Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Kama ulijua kuwa alifoji vyeti mbona hukusema mapema. Hizo ni Tabia za kinafiki tu. Makonda chapA kazi. Hoja ya msingi ni vita dhidi ya madawa ya Kulevya na sio vyeti. Mmeguswa pabaya sasa mnaanza rongorongo
Si aonyeshe vyeti na aendelee na kuchapa kazi kwani shida ni nini? Au nawewe unatumia vya fulani?
 
Wee Gwajima, jiandae.. Kanisa lako litakuwa historia, pastor fake mkubwa.. Huwezi tumia kanisa lako kuchafua watu na kuvunja ndoa za watu...

Uaskofu wako feki, umejipa mwenyewe, na ww ni mtuhumiwa mkubwa wa kuuza dawa za kulevya nchini.. Na kanisa lako limekuwa kichaka cha kuficha uchafu wako.. Sasa utaweza fungiwa milele, iwe funzo..
 
Wee Gwajima, jiandae.. Kanisa lako litakuwa historia, pastor fake mkubwa.. Huwezi tumia kanisa lako kuchafua watu na kuvunja ndoa za watu...

Uaskofu wako feki, umejipa mwenyewe, na ww ni mtuhumiwa mkubwa wa kuuza dawa za kulevya nchini.. Na kanisa lako limekuwa kichaka cha kuficha uchafu wako.. Sasa utaweza fungiwa milele, iwe funzo..
Acha wivu wa kike.
 
Wee Gwajima, jiandae.. Kanisa lako litakuwa historia, pastor fake mkubwa.. Huwezi tumia kanisa lako kuchafua watu na kuvunja ndoa za watu...

Uaskofu wako feki, umejipa mwenyewe, na ww ni mtuhumiwa mkubwa wa kuuza dawa za kulevya nchini.. Na kanisa lako limekuwa kichaka cha kuficha uchafu wako.. Sasa utaweza fungiwa milele, iwe funzo..

Unayoyasema kwa Gwajima kumbuka na Mkuu wa Mkoa amefanya,amewatuhumu Mbowe na Gwajima akijua fika siyo kweli ni chuki tu na kuchafuana.

Hakukuwa na sababu ya Makonda kufanya hayo hadharani,sasa nimeamini Mkuki kwa nguruwe tu kwa binadamu ni Mchungu
 
K
Wee Gwajima, jiandae.. Kanisa lako litakuwa historia, pastor fake mkubwa.. Huwezi tumia kanisa lako kuchafua watu na kuvunja ndoa za watu...

Uaskofu wako feki, umejipa mwenyewe, na ww ni mtuhumiwa mkubwa wa kuuza dawa za kulevya nchini.. Na kanisa lako limekuwa kichaka cha kuficha uchafu wako.. Sasa utaweza fungiwa milele, iwe funzo..
Kwa kutumia katiba ya nchi gani
 
Wee Gwajima, jiandae.. Kanisa lako litakuwa historia, pastor fake mkubwa.. Huwezi tumia kanisa lako kuchafua watu na kuvunja ndoa za watu...

Uaskofu wako feki, umejipa mwenyewe, na ww ni mtuhumiwa mkubwa wa kuuza dawa za kulevya nchini.. Na kanisa lako limekuwa kichaka cha kuficha uchafu wako.. Sasa utaweza fungiwa milele, iwe funzo..
Ndio akili za kikolomije kolomije hizi!
kazi ipo
 
Wee Gwajima, jiandae.. Kanisa lako litakuwa historia, pastor fake mkubwa.. Huwezi tumia kanisa lako kuchafua watu na kuvunja ndoa za watu...

Uaskofu wako feki, umejipa mwenyewe, na ww ni mtuhumiwa mkubwa wa kuuza dawa za kulevya nchini.. Na kanisa lako limekuwa kichaka cha kuficha uchafu wako.. Sasa utaweza fungiwa milele, iwe funzo..



Nani kachafuliwa? Aende mahakamani akafungue defamation.

Aliyevunjiwa ndoa, aende mahakamani, akafungue faili .

Wewe unayefanya naye biashara ya madawa ya kulevya, nenda kamfunguliw faili mahakanai.

Mbona mahakamani hamwendi mnakaa kunyesha uchiw wa vichwa vyenu na ushtni wenu mitandaoni?

Nikukuonyesha picha yako kwamba wew eni Pumbavue shetani ibilishi mkubwa, nitakuwa nimekupunja?
 
Wee Gwajima, jiandae.. Kanisa lako litakuwa historia, pastor fake mkubwa.. Huwezi tumia kanisa lako kuchafua watu na kuvunja ndoa za watu...

Uaskofu wako feki, umejipa mwenyewe, na ww ni mtuhumiwa mkubwa wa kuuza dawa za kulevya nchini.. Na kanisa lako limekuwa kichaka cha kuficha uchafu wako.. Sasa utaweza fungiwa milele, iwe funzo..
Sasa mbona Polisi walimuachia huru?

Kama una huo ushahidi ambao polisi waliukosa mpaka kufikia kumuachia, ni vyema ungeuwasilisha kwenye vyombo husika ili sheria ifuate mkondo wake.

Otherwise hata wewe hapa unafanya makosa ya kumtukana GWAJIMA bila sababu za msingi.
 
Kwa maelezo ya Askofu Gwajima inaonyesha kuwa makonda alianza safari yake ya maisha kwa taabu sana. Kwanza nashukuru Askofu umefunua kitu ambacho kimenitia moyo sana kujua kuwa duniani haujashindwa mpaka utakapokuwa umekata tamaa.

Kwa maelezo ya askofu naona makonda ni mtu wa kupongezwa na anastahili kupewa nafasi alitumikie Taifa. Alipozungusha fomu four kwa mujibu wa askofu, Makonda hakukata tamaa na kusema kuwa maisha yangu yameishia hapo kama vijana wengine wanavyofanya alitafuta mlango wa kupita na akapita.

Elimu ya vyuo kasoma kihalali kabisa na akafaulu vizuri mpaka akapewa cheti. Sasa ufeki wa vyeti vyake uko wapi kama amekaa chuo kwa miaka yote hiyo?

Asante askofu Gwajima kwa kutupa a positive side of RC Makonda.. Naweza kusema kuwa this Makonda anafaa hata kuwa Rais wa nchi kwa kuwa chochote anachoamua kukifanya hukifanya kwa nguvu zote, akili yote na haamini katika kushindwa.

Leo tunaona ameweza kufanya vizuri kwenye masomo yake ya stashahada ambapo vyeti alivyovipata kwa kutumia jina feki kwa mujibu wa Askofu vinampa nguvu ya kuonyesha umma kuwa amesoma. Askofu anakubali hata yeye kuwa makonda amesoma na ameingia darasani, huwezi kuukana ukweli huu kuwa makonda hana Elimu anayo na nchi imekubali kuwa amesoma na Gwajima naye hakatai hilo ila Jina ndo feki.

Makonda ni kijana ambaye ameweza kwa vitendo kuwaonyesha watanzania kuwa unaweza kufikia ndoto zako usipokata tamaa. Ebu fikiria miaka kumi iliyopita mtu amezungusha leo ni mkuu wa mkoa tena wa Dar es Salaam kiukweli anahitaji pongezi kwa kuwa ni mfano wa kuigwa.

A man of purpose can achieve his vision if he doesnt give up. You are not a failure untill you give up trying. Big up Makonda umethubutu kiukweli na unafaa kuigwa.
 
Sasa wewe DAUDI ALBERT BASHITE ndo umeandika nini hapo?

Kitu rahisi sana umeambiwa weka vyeti hadharani,

Kama elimu yako ni halali tupe vyeti bas.

Mzee mjuaji kutoka sumbawanga kwa sasa kolomije
 
0e598088b36cb48cf4e0529aa6640286.jpg


Isije ikawa ndio umekuja kujitetea huku, mana jf kwa id Fake s..
 
Back
Top Bottom