Mchungaji Msingwa aibua ufisadi maliasili

Mchungaji Msingwa aibua ufisadi maliasili

Msigwa mburula kweli kachukua picha bavicha wakiwinda kwenye hifadhi zetu yeye analeta siasa zake nyepesi.

unajua wewe jamaa unaakiri ya kushikiwa sana. MKUU UKUE BASI IONEE HURUMA NCHI HII USIWE KILAZA KIIVYO.
 
Ficha ujinga wewe sheria gani inaruhusu kukamata watoto wa pundamilia tena hai??

Au kumpiga risasi mnyama huku unamkimbiza kwa gari. Bado ataendelea kukubishia wakati Waziri mwenye dhamana amekubali kufanya uchunguzi wa jambo hilo maana ni kukiuka sheria za uwindaji.
Hawa vijana wanaolipwa hapo Lumumba ni zaidi ya mizigo kabisa. Wanazidi kuonyesha kuwa wafuasi wa hicho chama akili zao ni below avarage.


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Unaamini Kampuni iliyokuwa inafanya hivyo ni hiyo moja tu?

Kama serikali ingetangaza kusimamisha shughuli zote za uwindaji, naamini tungejua mengi zaidi, Makampuni ya Utalii hivi karibuni yaliitaka Serikali isimamishe uwindaji mbugani kwa madai kama haya ya Mh. Msigwa na kusema kuwa Makampuni ya Uwindaji yanahatarisha biashara ya Utalii.

Kama serikali ni makini ingekaa vikao na Makampuni ya Utalii ili kujua sababu na kipi kinaendelea mbuga za Wanyama. Tungejua mengi.

Mh waziri alipotoa taarifa hakumaanisha kuwa huu ndio muarobaini wa hili tatizo ila ni fundisho kwa kampuni zote zifanyavo hivi pindi wagundulikapo.
 
Au kumpiga risasi mnyama huku unamkimbiza kwa gari. Bado ataendelea kukubishia wakati Waziri mwenye dhamana amekubali kufanya uchunguzi wa jambo hilo maana ni kukiuka sheria za uwindaji.
Hawa vijana wanaolipwa hapo Lumumba ni zaidi ya mizigo kabisa. Wanazidi kuonyesha kuwa wafuasi wa hicho chama akili zao ni below avarage.


Sent from my iPad using JamiiForums

Au kumruhusu mtoto amfyatulie mnyama risasi.
 
Msigwa mburula kweli kachukua picha bavicha wakiwinda kwenye hifadhi zetu yeye analeta siasa zake nyepesi.

http://www.thecitizen.co.tz/News/Fi...ules/-/1840392/2381310/-/12055bx/-/index.html
Sasa kama kutokana na video ya Msigwa Mhe Waziri kachukua hatua wewe utasemaje kuwa Msigwa ni mbulula? Hebu wakati mwingine muone aibu kuwashambulia watu wanaojitoa kutetea maslahi ya nchi. Kama kila kibaya kinachosemwa kingefanyiwa kazi na watendaji wa serikali hii tungefika mbali. Ndio maana Msigwa alimsifu Nyalandu kuwa anatoa ushirikiano kwake na hili limedhibitisha.


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Nimeanza kumkubali Msigwa....ile video imejaa uchafu ambao unakufanya Mtanzania kujiuliza, hivi Tanzania ina laana ya nani ?

Hivi ukienda nchi zao hao jamaa, kweli utathubutu kufanya unavyotaka na nchi/mamlaka zikafumba macho na kukuchekea ?
 
Kwa wataalamu wa wanyama pori, hivi hakuna sheria ambayo itaiwezesha nchi, kuwafungulia mashitaka wale wahuni wote wanaoonekana kwenye ile video pamoja na kampuni husika ?
 
Kwa wataalamu wa wanyama pori, hivi hakuna sheria ambayo itaiwezesha nchi, kuwafungulia mashitaka wale wahuni wote wanaoonekana kwenye ile video pamoja na kampuni husika ?

wenyewe wanasema msigwa katumwa na mafisadi!
 
Unaamini Kampuni iliyokuwa inafanya hivyo ni hiyo moja tu?

Kama serikali ingetangaza kusimamisha shughuli zote za uwindaji, naamini tungejua mengi zaidi, Makampuni ya Utalii hivi karibuni yaliitaka Serikali isimamishe uwindaji mbugani kwa madai kama haya ya Mh. Msigwa na kusema kuwa Makampuni ya Uwindaji yanahatarisha biashara ya Utalii.

Kama serikali ni makini ingekaa vikao na Makampuni ya Utalii ili kujua sababu na kipi kinaendelea mbuga za Wanyama. Tungejua mengi.

Kampuni zinazokiuka sheria na kanuni za uwindaji ni nyingi sana, hawa walikwenda extra mile wakashoot video ya kufanya matangazo ili kuvutia wateja kwamba this is how hunting is done in Tz. Hii inamaanisha clients wakija watawindishwa hivyo hivyo,. Watafukuza wanyama na magari, watawinda majike na watoto, watatumia silenced guns, watoto under 18 wataruhusiwa kuwinda hata kupet wanyama kama wako na paka au mbwa majumbani mwao.

Let this be a lesson to all hunting companies if you are caught doing this utafungiwa leseni. Kuna haja gani ya kukaa na watu wanaovunja sheria so plainly like this. Sheria zipo, proffesional hunters wanazijua sioni haja ya kuwaita kuzungumza nao. Kila mtu afuate sheria na kutimiza wajibu wake.
 
Back
Top Bottom