Mtu yeyote mwenye akili timamu na anaitumia mwenyewe tena vizuri hawezi kushabikia mauaji ya binadamu mwenzake kama unavyofanya hapa.
Pamoja na exposure uliyokuwa nayo chama lakini kumbe akili yako ni finyu hivi kama ya kuku.
Kamanda Mwita usipindishe ukweli kama shida ni kushabikia vifo nilikuwa sina haja ya kusubiri kifo cha Mwangosi ningeenda Muhimbili kila siku kuna watu wanakufa kila siku; hapa tunachojadili ni nini hasa kilishababisha kifo cha Mwangosi kitu ambacho makamanda wa Chadema ndani JF hamtaki kukuijadili kwa mapana marefu kwa kuogopa ukweli; kwa nini hamtaki tumjadili aliyelazimisha maandamo? Ukweli hautapatikana kwa kushinikiza lawama kwa polisi. Nasimamia ninachokisema; watu wenye akili finyu kama za kuku ndio mliosimamia kuilaumu polisi hamtaki kwenda mbali zaidi; labda nikuulize mnaogopa kitu gani?
Chama
Gongo la mboto DSM