sherida
Senior Member
- Feb 15, 2017
- 133
- 194
Safi sana wengine wanaendeshwa hap na mihemko Bashite kuhusu kutumbuliwa lazima hilo hakuna mjadala bunge silinakuja hawawezi kumuacha hata inyeshe au jua liwake ila tukirudi kwenye ukristo cc haturuhusiwi kulipiza maan hat adui yk unaambiwa mbariki na tena hurusiwi jua lizame hujapatana na adui yako .Maan tunapoomba tunasema nisamehe kama navyowasamehe walionikosea na usiposamehe hutosamehewa je kweli ww baba wa imani husamehi je hao kondoo utaeafundisha nn?.Nina shaka na uaskofu wa Gwajima! Kuandika hivi sina nia mbaya....narudia tena sina nia mbaya na wala sipo upande wa mtu yeyote yaani sipo kwa Gwajima wala Bashite.......
Kwa mtazamo wangu kiimani naona kwamba "reactions" za huyu baba askofu kwa Makonda hazisadiki dhamana kubwa alinayo kama askofu mbele za mwenyezi Mungu! The fact that we are not perfect, we can't use it as an excuse! If God is only what we have then God is only what we need..
Haina haja ya kujikweza na kujionesha ni jinsi gani tulivyo wasafi na waungwana mbele za binadamu kwa kupitia madhaifu ya adui zetu isipokua maandiko yanasisitiza tuwaombee adui zetu na kuwasamehe wanaotuudhi....!!!
Ninaamini kuwa unyenyekevu ni kati ya nguzo muhimu sana kwa wafuasi wa Mungu! Bila shaka kuna ndugu zangu wengine mtakua mmenielewa......
Thanks for your attention and may God bless you abundantly!!!
All I can say is let's pray for our country!