Mchungaji Lusekelo: Kanisa Katoliki linapaswa kuomba radhi kwa kutoa Waraka ule, nami nitawaombea kwa Mungu awashushie Roho Mtakatifu Wapone!

Mchungaji Lusekelo wa Kanisa la Upako amesema maaskofu wa Katoliki wanapaswa kuomba radhi kwa kutoa Waraka wa namna ile

Lusekelo amesema ataliombea Kanisa Katoliki kwa Mungu wa mbinguni ili awashushie Roho Mtakatifu Wapone

Mlale Unono!
---
USEKELO: WARAKA WA TEC SI MAONI YA WATANZANIA NA WAKATOLIKI WOTE

Mchungaji Anthony Lusekelo amelitaka Baraza la Maaskofu (TEC), kutojumuisha maoni yao kuhusu Mkataba wa bandari kuwa ni maoni ya Watanzania wote, badala yake wangesema hayo ni maoni binafsi ya watu wachache waliopo kwenye Barazza la Maaskofu.

Lusekelo amesema si Wakatoliki wote wanakubaliana na huo Waraka.

Mchungaji Lusekelo "Kupinga ushonga hamuwezi kuzunguka nchi nzima lakini suala hili la Bandari kwani nauliza bandari ikiuzwa isiuzwe atuendi mbinguni"

Maana hakuna kitu haramu kama mwanaume kuolewa au ulawiti...lakini makanisa mengi huko kwa wenzetu ulaya yamebaliki ulawiti.

Mchungaji wa Kanisa la Maombezi (GRC), Anthony Lusekelo amewataka Maaskofu wa Kanisa Katoliki kuweka nguvu kupinga na kuzuia vitendo vya ndoa ya jinsia moja na ushoga badala kutoa waraka unaohusu uwekezaji wa Bandari, akisema hilo litafanywa na wanasheria na wanasiasa nchini.

Lusekelo ameyasema hayo leo wakati akiongea na waandishi wa habari kanisani kwake, jijini Dar es Salaam.
Bure kabisa! Si kwa vile yeye amekuwa msemaji wa serikali angechambua hoja walizozingumzia moja baada ya nyingine akionyesha jinsi hivyo vipengele walivyovitaja vinavyowanufaisha Watanzania kwenye huo mkataba/agreement. By the way, ni mkataba (contract) au agreement? Maana mjadala wa whether ni mkataba au agreement ulizuka bungeni na sijui kama kulikuwa na hitimisho lake.
 
Bure kabisa! Si kwa vile yeye amekuwa msemaji wa serikali angechambua hoja walizozingumzia moja baada ya nyingine akionyesha jinsi hivyo vipengele walivyovitaja vinavyowanufaisha Watanzania kwenye huo mkataba/agreement. By the way, ni mkataba (contract) au agreement? Maana mjadala wa whether ni mkataba au agreement ulizuka bungeni na sijui kama kulikuwa na hitimisho lake.
Mahakama Kuu Mbeya ilisema IGA ni Mkataba
 
Mahakama Kuu Mbeya ilisema IGA ni Mkataba
OK. Kama ni mkataba si kuna vipengele vinavyokosolewa kwamba si vyenye masilahi kwa taifa? Kwa nini wanaosifia wasivitolee majibu - kipengele kwa kipengele - kuliko kutoa "sweeping/blanket statements" dhidi ya wanaokosoa?
 
Hiyo Picha Lusekelo amekaaje?

cc: Choicevariable

Hana moral authority yyte ya kumnyooshea kidole yyte let alone tec.

Hapo alipo anaishi na kulala kanisani kwake, maana alishaachwa na mke.
Pili, Kwny hiyo clip hapo alipo ameshapiga konyagi ya kutosha yani.

Kimsingi wanaojaribu kuleta huu uchochezi wa kidini badala ya kujibu hoja, wanashindwa kuelewa kuwa padiri mmoja wa katoliki ni sawa na aina hii ya wachungaji wa haya makanisa ya vodafasta hamsini.
 
Muulizeni lusekelo kama ameacha dhambi ya kuruka ukuta na vijana wa ambiance ndio aombe maombi yake yapokelewe.

Taifa halijaingia mkataba wowote na kundi, kampuni, au taifa jingine lolote, wa kujifungamanisha na ushoga.

Huyo rable rouser hana hata akili ya kufanya ulinganisho?
 
Mchungaji Lusekelo wa Kanisa la Upako amesema maaskofu wa Katoliki wanapaswa kuomba radhi kwa kutoa Waraka wa namna ile

Lusekelo amesema ataliombea Kanisa Katoliki kwa Mungu wa mbinguni ili awashushie Roho Mtakatifu Wapone

Mlale Unono!
---
USEKELO: WARAKA WA TEC SI MAONI YA WATANZANIA NA WAKATOLIKI WOTE

Mchungaji Anthony Lusekelo amelitaka Baraza la Maaskofu (TEC), kutojumuisha maoni yao kuhusu Mkataba wa bandari kuwa ni maoni ya Watanzania wote, badala yake wangesema hayo ni maoni binafsi ya watu wachache waliopo kwenye Barazza la Maaskofu.

Lusekelo amesema si Wakatoliki wote wanakubaliana na huo Waraka.

Mchungaji Lusekelo "Kupinga ushonga hamuwezi kuzunguka nchi nzima lakini suala hili la Bandari kwani nauliza bandari ikiuzwa isiuzwe atuendi mbinguni"

Maana hakuna kitu haramu kama mwanaume kuolewa au ulawiti...lakini makanisa mengi huko kwa wenzetu ulaya yamebaliki ulawiti.

Mchungaji wa Kanisa la Maombezi (GRC), Anthony Lusekelo amewataka Maaskofu wa Kanisa Katoliki kuweka nguvu kupinga na kuzuia vitendo vya ndoa ya jinsia moja na ushoga badala kutoa waraka unaohusu uwekezaji wa Bandari, akisema hilo litafanywa na wanasheria na wanasiasa nchini.

Lusekelo ameyasema hayo leo wakati akiongea na waandishi wa habari kanisani kwake, jijini Dar es Salaam.
Lusekelo atamwombea nani???Aende akaombee waganga wa kienyeji wenzie na sio Kanisa Moja Takatifu Katoliki la Mitume.
 
Watu kama Lusekelo ni wengi mno nchi hii, bado kuna misukule inaenda pale kupata upako.
"Kweli akili ndogo haiwezi kuielewa akili kubwa."
 
Mchungaji Lusekelo wa Kanisa la Upako amesema maaskofu wa Katoliki wanapaswa kuomba radhi kwa kutoa Waraka wa namna ile

Lusekelo amesema ataliombea Kanisa Katoliki kwa Mungu wa mbinguni ili awashushie Roho Mtakatifu Wapone

Mlale Unono!
---
USEKELO: WARAKA WA TEC SI MAONI YA WATANZANIA NA WAKATOLIKI WOTE

Mchungaji Anthony Lusekelo amelitaka Baraza la Maaskofu (TEC), kutojumuisha maoni yao kuhusu Mkataba wa bandari kuwa ni maoni ya Watanzania wote, badala yake wangesema hayo ni maoni binafsi ya watu wachache waliopo kwenye Barazza la Maaskofu.

Lusekelo amesema si Wakatoliki wote wanakubaliana na huo Waraka.

Mchungaji Lusekelo "Kupinga ushonga hamuwezi kuzunguka nchi nzima lakini suala hili la Bandari kwani nauliza bandari ikiuzwa isiuzwe atuendi mbinguni"

Maana hakuna kitu haramu kama mwanaume kuolewa au ulawiti...lakini makanisa mengi huko kwa wenzetu ulaya yamebaliki ulawiti.

Mchungaji wa Kanisa la Maombezi (GRC), Anthony Lusekelo amewataka Maaskofu wa Kanisa Katoliki kuweka nguvu kupinga na kuzuia vitendo vya ndoa ya jinsia moja na ushoga badala kutoa waraka unaohusu uwekezaji wa Bandari, akisema hilo litafanywa na wanasheria na wanasiasa nchini.

Lusekelo ameyasema hayo leo wakati akiongea na waandishi wa habari kanisani kwake, jijini Dar es Salaam.
Wakatoliki kwao kkufirran ruksa
 
Mchungaji Lusekelo wa Kanisa la Upako amesema maaskofu wa Katoliki wanapaswa kuomba radhi kwa kutoa Waraka wa namna ile

Lusekelo amesema ataliombea Kanisa Katoliki kwa Mungu wa mbinguni ili awashushie Roho Mtakatifu Wapone

Mlale Unono!
---
USEKELO: WARAKA WA TEC SI MAONI YA WATANZANIA NA WAKATOLIKI WOTE

Mchungaji Anthony Lusekelo amelitaka Baraza la Maaskofu (TEC), kutojumuisha maoni yao kuhusu Mkataba wa bandari kuwa ni maoni ya Watanzania wote, badala yake wangesema hayo ni maoni binafsi ya watu wachache waliopo kwenye Barazza la Maaskofu.

Lusekelo amesema si Wakatoliki wote wanakubaliana na huo Waraka.

Mchungaji Lusekelo "Kupinga ushonga hamuwezi kuzunguka nchi nzima lakini suala hili la Bandari kwani nauliza bandari ikiuzwa isiuzwe atuendi mbinguni"

Maana hakuna kitu haramu kama mwanaume kuolewa au ulawiti...lakini makanisa mengi huko kwa wenzetu ulaya yamebaliki ulawiti.

Mchungaji wa Kanisa la Maombezi (GRC), Anthony Lusekelo amewataka Maaskofu wa Kanisa Katoliki kuweka nguvu kupinga na kuzuia vitendo vya ndoa ya jinsia moja na ushoga badala kutoa waraka unaohusu uwekezaji wa Bandari, akisema hilo litafanywa na wanasheria na wanasiasa nchini.

Lusekelo ameyasema hayo leo Mpuuwakati akiongea na waandishi wa habari kanisani kwake, jijini Dar es Salaam.
Mpuuzi mmoja, alikuwa amelewa kama. Kawaida yake. Anasimamia nini?
 
Mnazidi kuufanya u trend bila kujua, walioutoa wako kimya....hii inaonyesha mmeelewa maana wao wao wameongea siku moja nyinyi mnaongea kila siku.
 
Wakatoliki kwao kkufirran ruksa
Mungu wangu Amehukumia hivi Kwa wanaokufa furaha!

Leviticus 20:13
[13]Tena mtu mume akilala pamoja na mtu mume, kama alalavyo na mtu mke, wote wawili wamefanya machukizo; hakika watauawa; damu yao itakuwa juu yao.

mungu wako Anagiza kwa wanao kuffiran waachiwe yeye ni Mwingi wa Huruma na Msamaha!

وَاللَّذَانِ يَأْتِيَانِهَا مِنكُمْ فَآذُوهُمَا ۖ فَإِن تَابَا وَأَصْلَحَا فَأَعْرِضُوا عَنْهُمَا ۗ إِنَّ اللَّهَ كَانَ تَوَّابًا رَّحِيمًا

[ AN-NISAAI - 16 ]
Na wawili kati yenu wafanyao hayo waadhibuni. Na wakitubia wakatengenea basi waacheni. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa kupokea toba, Mwenye kurehemu.

Ukisha kufraw/kupumulia na
Maiti, mnyama, mtoto, kuntha, kifisifisi Mungu wako kakupa Wepesi Kata.3

فصل في أسباب الغسل

Kipambanuzi katika kubainisha sababu za kuoga

يَجِبُ الْعُسْلُ عَلَى الرَّجُلِ بِحُرُوحِ الْمَنِي مِنْ طَرِيقِهِ الْمُعْتَادِ أوْ غَيْرِهِ

Inawajibika kuoga kwa mwanamme kwa kutokwa na manii katika njia yake ya kawaida au nyingine.

وَبِتَيْبِ حَسْقَةٍ أَوْ قَدْرِهَا فِي أَي فَرْجِ كَانَ سَوَاءٌ غَيْبَ فِي قُبْلِ امْرَأَةِ أَوْ بَهِيمَةٍ أَوْ دُبُرِهِمَا أَوْ دُبُرِ الرَّجُل أو الْخَتَلَى صَغِيرًا كَانَ أَوْ

حيا أو مينا وعلى الرّجُلِ الْمُوْلَج في دبره،

Na kwa kuzamisha tene (kichwa cha dhakari) au kiasi chake katika tupu yoyote iwayo, ni mamoja ikiwa amezamisha katika tupu ya mbele ya mwanamke au ya mnyama, au tupu zao za nyuma, au tupu ya nyuma ya mwanamme au ya khuntha, akiwa (aliyezamisha ni) mtoto mdogo au mkubwa, hai au maiti. Na ni wajibu kuoga kwa mwanamme mwenye kutiwa katika tupu yake ya nyuma.

Sent from my vivo Y67 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom