Mchungaji Msingwa aibua ufisadi maliasili

Mchungaji Msingwa aibua ufisadi maliasili

Inawezekana unaijua sheria ya uwindaji wanyama pori, ebu tujuze vifungu jinsi vinavyosema ili tuone kupotoka kwa Msingwa!
We umeona Msigwa au mtoa mada ameweka vifungu vilivyo kiukwa?
 
Msigwa mburula kweli kachukua picha bavicha wakiwinda kwenye hifadhi zetu yeye analeta siasa zake nyepesi.

Tumia akili mwehu wewe,kuna mengine tunafanya kwa manufaa ya chama na mengine kwa manufaa ya nchi,kama jambo ni kwa manufaa ya nchi then wek ushabiki pembeni mana hata mtoto wako akiona unashabikia jambo kama hilo anaweza juta kwa nin wewe ni dad wake
 
Katika ule uwindaji hakuna kilicho kiukwa maana Hata wanyama waliokuwa wana windwa na kupiga ni wanyama wanao ruhusiwa kuwindwa!

Ni wazi wale wawindaji walikuwa wana vibali na Msigwa ana semantics wanyama wana teswa na ameonesha mkanda wawindaji wakiwinda wanyama na wanyama lazima wawindwe kwa kupigwa risasi! Hadi sasa sijajua Msigwa anataka nini kwenye hili na mkanda alio onesha ni wazi wale watu wana vibali vya kuwinda!

Katika hili Msigwa anaweza kuwa
ana potoka na hule si ushahidi wa wanyama kuteswa wale wana windwa!

kweli kabisa..mtoto wa mfalme kapewa game reserve. kwa ajili ya uwindaji, hakuna kosa hapo,,
 
Tumia akili mwehu wewe,kuna mengine tunafanya kwa manufaa ya chama na mengine kwa manufaa ya nchi,kama jambo ni kwa manufaa ya nchi then wek ushabiki pembeni mana hata mtoto wako akiona unashabikia jambo kama hilo anaweza juta kwa nin wewe ni dad wake

game reserve ni kwa ajili ya uwindaji mkuu..kuna wanyama wameruhusiwa kisheria kuwindwa..
 
msigwa anataka kuwadanganya misukule ya chadema wakati anajua kabisa wale wawindaji wamepewa vibali vya kuwinda kisheria..
 
Katika ule uwindaji hakuna kilicho kiukwa maana Hata wanyama waliokuwa wana windwa na kupiga ni wanyama wanao ruhusiwa kuwindwa!

Ni wazi wale wawindaji walikuwa wana vibali na Msigwa ana semantics wanyama wana teswa na ameonesha mkanda wawindaji wakiwinda wanyama na wanyama lazima wawindwe kwa kupigwa risasi! Hadi sasa sijajua Msigwa anataka nini kwenye hili na mkanda alio onesha ni wazi wale watu wana vibali vya kuwinda!

Katika hili Msigwa anaweza kuwa
ana potoka na hule si ushahidi wa wanyama kuteswa wale wana windwa!

Mkanda umeonesha vibali au wawindaji? au kwa kuuona tu ushahalalisha uwindaji wao?
 
Point of correction, moja ya sheria iliyokiukwa ni kuwinda wanyama kwa kuwafukuza kwa gari
 
Kikwete bwana....Hivi huyu mtu na nini kichwani? Lazima itungwe sheria ya kufunga marais wanaokiuka sheria ya nchi kwa manufaa yao....na ikibainika walifanya makosa wanyongwe tu.
wewe kweli utakuwa taahira. Kikwete anaingiaje sasa hapo? kwani hata hao wafalme wa Saudia aliwaleta yeye? hilo suala linaweza shughulikiwa na wizara tu. wewe utakuwa punguwani kama sio sawa na mavi.
 
wewe mavi unajua sheria za kuwinda zikweje? waambie hao wapumbavu wenzako wapeleke mswada wa kupinga sheria ya uwindaji maana ilipitishwa palepale bungeni. bila shaka we mavi panapokustahili ni chooni tu na si kwengineko.

Una akili ubongoni au nywele? Kwani nani mwenye mamlaka ya juu ndani ya nchi kama si rais? Kitendo cha yeye kukaa kimya huku akichekea watu inamaanisha yeye anaona poa tu. Si unaona Kagame anavyofanya, yeye anatawala bali hachei na kuchekea watu au kualika wasanii White House kula nao daku. Rais inabidi kuwa serious ii wakuone unajituma and you mean what you say....Kikwete hamna kitu. Wewe nenda kaibe vifaru utaona kama utakamatwa, si unaona Kinana kapewa ukatibu mkuu wa chama badala ya kunyongwa na ujambazi wote ule.
 
wewe kweli utakuwa taahira. Kikwete anaingiaje sasa hapo? kwani hata hao wafalme wa Saudia aliwaleta yeye? hilo suala linaweza shughulikiwa na wizara tu. wewe utakuwa punguwani kama sio sawa na mavi.

Duuuuuh!! Kwahiyo wizara iko juu ya Rais, waziri anaweza akajiamulia anavyotaka
 
wewe mavi unajua sheria za kuwinda zikweje? waambie hao wapumbavu wenzako wapeleke mswada wa kupinga sheria ya uwindaji maana ilipitishwa palepale bungeni. bila shaka we mavi panapokustahili ni chooni tu na si kwengineko.

Matusi ndiyo hoja yako!? Tumia kichwa kufikiri.Acha kufikiri kwa kutumia TUMBO.
 
Tuwe wakweli hile video haina cha maana zaidi ya kuonesha wanyama wakiwindwa na wanyama huwindwa kwa silaha na wale ni wazi wana vibali vya kuwinda.

Sijaona kibaya kwenye hule mkanda!

Mtani nawe utakuwa mmoja wao au wakala wao , sio bure !!!!!
 
wewe mavi unajua sheria za kuwinda zikweje? waambie hao wapumbavu wenzako wapeleke mswada wa kupinga sheria ya uwindaji maana ilipitishwa palepale bungeni. bila shaka we mavi panapokustahili ni chooni tu na si kwengineko.

Mkuu unaesoma uzi huu unahitaji ushahidi gani kuwa CCM Wamechanganyikiwa sasa kwa kukosa hoja kwa matusi haya angalia utakatwa kichwa
 
wewe mavi unajua sheria za kuwinda zikweje? waambie hao wapumbavu wenzako wapeleke mswada wa kupinga sheria ya uwindaji maana ilipitishwa palepale bungeni. bila shaka we mavi panapokustahili ni chooni tu na si kwengineko.



Mkereketwa wa CCM usilie hivyo....fikiri kwanza kabla ya kuandika na ndiyo maana nilikuuliza vile una akili?
 
wewe kweli utakuwa taahira. Kikwete anaingiaje sasa hapo? kwani hata hao wafalme wa Saudia aliwaleta yeye? hilo suala linaweza shughulikiwa na wizara tu. wewe utakuwa punguwani kama sio sawa na mavi.


Sikia taahira original. Kikwete ndiye mwenye mamlaka ya juu ya udhibiti wa ujangili huu. Kama mtendaji wake ameshindwa yeye ana uwezo wa kumfunga ama kumnyonga, je ni uwongo? Sasa why not do it ili aonyeshe mfano?
 
msigwa anataka kuwadanganya misukule ya chadema wakati anajua kabisa wale wawindaji wamepewa vibali vya kuwinda kisheria..

Hapa si swala la Msigwa, ni swala la kitaifa. Kama ni uvuvi ndo tunaita haramu! hapa wawindaji wametumia kokoro! .....?%!lpoor.ld%?
 
Back
Top Bottom