Mkuu nakumbka kipind cha olevel unagongea kibatari ama tochi ili utoboe O-level ikawa fresh A-level hivyo hivyo chaka pori Asubuh mpak saa 9 af usiku prepo nzito ili mtu utoboe alafu mtu mwingne awe ni magumashi alafu mjuaji inakera sanaAende akapige QT asilete usanii,watu wametoil?ye anataka njia za mkato .....
Acha kushabikia ujinga, kama ni kweli kafoji anastahili kunyanganywa na hizo certificate zote, kama kaweza kufoji cheti ujue kuna vitu vingine vingi anafanya kwa kulazimisha,Kwa maoni yangu hata kama alipata zero lakini kwa vitu anVyovifanya inaonyesha ni mtu mwenye elimu ya uprofessa,endelea Makonda na Mungu u pamoja nawe.
Shikilia hapo hapo kwani nchi ilikuwa imeshaoza kwa madawa ya kulevya kwavile hata wale tulioamini wanatuongoza kwenda peponi nao walizama ktk biashara hii.
Makonda mti wenye matunda mazuri na matamu ndiyo hupigwa mawe,ipo siku watakuambia tunajua hatakitovu chako kilipotupwa ili tu ukatetamaa.
Cheti cha aliyefaulu kiko, na results za wote ziko.Narudia tena, Tanzania hii hakujawahi kutolewa cheti kwa aliyepata zero. Kama una cheti na ulipata zero, kiweke hapa tukuonyeshe ni fake na hakijatolewa na NECTA.
Labda kwako
Bashite kwisha jeuri yake, nilimuona mahali kapwaya sana...
Kwahiyo unataka kuhalalisha haramu?Sijui upumbavu ni tusi,?! Am sorry nimejikuta limenitoka tu juu yako.! Hivi unajua kulikuwa na walimu ambao hata darasani hawajaenda, Ila wanakula mshahara wa gvt kwa jina la mtu? Leo mnataka kufananisha na mtu aliyesoma kwa jina la mtu mwingine, sio kupata kazi.! Je paul hajasoma? Hajapata elimu? Kama amesoma tuhuma zenu ni nini?
Kile kichwa cha Gwajima ninakiaminia, Bulembo mwenyewe alisarrender.
Gwajima ananipaga raha kwenye helcopter yake tu
Walikuepo...anajidai kudhalilisha watu wenye ma PHD kumbe kichwani zero uwiii nafwa...Walikua wapi kumsema kabla?wasitusumbue aisee.Movie yao imeanza kutuchosha
Basi mshauri a toke hadharani akanushe kwa ushahidiUnataka afanyie kazi majungu? Wenye uwezo wa kuchunguza vyeti vya elimu ni NECTA siyo Gwajima
Tumsifu bwana yesu kristoMchungaji Dr.Josephat Gwajima, leo kanisani kwake mbele ya umati wa waumini akiwaita wanafamilia wake, ametoa maelezo yakinifu juu ya tuhuma zinazomkabili ndg. Paul Makonda na katika clip inayosambaa kwa kasi mitandaoni.
Askofu Gwajima amedai anaoushahidi wa kutosha kua ndg. Makonda alitumia vyeti visivyo vyake.
Katika clip hiyo mchungaji Gwajima amesema ana vyeti vinavyotoa ushahidi kua Makonda alitumia vyeti vya mtu mwingine.
Swali: Je, Rais atamwacha Makonda na kulifumbia macho hilo suala?
Mchungaji akuanzaye mmalizeMchungaji Dr.Josephat Gwajima, leo kanisani kwake mbele ya umati wa waumini akiwaita wanafamilia wake, ametoa maelezo yakinifu juu ya tuhuma zinazomkabili ndg. Paul Makonda na katika clip inayosambaa kwa kasi mitandaoni.
Askofu Gwajima amedai anaoushahidi wa kutosha kua ndg. Makonda alitumia vyeti visivyo vyake.
Katika clip hiyo mchungaji Gwajima amesema ana vyeti vinavyotoa ushahidi kua Makonda alitumia vyeti vya mtu mwingine.
Swali: Je, Rais atamwacha Makonda na kulifumbia macho hilo suala?
Makonda ni hodari sana kuvitumia vyombo vya habari,Nasubiri nione akivitumia ili akanushe tuhuma hizi vinginevyo vyombo vya Habari vimtafute atuambie ukweli wa hili.
Tukumbuke wengi wamepoteza ajiri zao kwa ajili vyeti vya kughushi Kwa nini yeye a achwe? Wapi Ndalichako? Wapi NGOSHA?
Wewe mwenyewe ni haramu in one way or another, swali langu Paul hajasoma? Hakupitia hizo hatua za vyuo? Kama amepita tuhuma zenu juu yake ni elimu au utendaji wake? Ama uthubutu aliofanya kutimiza wajibu wake.Kwahiyo unataka kuhalalisha haramu?