Mchungaji Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais

Mmezoea viongozi wanafiki kama kina mkatoliki, wao hata kama ina madoa wanasema ni Clean,clean ...absolute clean
Tumewachoka viongozi wanafi sasa ni zama za kusema ukweli na ndicho afanyacho Gwajima
Gwajima ni tapeli kama matapeli wengine.

Ukweli utabaki kuwa ukweli chuki na roho yake ya visasi si funzo kwa wakristu tunaofuata mafundisho ya Bwana YETU YESU KRISTU.
 
We unadhani asiposemea pale UFUFUO NA UZIMA chombo kipi kingine watamruhusu aseme? TUNAHITAHITAJI WATU WASI
 
Hata mimi nina mashaka nae..Ila adui wa adui yako ni rafiki yako sometimes..Twende kazi baba askofu
 
Utumishi wake kwa Mungu atajua yeye na Mungu wake. Haturuhusiwi kujudge imani ya mtu.
Hapa BASHITE tu, kila mtu na Mungu wake!
 
I presume,,,,,,,,,,,,,,,I salute toooo
 


Una mashaka na "uaskofu" wa Gwajima? Basi na wewe anzisha kanisa lako ujiite "Askofu" ili na sisi tuwe na mashaka na wewe!

[HASHTAG]#UsitafuteKikiKwaGwajima[/HASHTAG]
 
Ukweli uache ujidhihiri wenyewe, askofu huyu magumashi analazimisha ukweli kwa visasi na roho ya chuki na kujaza waumini kuamini kuwa kisasi ni njia pekee ya kumkomoa adui.
Dunia uwanja wa vita ukiwa legelege watu watakuzushia kila jambo
 
Bila kujali kuwa Gwajima ni nabii wa uongo au ukweli...ukweli utabakia kuwa ukiwa unamtumikia MUNGU wewe ni zaidi ya raisi. Mungu anasema, yeye ni Mfalme wa Wafalme, ni Bwana wa Majeshi, ukiwa unamtumikia yeye unakuwa ni zaidi ya mkuu wa majeshi ya nchi.
 
Huyu mchungaji ni ajenti wa IBILISI, na kila anaemuamini na kumfuata, ataishia MOTONI, mwenye masikio na asikie !
 
k
kwangu mimi gwajima si mchungaji sahihi wa mungu namaanisha amejiita kwenye uchungaji hakuitwa na mungu muchungaji yoyote hawezi kuwa na kisasi hata siku moja muchungajki aliyeitwa na mungu hawezi toa tatizo kwa mutu na kulipeleka kwa mtu mwingine akidai ni adui yake hapana kabisa huyo ni mchungaji wa misukule tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…