Mchungaji Msingwa aibua ufisadi maliasili

Mchungaji Msingwa aibua ufisadi maliasili

T2015ccm sasa ndio nakubali kuwa ukisema ukweli nchi hii unakua muhuni, hivi kweli ccm mnaakili? Ndio miaka 50 ya uhuru kweli nimeanini ccm ni intarahamwe
 
kweli kabisa..mtoto wa mfalme kapewa game reserve. kwa ajili ya uwindaji, hakuna kosa hapo,,

eti ee mwanawamfalme auwe tu haina shida. Kwani hata akiwamaliza si watatupatia msaada? Ccm sie ni watu wenye akili sana. Tunawapenda wageni,hata tukiwapa serengeti yote wakaua tembo,swala,na wanyama wote sindio maendeleo? Kidumu chama cha mapinduz
 
Nchi inaangamia kwa unafiki. Hapa utakuta msomi eti kisa yamefanywa na serkal ya chama chake! Heri ufe wewe mnafiki kuendelea kulitia hasara taifa
 
Una akili ubongoni au nywele? Kwani nani mwenye mamlaka ya juu ndani ya nchi kama si rais? Kitendo cha yeye kukaa kimya huku akichekea watu inamaanisha yeye anaona poa tu. Si unaona Kagame anavyofanya, yeye anatawala bali hachei na kuchekea watu au kualika wasanii White House kula nao daku. Rais inabidi kuwa serious ii wakuone unajituma and you mean what you say....Kikwete hamna kitu. Wewe nenda kaibe vifaru utaona kama utakamatwa, si unaona Kinana kapewa ukatibu mkuu wa chama badala ya kunyongwa na ujambazi wote ule.
! 2015 ni mwaka wa kufanya mabadiliko ya watawala I'll kuokoa Maliasili za nchi
 
Ivi Watanzania nani katuroga? yaani gujitu gunaambiwa jinsi urithi wetu unavyoharibiwa gwenyewe gunaingiza uchama, nadhani kuna Watanzania kichwani wa na m.a.v.i badala ya ubongo
 
Tuwe wakweli hile video haina cha maana zaidi ya kuonesha wanyama wakiwindwa na wanyama huwindwa kwa silaha na wale ni wazi wana vibali vya kuwinda.

Sijaona kibaya kwenye hule mkanda!

Ficha ujinga wewe sheria gani inaruhusu kukamata watoto wa pundamilia tena hai??
 
Hivi kwenye video ni kipi kichokiukwa? naomba kueleweshwa wakuu.
 
Hivi kwenye video ni kipi kichokiukwa? naomba kueleweshwa wakuu.

wanaruhusiwa kukamata watoto wa wanyama? wanaruhusiwa kufukuza wanyama? wanaruhusiwa baada ya kumpiga risasi akianguka akanyagwekanyagwe?!?!!!!ol,
 
wasubiri tu hukumu ya mungu mwaka ujao hata hao wanyama wanaopigwa risasi hovyo wana mungu
 
wanaruhusiwa kukamata watoto wa wanyama? wanaruhusiwa kufukuza wanyama? wanaruhusiwa baada ya kumpiga risasi akianguka akanyagwekanyagwe?!?!!!!ol,

Mkuu sijui chochote kuhusu sheria za uwindaji Tanzania, kwa hiyo ukiniuliza hayo masuali sitakupa jibu sahihi. Ndio maana mie nimeuliza ila wale wanaoelewa kuhusu masuala haya ya uwindaji wanieleweshe, pia wanipe hivyo vifungu vya sheria ila nami vipate kunisaidia mbeleni.
 
Huna unachokijua we bawacha mambo ya kudandia watu bila hata kujua sheria za nchi zipoje hapa rais kikwete kaingiaje kwani yeye ni polisi au mahakama au ndiyo dj wenu alivyowafundisha hivyo.
Acha upuuzi wewe yeye kikwete si ndio mwenyekiti wa lichama lenu anashindwa kimwambia yule Msomali kwamba anawamaliza tembo wetu.
 
Katika ule uwindaji hakuna kilicho kiukwa maana Hata wanyama waliokuwa wana windwa na kupiga ni wanyama wanao ruhusiwa kuwindwa!

Ni wazi wale wawindaji walikuwa wana vibali na Msigwa ana sema wanyama wana teswa na ameonesha mkanda wawindaji wakiwinda wanyama na wanyama lazima wawindwe kwa kupigwa risasi! Hadi sasa sijajua Msigwa anataka nini kwenye hili na mkanda alio onesha ni wazi wale watu wana vibali vya kuwinda!

Katika hili Msigwa anaweza kuwa
ana potoka na hule si ushahidi wa wanyama kuteswa wale wana windwa!

Punguza upuuzi wewe hiyo buku saba ndio inakutoa akili namna hii,kwa post hii unazidi kuiweka uchi lichama lako bila kujijua.
 
Mchungaji Msigwa ametoa picha za wawindaji kutoka kampuni ya mwana wa mfalme wa saudia wakikiuka kanuni na sheria za uwindaji.

Mchungaji amemwomba waziri kuwawajibisha wote waliohusika.

My take: Mch Msigwa alisema Kinana anaua tembo wetu, wakabisha, sasa na kawapa ushahidi kabisa, sidhani kama wataruka.

Msigwa big up!

Source: Star tv news!

mwandishi nadhani haikupaswa utumie neno 'ufisadi" kwakua video zilizoonyeshwa haziusiani na ufisadi maliasili lakini ungesema "mch.msigwa aibua mapungufu ya usimamizi wa uwindaji katika idara ya wanyamapori" maana maliasili ni wizara yenye idara nyingi
 
Tuwe wakweli hile video haina cha maana zaidi ya kuonesha wanyama wakiwindwa na wanyama huwindwa kwa silaha na wale ni wazi wana vibali vya kuwinda.

Sijaona kibaya kwenye hule mkanda!
waziri nyalandu kasema ameunda kamati ya kuchunguza ili hatua zichukuliwe. sasa kwa nini mnaharakisha kuwatetea hao wswindaji? kwani wana uhusiano na ccm. mnatetea waarab kuwinda wanyama wadogo kinyume cha sheria? ningekuwa ccm najitenga kabisa kutetea watu km hawa.
 
Back
Top Bottom