebu toa argument badala ya kashifa!
 
Huna unachokijua we bawacha mambo ya kudandia watu bila hata kujua sheria za nchi zipoje hapa rais kikwete kaingiaje kwani yeye ni polisi au mahakama au ndiyo dj wenu alivyowafundisha hivyo.


Una akili ubongoni au nywele? Kwani nani mwenye mamlaka ya juu ndani ya nchi kama si rais? Kitendo cha yeye kukaa kimya huku akichekea watu inamaanisha yeye anaona poa tu. Si unaona Kagame anavyofanya, yeye anatawala bali hachei na kuchekea watu au kualika wasanii White House kula nao daku. Rais inabidi kuwa serious ii wakuone unajituma and you mean what you say....Kikwete hamna kitu. Wewe nenda kaibe vifaru utaona kama utakamatwa, si unaona Kinana kapewa ukatibu mkuu wa chama badala ya kunyongwa na ujambazi wote ule.
 
Back
Top Bottom