Mchungaji Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais

Wanabodi,
Manabii wa Uongo na Tutawatambuaje?.
Kwa sisi waumini wa dini ya Kikristo, tunayemwamini Bwana wetu Yesu Kristo, kabla hajapaa mbinguni, alituhusia kuwa "kutajitokeza manabii wa uongo, ambao watahubiri neno na kutoa mapepo kwa jina langu lakini sii wangu". Wanafunzi wake wakamuuliza, "Jee tutawatambuaje?", Yesu akawajibu, "Mtawatambua kwa matendo yao".

Mchungaji Dr. Josephat Gwajima ni Nabii wa Kweli au Nabii wa Uongo?.
Hii ni thread ya swali kumhusu Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo wa Uzima, Mchungaji, Dr. Josephat Gwajima, Jee ni Mtumishi wa Mungu wa Kweli?!, ni Nabii wa kweli au ndio wale manabii wa uongo aliowazungumza Bwana wetu Yesu Kristo?.

Akiwa katika mimbari, madhabahuni, mbele ya Mungu na wana kondoo wake, badala ya kuihubiri Injili na neno la Mungu lenye uzima na lenye kujenga upendo, amani na mshikamano miongoni mwa jamii, yeye anahubiri siasa kwenye nyumba ya ibada, tena mahubiri juu ya chuki dhidi ya binadamu mwingine hadi kumuita "huyu kiumbe"!.

Japo ni kweli Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Paul Makonda alimdhalilisha Mchungaji Gwajima kwa kumtaja kujihusisha na madawa ya kulevya, Makonda alipewa tuu list yenye majina na kazi yake ilikuwa ni kuwataja tuu, aliyemtaja Gwajims ni muumni wake mtiifu, koss ls Makonds ni lipi?!.

Jee namna ambayo Mchungaji Gwajima, anavyomzungumzia Mkuu wetu wa Mkoa, kwa ubaya na kumsingizia uongo, ndivyo Bwana Yesu alivyofundisha namna ya kuwashughulikia wale walio tukosea?!. Yesu alifundisha mtu akikupiga kibao shavu la kuume mgeuzie na la kushoto. Adui mpende. Samehe saba mara sabini. Vipi kuhusu Baba Mchungaji Gwajima kumuishi Bwana Yesu kwa maneno na matendo? .

Jee Maneno na Matendo ya Mchungaji Gwajima ni Kama Yesu, ni ya KiMungu?.
Swali ni jee huu ndio utendaji wa watu wa Mungu, kuwatakia wenzao mabaya?, kuwazushia uongo mchana kweupe tena madhabahuni kwenye mimbari ya Mungu?!. Yesu alitufundisha, "tumpe Kaisari yaliyo ya Kaisari, na tumpe Mungu yaliyo ya KiMungu, kwanini Mchungaji Gwajima, analeta ya Kaisari mezani kwa Bwana?!. Jee huyu Mchungaji Gwajima, ni mchungaji wa Mungu au ni wa mungu?. Mchungaji Gwajima kama mtu wa Mungu wa kweli, anaweza kweli kusema uwongo kama ule madhabahuni kwa Bwana?!. Jee huyu ni mchungaji wa kweli anayemtumikia Mungu wa kweli, au ndio wale wachungaji aliyewasema Bwana wetu Yesu Kristo kuwa "kutajitokeza manabii wa uongo, ambao watahubiri neno na kutoa mapepo kwa jina langu lakini sii wangu". Wanafunzi wake wakamuuliza, "Jee tutawatambuaje?", Bwana Yesu akawajibu, "Mtawatambua kwa matendo yao".
Jee kwa matendo kama haya, kuna kitu chochote cha kutambua?.
Mchungaji Gwajima ni Nabii wa Mungu, au nabii wa mungu?.
Japo nimewahi kushiriki Ibada kwa Mchungaji Gwajima, naomba mimi nisiseme kitu bali msikilize mmoja wa waumini wake ambaye pia ni mwanachama mwenzetu hapa jf.

Kwa ushuhuda huu mtaona tuhuma unga kwa Mchungaji hazikutolewa na Makonda kwa wivu wa helicopter au vita vya Jimbo bali Makonda alipewa majina na akayaanika.
Paskali
Jumatatu Njema.
Paskali[/

Gwajima 5 - Basheti 0 dakika zanyongeza kumebaki 17 secs tu!!
 
Wanabodi,
Manabii wa Uongo na Tutawatambuaje?.
Kwa sisi waumini wa dini ya Kikristo, tunayemwamini Bwana wetu Yesu Kristo, kabla hajapaa mbinguni, alituhusia kuwa "kutajitokeza manabii wa uongo, ambao watahubiri neno na kutoa mapepo kwa jina langu lakini sii wangu". Wanafunzi wake wakamuuliza, "Jee tutawatambuaje?", Yesu akawajibu, "Mtawatambua kwa matendo yao".

Mchungaji Dr. Josephat Gwajima ni Nabii wa Kweli au Nabii wa Uongo?.
Hii ni thread ya swali kumhusu Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo wa Uzima, Mchungaji, Dr. Josephat Gwajima, Jee ni Mtumishi wa Mungu wa Kweli?!, ni Nabii wa kweli au ndio wale manabii wa uongo aliowazungumza Bwana wetu Yesu Kristo?.

Akiwa katika mimbari, madhabahuni, mbele ya Mungu na wana kondoo wake, badala ya kuihubiri Injili na neno la Mungu lenye uzima na lenye kujenga upendo, amani na mshikamano miongoni mwa jamii, yeye anahubiri siasa kwenye nyumba ya ibada, tena mahubiri juu ya chuki dhidi ya binadamu mwingine hadi kumuita "huyu kiumbe"!.

Japo ni kweli Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Paul Makonda alimdhalilisha Mchungaji Gwajima kwa kumtaja kujihusisha na madawa ya kulevya, Makonda alipewa tuu list yenye majina na kazi yake ilikuwa ni kuwataja tuu, aliyemtaja Gwajims ni muumni wake mtiifu, koss ls Makonds ni lipi?!.

Jee namna ambayo Mchungaji Gwajima, anavyomzungumzia Mkuu wetu wa Mkoa, kwa ubaya na kumsingizia uongo, ndivyo Bwana Yesu alivyofundisha namna ya kuwashughulikia wale walio tukosea?!. Yesu alifundisha mtu akikupiga kibao shavu la kuume mgeuzie na la kushoto. Adui mpende. Samehe saba mara sabini. Vipi kuhusu Baba Mchungaji Gwajima kumuishi Bwana Yesu kwa maneno na matendo? .

Jee Maneno na Matendo ya Mchungaji Gwajima ni Kama Yesu, ni ya KiMungu?.
Swali ni jee huu ndio utendaji wa watu wa Mungu, kuwatakia wenzao mabaya?, kuwazushia uongo mchana kweupe tena madhabahuni kwenye mimbari ya Mungu?!. Yesu alitufundisha, "tumpe Kaisari yaliyo ya Kaisari, na tumpe Mungu yaliyo ya KiMungu, kwanini Mchungaji Gwajima, analeta ya Kaisari mezani kwa Bwana?!. Jee huyu Mchungaji Gwajima, ni mchungaji wa Mungu au ni wa mungu?. Mchungaji Gwajima kama mtu wa Mungu wa kweli, anaweza kweli kusema uwongo kama ule madhabahuni kwa Bwana?!. Jee huyu ni mchungaji wa kweli anayemtumikia Mungu wa kweli, au ndio wale wachungaji aliyewasema Bwana wetu Yesu Kristo kuwa "kutajitokeza manabii wa uongo, ambao watahubiri neno na kutoa mapepo kwa jina langu lakini sii wangu". Wanafunzi wake wakamuuliza, "Jee tutawatambuaje?", Bwana Yesu akawajibu, "Mtawatambua kwa matendo yao".
Jee kwa matendo kama haya, kuna kitu chochote cha kutambua?.
Mchungaji Gwajima ni Nabii wa Mungu, au nabii wa mungu?.
Japo nimewahi kushiriki Ibada kwa Mchungaji Gwajima, naomba mimi nisiseme kitu bali msikilize mmoja wa waumini wake ambaye pia ni mwanachama mwenzetu hapa jf.

Kwa ushuhuda huu mtaona tuhuma unga kwa Mchungaji hazikutolewa na Makonda kwa wivu wa helicopter au vita vya Jimbo bali Makonda alipewa majina na akayaanika.
Paskali
Jumatatu Njema.
Paskali
Paskali umesoma kweli uandishi wa habari?
Kwa nini unamtetea mtu ambaye ana elements za uharifu?
 
Nimevumilia sana lakini sasa nimechoka, yaan ni wiki ya tatu sasa kila nikienda kanisani kusikiliza neno la Mungu katika Kanisa la Ufufuo na uzima ila baada ya kusikiliza neno la Mungu nasikiliza majungu, umbeya na udaku wa mtu anayeitwa Bashite, halafu muda wa sadaka ukifika naambiwa tutoe sadaka, sitakubali tena jumapili hii kufanya hili swala, nitatoa sadaka kama nitasikiliza neno la Mungu mwanzo mwisho, sio majungu, yaan mtu anahubiri majungu tu kila jumapili? sasa, sijui neno la Mungu tutaanza kuhubiriwa lini?


Naomba sana mchungaji husika, jumapili uhubiri neno la Mungu, tunataka kusikiliza neno la Mungu, au basi ongelea Bashite huku ukihusianisha na neno la Mungu na biblia.
 
Nimevumilia sana lakini sasa nimechoka, yaan ni wiki ya tatu sasa kila nikienda kanisani kusikiliza neno la Mungu katika Kanisa la Ufufuo na uzima ila baada ya kusikiliza neno la Mungu nasikiliza majungu, umbeya na udaku wa mtu anayeitwa Bashite, halafu muda wa sadaka ukifika naambiwa tutoe sadaka, sitakubali tena jumapili hii kufanya hili swala, nitatoa sadaka kama nitasikiliza neno la Mungu mwanzo mwisho, sio majungu, yaan mtu anahubiri majungu tu kila jumapili? sasa, sijui neno la Mungu tutaanza kuhubiriwa lini?


Naomba sana mchungaji husika, jumapili uhubiri neno la Mungu, tunataka kusikiliza neno la Mungu, au basi ongelea Bashite huku ukihusianisha na neno la Mungu na biblia.
Nafikiri wewe usije tu kimyakimya na wala usitoe sadaka. Tulio wengi tutaenda na tutatoa sadaka! Nakuhakikishia Jumapili ijayo tutakuwa wengi zaidi kuliko Jumapili iliyopita.

Halafu nina uhakika kama unatoa sadaka kubwa sana basi unatoa TZS 10,000/- ambayo si kitu kwa mtu anayemiliki Helicopter! You can as well die and go to hell, bado sisi tutakuwa church pale Ufufuo na Uzima tukiendelea na ibada while your a***ss is burning in hell!
 
Nimevumilia sana lakini sasa nimechoka, yaan ni wiki ya tatu sasa kila nikienda kanisani kusikiliza neno la Mungu katika Kanisa la Ufufuo na uzima ila baada ya kusikiliza neno la Mungu nasikiliza majungu, umbeya na udaku wa mtu anayeitwa Bashite, halafu muda wa sadaka ukifika naambiwa tutoe sadaka, sitakubali tena jumapili hii kufanya hili swala, nitatoa sadaka kama nitasikiliza neno la Mungu mwanzo mwisho, sio majungu, yaan mtu anahubiri majungu tu kila jumapili? sasa, sijui neno la Mungu tutaanza kuhubiriwa lini?


Naomba sana mchungaji husika, jumapili uhubiri neno la Mungu, tunataka kusikiliza neno la Mungu, au basi ongelea Bashite huku ukihusianisha na neno la Mungu na biblia.
Umelazimishwa kwenda?wewe umefuata umbeya tu
 
Nimevumilia sana lakini sasa nimechoka, yaan ni wiki ya tatu sasa kila nikienda kanisani kusikiliza neno la Mungu katika Kanisa la Ufufuo na uzima ila baada ya kusikiliza neno la Mungu nasikiliza majungu, umbeya na udaku wa mtu anayeitwa Bashite, halafu muda wa sadaka ukifika naambiwa tutoe sadaka, sitakubali tena jumapili hii kufanya hili swala, nitatoa sadaka kama nitasikiliza neno la Mungu mwanzo mwisho, sio majungu, yaan mtu anahubiri majungu tu kila jumapili? sasa, sijui neno la Mungu tutaanza kuhubiriwa lini?


Naomba sana mchungaji husika, jumapili uhubiri neno la Mungu, tunataka kusikiliza neno la Mungu, au basi ongelea Bashite huku ukihusianisha na neno la Mungu na biblia.

Kwani lazima uende huko au usipotoa hicho kisadaka chako cha mawazo ndiyo mwisho wa hilo kanisa?
 
Nimevumilia sana lakini sasa nimechoka, yaan ni wiki ya tatu sasa kila nikienda kanisani kusikiliza neno la Mungu katika Kanisa la Ufufuo na uzima ila baada ya kusikiliza neno la Mungu nasikiliza majungu, umbeya na udaku wa mtu anayeitwa Bashite, halafu muda wa sadaka ukifika naambiwa tutoe sadaka, sitakubali tena jumapili hii kufanya hili swala, nitatoa sadaka kama nitasikiliza neno la Mungu mwanzo mwisho, sio majungu, yaan mtu anahubiri majungu tu kila jumapili? sasa, sijui neno la Mungu tutaanza kuhubiriwa lini?


Naomba sana mchungaji husika, jumapili uhubiri neno la Mungu, tunataka kusikiliza neno la Mungu, au basi ongelea Bashite huku ukihusianisha na neno la Mungu na biblia.
Binafsi simlaumu Gwajima. Kama binadamu lazima ajieleze aeleweke kwa wafuasi wake vinginevyo wangepoteza imani naye. Hubu waza kwa sauti kidogo. Mchungaji asingekuwa imara leo si angekuwa ndani kwa tuhuma za madawa ya kulevya? Au unaweza kutabiri damage ambayo ingemfika iwapo ile clip ya yule mwanamama isingejulikana kama ni feki? Binafsi namuona Gwajima kama yuko katika wakati mgumu sana, hivyo ni sawa tu anavyofanya for the sake of his survival and integrity. Usimlaumu ndugu.
 
Nimevumilia sana lakini sasa nimechoka, yaan ni wiki ya tatu sasa kila nikienda kanisani kusikiliza neno la Mungu katika Kanisa la Ufufuo na uzima ila baada ya kusikiliza neno la Mungu nasikiliza majungu, umbeya na udaku wa mtu anayeitwa Bashite, halafu muda wa sadaka ukifika naambiwa tutoe sadaka, sitakubali tena jumapili hii kufanya hili swala, nitatoa sadaka kama nitasikiliza neno la Mungu mwanzo mwisho, sio majungu, yaan mtu anahubiri majungu tu kila jumapili? sasa, sijui neno la Mungu tutaanza kuhubiriwa lini?


Naomba sana mchungaji husika, jumapili uhubiri neno la Mungu, tunataka kusikiliza neno la Mungu, au basi ongelea Bashite huku ukihusianisha na neno la Mungu na biblia.

Acha ujinga wa kutufanya sisi wajinga! Najua umenielewa!
 
Nimevumilia sana lakini sasa nimechoka, yaan ni wiki ya tatu sasa kila nikienda kanisani kusikiliza neno la Mungu katika Kanisa la Ufufuo na uzima ila baada ya kusikiliza neno la Mungu nasikiliza majungu, umbeya na udaku wa mtu anayeitwa Bashite, halafu muda wa sadaka ukifika naambiwa tutoe sadaka, sitakubali tena jumapili hii kufanya hili swala, nitatoa sadaka kama nitasikiliza neno la Mungu mwanzo mwisho, sio majungu, yaan mtu anahubiri majungu tu kila jumapili? sasa, sijui neno la Mungu tutaanza kuhubiriwa lini?


Naomba sana mchungaji husika, jumapili uhubiri neno la Mungu, tunataka kusikiliza neno la Mungu, au basi ongelea Bashite huku ukihusianisha na neno la Mungu na biblia.
Kwani ulilazimishwa kwenda huko kanisani kwake au ulilazimishwa kutoa sadaka!!? Kama hupendezwi na mahubiri upo huru kwenda kanisa au dhehebu lingine kama ulivyoanza kwenda kwake ila ushauri ambao utakufaa kulingana na akili zako we anzisha tu kanisa lako
 
Nimevumilia sana lakini sasa nimechoka, yaan ni wiki ya tatu sasa kila nikienda kanisani kusikiliza neno la Mungu katika Kanisa la Ufufuo na uzima ila baada ya kusikiliza neno la Mungu nasikiliza majungu, umbeya na udaku wa mtu anayeitwa Bashite, halafu muda wa sadaka ukifika naambiwa tutoe sadaka, sitakubali tena jumapili hii kufanya hili swala, nitatoa sadaka kama nitasikiliza neno la Mungu mwanzo mwisho, sio majungu, yaan mtu anahubiri majungu tu kila jumapili? sasa, sijui neno la Mungu tutaanza kuhubiriwa lini?


Naomba sana mchungaji husika, jumapili uhubiri neno la Mungu, tunataka kusikiliza neno la Mungu, au basi ongelea Bashite huku ukihusianisha na neno la Mungu na biblia.
Vibaya hivyo mkuu, kachangie mafuta ya hedikopta.
 
Acha unafiki wewe,mtu umejificha nyuma ya keyboard huko mkoani RUVUMA unajifanya kuyaongelea mambo ya kanisa la ufufuo na uzima?Hatukutegemei ndugu,na kila kukicha kanisa linashona watu hadi basi na sadaka ndyo tunazidi kutoa maradufu licha ya hali ya kiuchumi kuboa.
ZIDI KUTWANGA MAMBO BABA ASKOFU WETU GWAJIMA.TUKO NYUMA YAKO.WATANZANIA TUNAKUHITAJI SANA HASA KIPINDI HIKI KULIKO KIPINDI CHOCHOTE KILE.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom