Mchungaji Msingwa aibua ufisadi maliasili

Mchungaji Msingwa aibua ufisadi maliasili

Mchungaji Msigwa ametoa picha za wawindaji kutoka kampuni ya mwana wa mfalme wa saudia wakikiuka kanuni na sheria za uwindaji.

Mchungaji amemwomba waziri kuwawajibisha wote waliohusika.

My take: Mch Msigwa alisema Kinana anaua tembo wetu, wakabisha, sasa na kawapa ushahidi kabisa, sidhani kama wataruka.

Msigwa big up!

Source: Star tv news!

Kazi anayofanya msigwa si uzalendo bali ni rushwa alioipata toka kaumpuni kinzani tatizo la rushwa limenea sana miongoni mwa wabunge na waandishi wa habari.mungu iepushe nchii kwenye janga hili.
 
mwandishi nadhani haikupaswa utumie neno 'ufisadi" kwakua video zilizoonyeshwa haziusiani na ufisadi maliasili lakini ungesema "mch.msigwa aibua mapungufu ya usimamizi wa uwindaji katika idara ya wanyamapori" maana maliasili ni wizara yenye idara nyingi

mkuu hata star tv walitumia neno "ufisadi" kwenye taarifa yao saa mbili usiku!
 
Kazi anayofanya msigwa si uzalendo bali ni rushwa alioipata toka kaumpuni kinzani tatizo la rushwa limenea sana miongoni mwa wabunge na waandishi wa habari.mungu iepushe nchii kwenye janga hili.

Hapo unataka kuharalisha rushwa,
msigwa kama ameongwa ili kampuni itakayofuata sheria na kanuni za uwindaji basi itapendeza sana,
......oo
 
Mchungaji Msigwa ametoa picha za wawindaji kutoka kampuni ya mwana wa mfalme wa saudia wakikiuka kanuni na sheria za uwindaji.

Mchungaji amemwomba waziri kuwawajibisha wote waliohusika.

My take: Mch Msigwa alisema Kinana anaua tembo wetu, wakabisha, sasa na kawapa ushahidi kabisa, sidhani kama wataruka.

Msigwa big up!

Source: Star tv news!
utawala huu wa ccm hauna tiba zaidi ya kuwaondoa madarakani
 
Kazi anayofanya msigwa si uzalendo bali ni rushwa alioipata toka kaumpuni kinzani tatizo la rushwa limenea sana miongoni mwa wabunge na waandishi wa habari.mungu iepushe nchii kwenye janga hili.

mtakwepa sana majangili nyie. Angesema tu kwa mdomo mngedai ushahd. Ameleta ushahd mnadai ni rushwa. Pumbavu wewe!
 
Mkuu unaesoma uzi huu unahitaji ushahidi gani kuwa CCM Wamechanganyikiwa sasa kwa kukosa hoja kwa matusi haya angalia utakatwa kichwa
kwanza lazima tukubali sheria ya uwindaji ipo na haijaanza leo. na pili kama ni hao waarabu wapo siku nyingi. na suala kama hili pa kuanzia ni wizara husika. lakini kuna mitaahira mingine humu hata suala la mwenyekiti wa kitongoji, wakulaumiwa ni Kikwete. kwa nini nisimfananishe na kinyesi?
kuhusu sijui ccm wamechanganyika mimi hakunihusu. natamani wangeenda kuzimu hata leo, na sijawahi kuwapa kura yangu, kwa hiyo usichanganye mada hapa.
 
Mkereketwa wa CCM usilie hivyo....fikiri kwanza kabla ya kuandika na ndiyo maana nilikuuliza vile una akili?
kwanza lazima tukubali sheria ya uwindaji ipo na haijaanza leo. na pili kama ni hao waarabu wapo siku nyingi. na suala kama hili pa kuanzia ni wizara husika. lakini kuna mitaahira mingine humu hata suala la mwenyekiti wa kitongoji, wakulaumiwa ni Kikwete. kwa nini nisimfananishe na kinyesi?
kuhusu sijui ccm wamechanganyika mimi hakunihusu. natamani wangeenda kuzimu hata leo, na sijawahi kuwapa kura yangu, kwa hiyo usichanganye mada hapa.
na mwisho kama akili zenyewe unazozungumzia ndo hizo, BASI SIZIHITAJI, MAANA HAZITANISAIDIA CHOCHOTE.
maana hizo ni za kwendea chooni hata panya anazo.
 
Duuuuuh!! Kwahiyo wizara iko juu ya Rais, waziri anaweza akajiamulia anavyotaka
nini maana ya division of labour? kuna umuhimu gani wakuwa na wizara? yaelekea uelewa wako ni mdogo sana.
 
Uliye lipot kinana kaingiaje hapo afu hao nao waliokosea walikuwa nakibari.. Tushauri sheria ifate mkondo wake.
 
Huna unachokijua we bawacha mambo ya kudandia watu bila hata kujua sheria za nchi zipoje hapa rais kikwete kaingiaje kwani yeye ni polisi au mahakama au ndiyo dj wenu alivyowafundisha hivyo.

Lazima tuwe wakweli yote mabaya yanayotokea nchini mwetu Rais wetu angetoa tamko tu kuwa fuateni sheria nchi itawalike kila mtu angewajibika. Mambo yanaenda mrama kwa sababu kuna anaowakingia kifua na hii iko wazi kwa kunyamazia madawa ya kulevya, meno ya tembo, ufisadi, uzembe hasa halmashauri. Mawaziri ambao ni wasaidizi wake wengine wanajitahidi kama Mwakyembe na Magofuli lakini wengi wao ni mzigo.
 
Mchungaji Msigwa ametoa picha za wawindaji kutoka kampuni ya mwana wa mfalme wa saudia wakikiuka kanuni na sheria za uwindaji.

Mchungaji amemwomba waziri kuwawajibisha wote waliohusika.

My take: Mch Msigwa alisema Kinana anaua tembo wetu, wakabisha, sasa na kawapa ushahidi kabisa, sidhani kama wataruka.

Msigwa big up!

Source: Star tv news!

msigwa anatumiwa na NYALANDU , kama mnakumbuka NYALANDU amaeifutia kampuni hiyo kibali cha kuwinda kutokana na maslahi binafsi aliyonayo na wamarekani fulani, so anamtumia MSIGWA kuhalalisha hatua zake za kiwehu. NYALANDU, LEMBELI na MSIGWA wameunda utatu wa kishenzi na kifedhuli maliasili, MSIGWA ni kama condom na mla rushwa mkubwa, shame on him.
 
Tatizo siku hizi mambo ya kitaifa yanarudishwa kwenye vyama. La msingi tuelimishwe hapo hao wawindaji wamefanya kosa gani? Maana sijaona wakiua tembo au twiga au simba wala chui ambao hawaruhusiwi kuwindwa. Vibali vinatolewa kwa idadi ya mnyama ambayo mtu anaruhusiwa kuwinda kwa siku...(sina uhakika).

Cha kushangaza Waarabu wanakuja kuwinda nyama wanachukua kwao kama ni starehe ya kuwinda nyama wangetuachia.

Isitoshe waTZ wengi wana utapia mlo wakati wanyama pori wamejaa wangetupatia protini wakati wa kipindi cha kuwapunguza.
 
Nyie hata kama mtajikusanya wote kwenye ukoo wenu hamtafikia akili ya rais kikwete hilo lifahamu kwanza.

kweli kabisa maana ukoo wao wana akili za maendeleo na kupinga rushwa ambazo raisi wako unaye mtetea hana hawezi kuwa nazo so haiwezekani wakamfikia ,upo sawa kiboga.
 
msigwa anatumiwa na NYALANDU , kama mnakumbuka NYALANDU amaeifutia kampuni hiyo kibali cha kuwinda kutokana na maslahi binafsi aliyonayo na wamarekani fulani, so anamtumia MSIGWA kuhalalisha hatua zake za kiwehu. NYALANDU, LEMBELI na MSIGWA wameunda utatu wa kishenzi na kifedhuli maliasili, MSIGWA ni kama condom na mla rushwa mkubwa, shame on him.

mbona umekuwa mkali ? Vip unahusika nini?
 
Uliye lipot kinana kaingiaje hapo afu hao nao waliokosea walikuwa nakibari.. Tushauri sheria ifate mkondo wake.

Mkuu jaribu kukumbuka sakata la meno ya tembo kati ya msigwa na kinana,
msigwa alimtuhumu kinana kuwa anashiriki kwenye ujangiri wa meno ya tembo, maana meli ya kinana ilikutwa nayo, msigwa aliombwa ushahidi, mpaka wakapelekana mahakamani, sijui kesi inavyokwenda,.....,,??!!!of
 
Back
Top Bottom